Faini itapunguza uenezaji wa habari za uongo kuhusu Covid19?
Wakenya wako kwenye hatari ya kutozwa faini ya dola elfu 50 au kifungo cha miaka miwili iwapo watachapisha habari za uongo kuhusu mlipuko wa virusi vya korona
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV27 Nov
Askari watatu wathibitika kufukuzwa Kigoma kwa Uenezaji Taarifa Za Uongo
Jeshi la Polisi limethibitisha kufukuzwa kazi kwa askari wake watatu mkoani Kigoma baada ya kubainika kuzusha na kueneza taarifa za uongo kupitia mitandao ya kijamii kitendo ambacho ni kinyume na maadili ya jeshi la polisi.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma ACP Fredinand Mtui amewataja askari waliotenda kosa Agosti mwaka huu kuwa ni Copro Johnson, Private Costable Justine na Wp Mercy.
Katika kikao chake na waandishi wa habari ofini kwake kamanda mtui amesema hatua za askari hao...
10 years ago
Dewji Blog10 Mar
Watanzania tupuuze habari za Uongo, uzushi, Ukipata ujumbe wa chuki, matusi au uongo, FUTA DELETE KABISA!
Na Andrew Chale wa Mo dewji blog
Wasomaji wa Mo dewji blog mnaoendelea kuperuzi mtandao huu bila shaka ni wazima wa afya, tunashukuru uwepo wenu na kutembelea kwenu kwenye mtandao huu ndio faraja kwetu sote sie tunaowapasha habari na kwenu mnaopokea habari, tupo pamoja.
Tahariri ya leo Machi 10, Tunazungumzia namna ya jinsi Tanzania tunavyopiga hatua moja hadi nyingine hasa katika masuala ya TEKOHAMA/ICT.. Hasa kupitia mitandao yaani Intaneti.
Hata hivyo licha ya kuwa huru kwa kila mmoja...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1VxgB72NO4E/XpwDwCNWToI/AAAAAAALnYc/k4UOjVcoXZwvr7mLQkFqzbUBF1HgMp5yQCLcBGAsYHQ/s72-c/a093f786-8957-4946-95d9-9e07d317e7c5.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NFpLPbeZNYDfIOh8pUWsaizlXUsTSe*yfo8voTH28ylI*ylP2SDDPESTNmH-I3JgVFNv0uayjlXBjf3DyZBYxvRcn6SK4Klh/mnyika2.jpg)
KAULI KUHUSU UONGO WA WAZIRI PROFESA MUHONGO
11 years ago
Mwananchi03 Jul
Uongo kuhusu akaunti ya Tegeta Escrow uachwe
10 years ago
Mtanzania07 May
Jamhuri imesema uongo kuhusu polisi — Profesa Lipumba
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahimu Lipumba amesema Jamhuri inasema uongo kwamba Jeshi la Polisi liliwanyima kibali cha kuandamana na kwamba akiwa na msafara wa magari alifuatana na wafuasi wake kuelekea Mbagala Zakhem.
Profesa Lipumba anadai si kweli kwamba walifanya maandamano, ispokuwa walipigwa tu wao na wala hawakukamatwa wakiwa katika maandamano.
Alidai hayo jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi,...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Rk2KSuo_Hiw/VfQL1eM35EI/AAAAAAAH4Nc/t2b04FC6ch4/s72-c/IMG_20150912_115432.jpg)
Taarifa za uongo kuhusu Rambirambi za Msiba wa Mama yake Aslay
Mtu huyo anatumia namba 0716281999 na amesajili kwa jina la Aslay Isihaka tunawaomba wadau na mashabiki wa Yamoto Band na Aslay wapuuze tariifa siyo za ukweli na hakuna utaratibu wa kutuma rambirambi katika simu.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Rk2KSuo_Hiw/VfQL1eM35EI/AAAAAAAH4Nc/t2b04FC6ch4/s640/IMG_20150912_115432.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bLLpuNG2C_I/XnEXYG80EII/AAAAAAALkLE/SwLeBRByijAoqzLTi2cg3C9BMtAQbgC4ACLcBGAsYHQ/s72-c/386f8cdd-2398-401c-b787-ddb303f57fa5.jpg)
Vyombo vitatu vya habari vyapigwa faini ya sh.milioni 11
*SAM misago tv yachapisha mwanamke kunyanyua kiuno
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania(TCRA) kupitia Kamati ya
Maudhui mtandaoni, imevitoza faini ya sh.milioni 11 vyombo vya habari vitatu kwa kukiuka kanuni za mawasiliano ya kielektoniki na posta.
Vyombo hivyo ni Radio Classic FM, Luninga mtandaoni ya Sami Misago na Rock Media Group.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Maudhui, Joseph Mapunda amesema lengo la kamati kufanya hivyo ni...
10 years ago
GPLWAZIRI MEMBE AKANUSHA KUHUSU NDEGE YA RAIS WA CHINA KUBEBA PEMBE ZA NDOVU NA KUSEMA NI UONGO!