KAULI KUHUSU UONGO WA WAZIRI PROFESA MUHONGO
![](http://api.ning.com:80/files/NFpLPbeZNYDfIOh8pUWsaizlXUsTSe*yfo8voTH28ylI*ylP2SDDPESTNmH-I3JgVFNv0uayjlXBjf3DyZBYxvRcn6SK4Klh/mnyika2.jpg)
Waziri Kivuli wa Nishati na Madini, John Mnyika (Mb). Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo ametoa kauli za uongo kwa nyakati mbalimbali mwaka 2012 na 2013 ndani na nje ya Bunge kuhusu utafiti na uendelezaji wa gesi asilia. Waziri Muhongo alijibu uongo kwamba hafanyi kazi kwa vyombo vya habari nilipohoji kuhusu utekelezaji wa maazimio ya Bunge ya kuanzia Novemba 2011 ya kushughulikia ufisadi uliothibitika katika...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xMCtlOLhuRfgzkddG9BHSifj9qMfvmCETXAvV8pgO430hKdm4IyfBK5HP2VJ*mbmoWWef9C8FdfifdQlg*sPsfZ*GxUCmV9P/mengi.jpg?width=640)
TAARIFA RASMI YA DKT. REGINALD A. MENGI MWENYEKITI MTENDAJI WA IPP LIMITED YENYE KUJIBU MAELEZO YA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA MUHONGO KUHUSU HODHI YA VITALU
10 years ago
Mtanzania07 May
Jamhuri imesema uongo kuhusu polisi — Profesa Lipumba
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahimu Lipumba amesema Jamhuri inasema uongo kwamba Jeshi la Polisi liliwanyima kibali cha kuandamana na kwamba akiwa na msafara wa magari alifuatana na wafuasi wake kuelekea Mbagala Zakhem.
Profesa Lipumba anadai si kweli kwamba walifanya maandamano, ispokuwa walipigwa tu wao na wala hawakukamatwa wakiwa katika maandamano.
Alidai hayo jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi,...
10 years ago
VijimamboKANUSHO KUTOKA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUHUSU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-2TdsXVCxyBM/VKLEoGpQUWI/AAAAAAADK_Q/fLIBFnrqdds/s1600/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
Utendaji wa Wizara chini ya Waziri wa...
9 years ago
Raia Mwema30 Dec
Profesa Muhongo kaanza vizuri, Waziri Kitwanga je?
KUTOKANA na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu, wiki mbili zilizopita nilishindwa kuwaletea mak
Evarist Chahali
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
HATIMAYE WAZIRI WA NISHATI NA MADINI, PROFESA SOSPITER MUHONGO AJIUZULU
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
WAZIRI Muhongo amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo kulipwa fidia ni wezi sawa na wezi wa maofisini wa mali za Umma
Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi na Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Mwingulu Nchemba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kaselya wilaya ya Iramba.Wa kwanza kulia ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na wa pili kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Iramba Yahaya Nawanda.
Na.Nathaniel Limu-Singida
WAZIRI wa NIishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (MB), amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo ili waweze kulipwa fidia wakati hawastahili, ni wezi sawa na...
10 years ago
Michuzi05 Dec
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5Yj51xHFZSLlQw13vrskChjdKkv6SV0vzlqCvWR1*N3aAz1xeDQxruzQCamspeXdVFlmqr7IkUMivjSaZzyqO2dU/unnamed2.jpg?width=650)
WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO APOKEA NISHANI YA HESHIMA NCHINI NIGERIA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nDhHGj_0L0A/U24RdHK_K9I/AAAAAAAFgrE/5qkG6kyYLes/s72-c/unnamed+(2).jpg)
WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO APOKEA NISHANI YA HESHIMA NCHINI NIGERIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-nDhHGj_0L0A/U24RdHK_K9I/AAAAAAAFgrE/5qkG6kyYLes/s1600/unnamed+(2).jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10