Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watanzania tupuuze habari za Uongo, uzushi, Ukipata ujumbe wa chuki, matusi au uongo, FUTA DELETE KABISA!

1005224_161118974079176_1902408761_n

Na Andrew Chale wa Mo dewji blog

Wasomaji wa Mo dewji blog mnaoendelea kuperuzi mtandao huu bila shaka ni wazima wa afya, tunashukuru uwepo wenu na kutembelea kwenu kwenye mtandao huu ndio faraja kwetu sote sie tunaowapasha habari na kwenu mnaopokea habari, tupo pamoja.

Tahariri ya leo Machi 10,  Tunazungumzia namna ya jinsi Tanzania tunavyopiga hatua moja hadi nyingine hasa katika masuala ya TEKOHAMA/ICT.. Hasa kupitia mitandao yaani Intaneti.

Hata hivyo licha ya kuwa huru kwa kila mmoja...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Twitter yamuonya rais Donald Trump dhidi ya kuchapisha ujumbe wa 'uongo'

Hii ni mara ya kwanza mtandao huo wa kijamii umesema ujumbe wa Donald Trump huenda unapotosha.

 

5 years ago

BBCSwahili

Faini itapunguza uenezaji wa habari za uongo kuhusu Covid19?

Wakenya wako kwenye hatari ya kutozwa faini ya dola elfu 50 au kifungo cha miaka miwili iwapo watachapisha habari za uongo kuhusu mlipuko wa virusi vya korona

 

10 years ago

Mwananchi

Je, uongo ni fani?

Uchuku au uongo ama urongo ni hali na tabia ya kutosema kweli; tabia ya kudanganya na hata kutokuwa muwazi. Yupo mwanafalsafa mmoja aliwahi kusema: ‘...lying is an art’ akimaanisha ya kwamba ‘tabia ya kusema uongo ni kipaji’ ama ni sanaa ya aina ya kificho na kipekee pia. Kipaji ni uwezo fulani alionao mtu unaomwezesha kulifanya jambo vizuri ni kipawa.

 

10 years ago

GPL

SIFA YA WABONGO UONGO!

Wabongo bwana hahahahahahaha Wabongo kiboko. Kwa wale ambao wanasoma hii ishu na hawajawahi kuja Bongo nawataarifu kuwa mnapohangaika kutafuta viza za kuwaruhusu kuja Bongo, mjitayarishe kabisa kuwa  Wabongo ni binadamu wa aina nyingine kabisa hapa duniani. Wana sifa mbili kubwa, kwanza wanapenda sana kudanganywa na pili asilimia kubwa ni waongo wa kutupwa, siyo kwamba walizaliwa hivyo, hapana lakini wanalelewa na kutengenezwa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Uongo, uzandiki na takwimu

JE, tuziamini tafiti zenye kutegemea takwimu kutabiri nani atashinda, na kwa kiwango gani, katika

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Mwananchi

Supastaa Bongo...nitoleeni uongo

Naona mwaka unakatika kimtindo, ishu hazijakaa, halafu bado malalamiko kwa Serikali kudadadeki, full mizinguo, ...hahahahah...

 

11 years ago

Mwananchi

Uongo wahatarisha biashara Dodoma

Soko lililokuwa likitegemewa sana na wakulima wa Dodoma, la mbegu na mafuta katika nchi za India na China limeingia dosari baada ya baadhi ya wafanyabiashara na wasindikaji wa mafuta nchini kuchanganya michanga katika bidhaa hizo.

 

10 years ago

Habarileo

Wassira alia na wanaoeneza uongo

 Stephen WassiraMJUMBE wa Kamati Kuu ya CCM, Stephen Wassira ametaka Watanzania kutokubali kudanganywa na watu wanaopita kwenye maeneo yao wakieneza uongo kwamba Serikali haijafanya maendeleo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wananchi wafichua uongo wa mawaziri

WANANCHI wa vijiji vya kuzunguka Hifadhi ya Mbuga ya Taifa ya Serengeti (SENAPA) wamefichua udanganyifu waliodai kufanyiwa na baadhi ya mawaziri wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu mwaka 2010 kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani