SIFA YA WABONGO UONGO!
![](http://api.ning.com:80/files/Dyivh8oZtExk9LHvePuC-8bnJhWD69-0DD*i3sDQCcrX6Ix*rJkz41rkP-G80NWDbIgBJhoA1ruzt2RGszKKBzFbpveonlWC/CHEKANAKITIME.jpg)
Wabongo bwana hahahahahahaha Wabongo kiboko. Kwa wale ambao wanasoma hii ishu na hawajawahi kuja Bongo nawataarifu kuwa mnapohangaika kutafuta viza za kuwaruhusu kuja Bongo, mjitayarishe kabisa kuwa Wabongo ni binadamu wa aina nyingine kabisa hapa duniani. Wana sifa mbili kubwa, kwanza wanapenda sana kudanganywa na pili asilimia kubwa ni waongo wa kutupwa, siyo kwamba walizaliwa hivyo, hapana lakini wanalelewa na kutengenezwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog10 Mar
Watanzania tupuuze habari za Uongo, uzushi, Ukipata ujumbe wa chuki, matusi au uongo, FUTA DELETE KABISA!
Na Andrew Chale wa Mo dewji blog
Wasomaji wa Mo dewji blog mnaoendelea kuperuzi mtandao huu bila shaka ni wazima wa afya, tunashukuru uwepo wenu na kutembelea kwenu kwenye mtandao huu ndio faraja kwetu sote sie tunaowapasha habari na kwenu mnaopokea habari, tupo pamoja.
Tahariri ya leo Machi 10, Tunazungumzia namna ya jinsi Tanzania tunavyopiga hatua moja hadi nyingine hasa katika masuala ya TEKOHAMA/ICT.. Hasa kupitia mitandao yaani Intaneti.
Hata hivyo licha ya kuwa huru kwa kila mmoja...
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Pires amwagia sifa Wanyama, asema ana sifa zote za kucheza Arsenal
Robert Pires.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Robert Pires amemsifia mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya na Southampton, Victor Wanyama na kuwa ana sifa za kucheza Arsenal kutokana na ubora alionao.
Pires aliulizwa na mwandishi wa habari wa Kenya kuhusu uwezo wa Wanyama na kusema kuwa amekuwa akimwangalia mchezaji huyo na anamwona kama mchezaji mwenye uwezo mzuri ambao kama akiongeza juhudi anaweza katika ubora wa wachezaji bora wa dunia.
“Namjua Wanyama, ni balozi...
10 years ago
Vijimambo27 Feb
My Humble letter to Wabongo
Women and the hope factor! I in my humble opinion I think the hope factor is a number one killer of many women who experienced abusive in relationship. Much research has shown that women who use hope factor as their shield to continue to live in a bad relationship normally something is wrong with them. Often they think they are not good enough or not strong enough to stand on their own feet. Recently, our beloved singer Lady Jaydee admitted that some redemption was needed in her marriage....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rhqcRsJl7aTUPE1cp*FEXTFGoGomlgd7i2ml4zm1v1T0SFmf5hae164ctnkgiMmtRr3qws9pZb0UJOxPyWS1xYFpV5eW6ZAH/1.jpg?width=650)
WABONGO SAUZI SI SALAMA
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Wabongo wamtaka Malope Agosti 3
MWIMBAJI mahiri nchini, Rose Muhando, amesema mashabiki wengi nchini wameomba malkia wa muziki wa injili nchini Afrika Kusini, Rebecca Malope, awepo kwenye uzinduzi wa albamu yake ya ‘Kamata Pindo la...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2IgjNJs40IZwYaxeCPwAUKtv7YPfaSTkotxL0j8SXaFk0FqzPAGSymlwo0Ww3w0BE0*VCnknNY04RoFep04r94G/wabongoholland.jpg)
TASWIRA ZA WABONGO NDANI YA UHOLANZI
11 years ago
Michuzi20 May
Ulaji kwa Wabongo UNDP
A program is about to start in Tanzania, funded by Bill Merinda Gate Foundation, for transformation of the agricultural industry. However, the Senior Program Officer / Senior Regional Advisor -East Africa, who is Kenyan and based in Seattle, has told me that they have failed to find qualified Tanzanians to fill the positions indicated below. I did not believe her because I know we have a lot of talent in the different agricultural sciences. Please help to look for the right people so we do...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8k9GghxLBsgQWUHSbRtoE*Ye2Xql85JpbyDRpf4jzkyJQr0SnEyZxFhqnOnt5Ezx0UfmBmOs345Tp5t6mMXNmMXr7iLSSNX/miss.jpg)
WABONGO WAMFUTA MACHOZI MISS TZ
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdOTGlbNKtrNmnnFJkBuEoYr510x56m5I1mxBtOkDMdTKF0YOwsBu4OdaArpqSLJSjBNBO11yt4QVD2f117ikhOq4gLoUWdL/ofm.jpg?width=650)
WABONGO WANASWA WAKIFANYA UFUSKA!