Wabongo wamtaka Malope Agosti 3
MWIMBAJI mahiri nchini, Rose Muhando, amesema mashabiki wengi nchini wameomba malkia wa muziki wa injili nchini Afrika Kusini, Rebecca Malope, awepo kwenye uzinduzi wa albamu yake ya ‘Kamata Pindo la...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-AeHSMOVGHnc/U7y59zcjBKI/AAAAAAAFzgM/YoK5VF6NQI8/s72-c/03.gif)
Wabongo wamtaka Rose Muhando amlete Rebecca Malope
![](http://1.bp.blogspot.com/-AeHSMOVGHnc/U7y59zcjBKI/AAAAAAAFzgM/YoK5VF6NQI8/s1600/03.gif)
Uzinduzi huo utafanyika ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam na tayari wasanii mbalimbali nchini wameshaalikwa kushiriki.
“Nimekuwa nikipokea simu nyingi za mashabiki wangu wakitaka nimualike Rebecca, najua kuna gharama zake kubwa, hivyo kwa kushirikiana na wasaidizi...
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Wamtaka Malope Pasaka
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-n0B3Kkwog2M/U7ow3oe1cMI/AAAAAAAFvcQ/Tip7hgrQ6Ow/s72-c/IMG_2380.jpg)
FACEBOOK KUZINDULIWA JIJINI DAR AGOSTI 3,WAKAZI WA MWANZA WAJIANDAE AGOSTI 10 UWANJA WA CCM KIRUMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-n0B3Kkwog2M/U7ow3oe1cMI/AAAAAAAFvcQ/Tip7hgrQ6Ow/s1600/IMG_2380.jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari kwenye viwanja vya Karimjee leo wakati alipokua akitangaza Uzinduzi mkubwa wa Albam ya Shikilia Pindo maarufu kwa jina la FACEBOOK ya mwimbaji nguli wa muziki wa injili Rose Muhando,
Msama alisema kuwa albamu hiyo itazinduliwa Agosti 3 mwaka huu katika ukumbi wa Diamond-Jubilee jijini Dar es Salaam na baada ya hapo itatambulishwa katika mikoa kadhaa nchini.
Msama amesema kuwa baada ya albamu...
11 years ago
Tanzania Daima27 Mar
Malope kutikisa Mwanza Aprili 4
BAADA ya kuweka historia katika Tamasha la Pasaka mwaka 2012, Malkia wa muziki wa injili Afrika Kusini, Rebecca Malope, anatarajia kuuinua umati wa mashabiki wa muziki huo jijini Mwanza, Aprili...
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
Malope atuma salamu Mwanza
MWIMBAJI wa nyimbo za injili wa kimataifa, Rebecca Malope, ametoa wito kwa wakazi wa Jiji la Mwanza na vitongoji vyake, kujitokeza kwa wingi kwenye tamasha hilo linalotarajia kufanyika Mei 4...
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Mwanza wawasubiri Malope, Muhando
WAKAZI mbalimbali wa Jiji la Mwanza wameonyesha kumkubali mwimbaji wa kimataifa kutoka Afrika Kusini, Rebecca Malope, katika Tamasha la Pasaka linalotarajiwa kufanyika Mei 4 kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini...
9 years ago
Mwananchi27 Dec
Malope, Diamond waiteka Krismasi
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Rebeca Malope ndani ya Tamasha la Krismasi
NA MWANDISHI WETU
MWIMBAJI wa muziki wa injili, Rebecca Malope ambaye ni raia wa Afrika Kusini, anatarajia kuongeza nguvu katika Tamasha la Krismasi linalotarajia kufanyika Desemba 25 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama, alisema mwimbaji huyo atakuwa jukwaa moja na wenzake, Sarah K wa Kenya na Ephraim Sekeleti wa Zambia.
Msama alisema kamati yake inaendelea na mchakato wa kufanikisha tamasha hilo ambalo ni...