Wamtaka Malope Pasaka
Waandaaji wa Tamasha la Pasaka wamesema mashabiki wengi nchini wameomba malkia wa muziki wa Injili Afrika Kusini, Rebecca Malope, awepo kwenye tamasha mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Wabongo wamtaka Malope Agosti 3
MWIMBAJI mahiri nchini, Rose Muhando, amesema mashabiki wengi nchini wameomba malkia wa muziki wa injili nchini Afrika Kusini, Rebecca Malope, awepo kwenye uzinduzi wa albamu yake ya ‘Kamata Pindo la...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-AeHSMOVGHnc/U7y59zcjBKI/AAAAAAAFzgM/YoK5VF6NQI8/s72-c/03.gif)
Wabongo wamtaka Rose Muhando amlete Rebecca Malope
![](http://1.bp.blogspot.com/-AeHSMOVGHnc/U7y59zcjBKI/AAAAAAAFzgM/YoK5VF6NQI8/s1600/03.gif)
Uzinduzi huo utafanyika ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam na tayari wasanii mbalimbali nchini wameshaalikwa kushiriki.
“Nimekuwa nikipokea simu nyingi za mashabiki wangu wakitaka nimualike Rebecca, najua kuna gharama zake kubwa, hivyo kwa kushirikiana na wasaidizi...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-w5tXqqm9OHc/UyA7rmTimkI/AAAAAAAFTEU/Wa3RCdQSmkg/s72-c/REBECA+MALOPE+3.gif)
Rebecca Malope kutumbuiza tamasha la Pasaka
![](http://2.bp.blogspot.com/-w5tXqqm9OHc/UyA7rmTimkI/AAAAAAAFTEU/Wa3RCdQSmkg/s1600/REBECA+MALOPE+3.gif)
“Tunashukuru kwamba baada ya mapendekezo ya mashabiki tuliwasiliana na Rebecca ambaye ameonesha uungwana wa hali ya juu na kutukubalia ombi...
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
Rebecca Malope akubali Tamasha la Pasaka
MALKIA wa muziki wa Injili nchini Afrika Kusini, Rebecca Malope, ni miongoni mwa wasanii watakaotumbuiza kwenye Tamasha la Pasaka mwaka huu. Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa...
10 years ago
Mtanzania10 Mar
Rebecca Malope kunogesha Tamasha la Pasaka
Na Mwandishi Wetu
RAIA wa Afrika Kusini ambaye ni mwanamuziki wa injili, Rebecca Malope, amethibitisha kuwa mmoja wa waimbaji wa kimataifa watakaotumbuiza kwenye Tamasha la Pasaka litakalofanyika nchini.
Kwa mujibu wa mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama, sambamba na Malope, Afrika Kusini wanatarajia kutoka waimbaji wengine wawili ambao ni Solly Mahlangu na Sipho Makabane.
Msama alisema waimbaji wengine waliokubali kutumbuiza kwenye tamasha hilo ni pamoja na Ephraim...
11 years ago
Dewji Blog02 May
MWENDELEZO WA PASAKA; Mwanamuziki Rebecca Malope kutumbuiza April 4 Jijini Mwanza
MALKIA wa muziki wa Injili nchini Afrika Kusini, Rebecca Malope (pichani) anatarajiwa kutua kwenye jiji la Mwanza a.k.a ROCKY CITY April 4,ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa Tamasha la Pasaka 2014
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama amesema kuwa Nyota huyo wa muziki wa nyimbo za Kiroho,ni miongoni mwa wasanii watakaotumbuiza kwenye Tamasha hilo,ameeleza kuwa msanii huyo alipata kura nyingi kutoka kwa mashabiki waliompendekeza kutumbuiza jijini humo.
“Tunashukuru...
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-8lZq2Imq3nk/UytQ0NxbuKI/AAAAAAACdHw/LVQUNbY9W9g/s1600/IMG_0492.jpg)
MAANDALIZI YA TAMASHA LA PASAKA YAKAMILIKA, REBECCA MALOPE KUTUMBUIZA JIJINI MWANZA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8lZq2Imq3nk/UytQ0NxbuKI/AAAAAAACdHw/LVQUNbY9W9g/s72-c/IMG_0492.jpg)
maandalizi ya tamasha la pasaka yakamilika,rebecca malope kutumbuiza jijini mwanza.
Aakizungumza na Waandishi wa habari jijini dar leo katika viwanja vya Karimjee,Msama amebainisha kuwa kila kitu kimekwishakamilika,wakiwemo wasanii mbalimbali watakaotumbuiza siku hiyo,aidha amesema kuwa pamoja na wanamuziki wa nyumbani kushiriki tamasha hilo,pia...