Rebeca Malope ndani ya Tamasha la Krismasi
NA MWANDISHI WETU
MWIMBAJI wa muziki wa injili, Rebecca Malope ambaye ni raia wa Afrika Kusini, anatarajia kuongeza nguvu katika Tamasha la Krismasi linalotarajia kufanyika Desemba 25 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama, alisema mwimbaji huyo atakuwa jukwaa moja na wenzake, Sarah K wa Kenya na Ephraim Sekeleti wa Zambia.
Msama alisema kamati yake inaendelea na mchakato wa kufanikisha tamasha hilo ambalo ni...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-t263lNfBSJA/VmPGyG2khaI/AAAAAAAIKYw/JV04Ez5PWCQ/s72-c/4.jpg)
Rebeca Malope kutikisa Diamond Tamasha la Krismasi
![](http://3.bp.blogspot.com/-t263lNfBSJA/VmPGyG2khaI/AAAAAAAIKYw/JV04Ez5PWCQ/s400/4.jpg)
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama muimbaji huyo atakuwa jukwaa moja na wenzake Sarah K wa Kenya na Ephraim Sekeleti wa Zambia ambao watafikisha shukrani za Watanzania baada ya kufanya uchaguzi Mkuu kwa amani na...
9 years ago
Michuzi22 Dec
Malope kuwasili Alhamisi wiki hii tayari kwa Tamasha la Krismasi
![03](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/03.gif)
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama kabla ya kuwasili kwa Malope leo watawasili watangulizi wake ambao watafika kwa ajili ya kufanya...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-I688u-2vLV4/U2ZdDxad4_I/AAAAAAAFfS0/tMYChEP6xHc/s72-c/8.jpg)
REBECA MALOPE AWAKUNA WAKAZI WA JIJI LA MWANZA,NGELEJA AWATAKA VIONGOZI WA DINI KULIOMBEA TAIFA
![](http://1.bp.blogspot.com/-I688u-2vLV4/U2ZdDxad4_I/AAAAAAAFfS0/tMYChEP6xHc/s1600/8.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-De9BJ8_G-EI/U2ZdErlU-tI/AAAAAAAFfSw/v_5ymg-nYok/s1600/9.jpg)
9 years ago
Mwananchi27 Dec
Malope, Diamond waiteka Krismasi
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
Rebecca Malope akubali Tamasha la Pasaka
MALKIA wa muziki wa Injili nchini Afrika Kusini, Rebecca Malope, ni miongoni mwa wasanii watakaotumbuiza kwenye Tamasha la Pasaka mwaka huu. Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa...
10 years ago
Mtanzania10 Mar
Rebecca Malope kunogesha Tamasha la Pasaka
Na Mwandishi Wetu
RAIA wa Afrika Kusini ambaye ni mwanamuziki wa injili, Rebecca Malope, amethibitisha kuwa mmoja wa waimbaji wa kimataifa watakaotumbuiza kwenye Tamasha la Pasaka litakalofanyika nchini.
Kwa mujibu wa mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama, sambamba na Malope, Afrika Kusini wanatarajia kutoka waimbaji wengine wawili ambao ni Solly Mahlangu na Sipho Makabane.
Msama alisema waimbaji wengine waliokubali kutumbuiza kwenye tamasha hilo ni pamoja na Ephraim...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-w5tXqqm9OHc/UyA7rmTimkI/AAAAAAAFTEU/Wa3RCdQSmkg/s72-c/REBECA+MALOPE+3.gif)
Rebecca Malope kutumbuiza tamasha la Pasaka
![](http://2.bp.blogspot.com/-w5tXqqm9OHc/UyA7rmTimkI/AAAAAAAFTEU/Wa3RCdQSmkg/s1600/REBECA+MALOPE+3.gif)
“Tunashukuru kwamba baada ya mapendekezo ya mashabiki tuliwasiliana na Rebecca ambaye ameonesha uungwana wa hali ya juu na kutukubalia ombi...