Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WABONGO WAMFUTA MACHOZI MISS TZ

Stori: Erick Evarist
SIKU chache baada ya kupatikana kwa mshindi wa Shindano la Miss World 2014, imethibitika kuwa Wabongo walimfuta machozi mshiriki wao, Happiness Watimanywa kwa kumpigia kura nyingi zilizosababisha kuingia hatua ya Kumi Bora ya Chaguo la Watu (People’s Choice). Happiness Watimanywa akiwa na mrembo wa dunia Rolene Strauss wa Afrika Kusini. Kwenye shindano hilo lililofanyika Jumapili usiku huko London...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Ubingwa wamfuta machozi Micho

Addis Ababa. Kocha wa Uganda, Sredojevic Milutin ‘Micho’ amesema ubingwa wa Kombe la Chalenji kwake umempunguzia machungu ya kukosa fainali zilizopita za Mataifa ya Afrika.

 

9 years ago

Bongo5

Miss Universe 2015: Mc amtangaza Miss Colombia kimakosa kuwa mshindi, na baadaye kumvua taji na kumvisha mshindi halali Miss Philippines (Video/Picha)

miss universe1

Shindano la kumtafuta Miss Universe 2015 limefanyika Jumapili Dec.19 huko Hollywood, Marekani, ambapo Pia Alonzo Wurtzbach wa Philippines alitangazwa mshindi.

miss universe1
Miss Universe 2015 Pia Alonzo

Kabla ya Pia kutangazwa mshindi ilijitokeza hali ya sintofahamu, pale ambapo Mc wa tukio hilo Steve Harvey alipomtangaza kimakosa Miss Colombia kuwa ndio mshindi na kuvishwa kabisa taji.

miss colombia

Kwa dakika kadhaa Miss Colombia alikaa na taji hilo huku akipunga bendera ya nchi yake akionekana mwenye furaha.

miss universe-2
Miss...

 

10 years ago

Vijimambo

My Humble letter to Wabongo


Women and the hope factor! I in my humble opinion I think the hope factor is a number one killer of many women who experienced abusive in relationship. Much research has shown that women who use hope factor as their shield to continue to live in a bad relationship normally something is wrong with them. Often they think they are not good enough or not strong enough to stand on their own feet. Recently, our beloved singer Lady Jaydee admitted that some redemption was needed in her marriage....

 

10 years ago

GPL

WABONGO SAUZI SI SALAMA

INATISHA! Huku Wabongo wengi wakiendelea kukimbilia Afrika Kusini (Sauzi) kwa kigezo cha kutafuta maisha mazuri, imethibitika kwamba hali ya amani nchini humo si salama. Wahamiaji wakionekana kujiokoa pamoja na watoto wao. Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali kutoka nchini humo, Wabongo wengi na wageni wengine kutoka nchi tofautitofauti Afrika kama Zimbabwe, Botswana, Namibia na nchi nyingine wamekuwa wakifanyiwa vitendo vya kikatili...

 

10 years ago

GPL

SIFA YA WABONGO UONGO!

Wabongo bwana hahahahahahaha Wabongo kiboko. Kwa wale ambao wanasoma hii ishu na hawajawahi kuja Bongo nawataarifu kuwa mnapohangaika kutafuta viza za kuwaruhusu kuja Bongo, mjitayarishe kabisa kuwa  Wabongo ni binadamu wa aina nyingine kabisa hapa duniani. Wana sifa mbili kubwa, kwanza wanapenda sana kudanganywa na pili asilimia kubwa ni waongo wa kutupwa, siyo kwamba walizaliwa hivyo, hapana lakini wanalelewa na kutengenezwa...

 

10 years ago

Michuzi

WABONGO ALL WHITE PARTY IN HOUSTON TX

Wabongo in ‪#‎HOUSTON‬ This one is for you. ‪#‎AllWhitePartyUSATour‬ /‪#‎OldSkoolParty‬ #HOUSTON TX. Hosted by the One & Only Zey MisstangaOn JULY 18th 2015 (Possible EID EL FITR NIGHT). Check Details at "MoFLAVA ALL WHITE PARTY HOUSTON TX SAT JULY 18TH" @Pure 505 Main St. Downtown Houston. 
To buy V.I.P/SECTION/BOOTH or REGULAR Advance Tickets (In Reduced Price) go HERE http://houstonwhite.eventbrite.com/?s=40265011. You have Seen Other Cities Tour Turn Up! Now Lets See what Yall got Over...

 

10 years ago

GPL

HATA UWEJE, WABONGO WATAHOJI!

Hakuna aliyekuwa hamfahamu jamaa yangu pale mtaani kwetu. Jamaa alikuwa smat ile mbaya. Alikuwa anajua kuchagua nguo za kuvaa, na viatu vya kumechi, kisha nywele zake safi kila Jumamosi mchana lazima utamkuta saluni anatengeneza nywele, uso anaskrab, swafi sana. Hata siku hizi za mvua utadhani anajua kukwepa matone ya mvua, yaani we acha tu. Wanaume wenzie walikuwa wakiha-dithiana jinsi jamaa alivyo msafi, maana hata kwake...

 

11 years ago

Michuzi

Ulaji kwa Wabongo UNDP


A program is about to start in Tanzania, funded by Bill Merinda Gate Foundation, for transformation of the agricultural industry. However, the Senior Program Officer / Senior Regional Advisor -East Africa, who is Kenyan and based in Seattle, has told me that they have failed to find qualified Tanzanians to fill the positions indicated below. I did not believe her because I know we have a lot of talent in the different agricultural sciences. Please help to look for the right people so we do...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wabongo wamtaka Malope Agosti 3

MWIMBAJI mahiri nchini, Rose Muhando, amesema mashabiki wengi nchini wameomba malkia wa muziki wa injili nchini Afrika Kusini, Rebecca Malope, awepo kwenye uzinduzi wa albamu yake ya ‘Kamata Pindo la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani