WABONGO SAUZI SI SALAMA
![](http://api.ning.com:80/files/rhqcRsJl7aTUPE1cp*FEXTFGoGomlgd7i2ml4zm1v1T0SFmf5hae164ctnkgiMmtRr3qws9pZb0UJOxPyWS1xYFpV5eW6ZAH/1.jpg?width=650)
INATISHA! Huku Wabongo wengi wakiendelea kukimbilia Afrika Kusini (Sauzi) kwa kigezo cha kutafuta maisha mazuri, imethibitika kwamba hali ya amani nchini humo si salama. Wahamiaji wakionekana kujiokoa pamoja na watoto wao. Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali kutoka nchini humo, Wabongo wengi na wageni wengine kutoka nchi tofautitofauti Afrika kama Zimbabwe, Botswana, Namibia na nchi nyingine wamekuwa wakifanyiwa vitendo vya kikatili...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3dClu3zYZus5qlSTGDqbrFr6kwGnFonH05CQduzy*POUvQTqaZ*Y0OwKq1zz0pe4SS9TByKp5V0kSQAsrDrLK5Ot08mBR*dy/masogange.jpg?width=650)
MASOGANGE AHAMIA SAUZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dyivh8oZtExk9LHvePuC-8bnJhWD69-0DD*i3sDQCcrX6Ix*rJkz41rkP-G80NWDbIgBJhoA1ruzt2RGszKKBzFbpveonlWC/CHEKANAKITIME.jpg)
SIFA YA WABONGO UONGO!
10 years ago
Vijimambo27 Feb
My Humble letter to Wabongo
Women and the hope factor! I in my humble opinion I think the hope factor is a number one killer of many women who experienced abusive in relationship. Much research has shown that women who use hope factor as their shield to continue to live in a bad relationship normally something is wrong with them. Often they think they are not good enough or not strong enough to stand on their own feet. Recently, our beloved singer Lady Jaydee admitted that some redemption was needed in her marriage....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNQ6QgfHLAKbIJZgna0skwyjV5Wy6p-7UYtLKTbFhxPH-GfDwu2zec-*Er025DMt2favZtikYR6BvBUivJKyiP58/chidi.jpg)
ALIYEPIGWA NA CHID ATIMKIA SAUZI
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Simba kunoa kucha ‘Sauzi’
TIMU ya Simba itakwenda nchini Afrika Kusini kusaka makali ya Ligi Kuu ya Bara itakayoanza Septemba 20, badala ya visiwani Zanzibar. Awali kambi ya timu hiyo ilikuwa iwe Zanzibar ambako...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TsX1sCH_RNU/VVXxCFVgQPI/AAAAAAAHXcY/314ByYdt6Xc/s72-c/unnamed%2B(86).jpg)
STARS YAENDELEA KUJIFUA SAUZI....
![](http://3.bp.blogspot.com/-TsX1sCH_RNU/VVXxCFVgQPI/AAAAAAAHXcY/314ByYdt6Xc/s640/unnamed%2B(86).jpg)
Kocha mkuu wa timu ya Taifa Stars Mart Nooij amesema vijana wake wanaendelea vizuri na mazoezi, ikiwa leo ni siku ya pili kufanya mazoezi baada ya kufanya mazoezi ya kwanza jana jioni.
Nooii amesema japokuwa kuna hali ya hewa ya baridi katika mji wa Rustenburg, wachezaji wake wameanza kuizoea na kusema kwa kuwa bado kuna zaidi ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iumatxx-0jw6EK2azU*Pe76QjZwXMwV9P7lVg74MS*jfBTPZNuyDjZH8sfc8nyRINg55*0LJOTnTitbdNiH*ZDUE2wW3L9Pb/SHIJA.jpg?width=650)
SHIJA AUGUA ALAZWA SAUZI
9 years ago
Habarileo06 Nov
Taifa Stars kujipima Sauzi
KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kinachodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager, Jumapili kinatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya University of Pretoria (Tucks FC) jijini Johannesburg ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mchezo dhidi ya Algeria Novemba 14, mwaka huu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BY6VWIVrp22obj2MMUIgXkYQVis0tPKCAop6PBevJagJAV3HL2JqOShJzZSInVrMSYryUjEK6UP6Hb4PC1ZwhxyGHfm5pc9N/masogange.jpg)
MASOGANGE ATANGAZIWA NDOA SAUZI