Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHIJA AUGUA ALAZWA SAUZI

Stori: Joseph Shaluwa STAA wa filamu za Kibongo, Deogratius Shija ameugua ghafla na kulazwa katika hospitali moja jijini Johannesburg, Afrika Kusini alipokwenda kwa mapumziko mafupi. Staa wa filamu za Kibongo, Deogratius Shija akiwa Hospitalini jijini Johannesburg, Afrika Kusini. Akiwasiliana na mwandishi wetu kupitia mtandao mmoja wa kijamii, rafiki wa karibu wa Shija aliyeomba hifadhi ya jina lake alithibitisha kuhusu kuugua...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mjumbe Bunge Maalumu augua ghafla, alazwa

Mjumbe wa Bunge Maalumu, Asha Bakari Makame amelazimika kuwahishwa kwenda Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam kwa ajili ya matibabu baada ya kuzidiwa akiwa Dodoma ambako alikuwa akihudhuria vikao vya kamati.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbunge Vicky Kamata augua

>Ni matukio nadra kutokea katika maisha, lakini haya ndiyo yaliyomkuta Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Vicky Kamata, baada ya kuugua ghafla saa 36 kabla ya harusi yake.

 

11 years ago

GPL

SHERRY MAGALI AUGUA, AKONDA

Stori:  Hamida Hassan
STAA wa filamu za vichekesho Bongo ambaye ni mtoto wa Mzee Charles Magali, Sherry Charles Magali ana hali mbaya na sasa ukimuona huwezi kumtambua kama ni yeye. Sherry Charles Magali kabla ya kukonda. Hali hiyo imekuja kutokana na maelezo kuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa moyo kiasi cha kumfanya akonde sana na lile wowowo lake lililokuwa likimtambulisha kwenye usanii kupotea. “Yaani sina hata la...

 

10 years ago

Mwananchi

Asomewa shtaka, augua ghafla

Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na shtaka la kushawishi wafuasi wake kutenda kosa la jinai.

 

11 years ago

GPL

MAFUFU AUGUA, ASHINDWA KUMZIKA KUAMBIANA

Stori:Hamida Hassan STAA wa filamu za Kibongo, Jimmy Mafufu licha ya kutoa suti ya shilingi 400,000 aliyozikiwa nayo marehemu Kuambiana, alishindwa kumzika rafiki yake huyo kipenzi baada ya kuugua ghafla siku ya mazishi na kulazwa hospitali. Muigizaji wa filamu za Kibongo, Jimmy Mafufu. Akizungumza na Ijumaa, Mafufu alisema kuwa alijikuta akipatwa na maumivu makali pamoja na homa hali iliyosababisha alazwe katika Hospitali ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Muhammad Ali augua homa ya mapafu

Mwanamasumbwi nguli na bingwa mara tatu wa uzani wa heavyweight Muhammad Ali amelazwa hospitalini kwa ugonjwa wa homa ya mapafu .

 

10 years ago

Mwananchi

Mbowe augua ghafla, awahishwa Muhimbili

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe jana aliugua ghafla akiwa katika maandamano ya kumsindikiza mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho, Edward Lowassa baada ya kuchukua fomu za kugombea urais katika Tume ya Taifa Uchaguzi (NEC).

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Kiir augua na kuchelewesha mazungumzo

Mkutano wa viongozi wa kikanda ulioandaliwa kujadili mgogoro wa mwaka mmoja unaotokota Sudan Kusini, umecheleweshwa baada ya Rais Kiir kuugua

 

10 years ago

GPL

AUZA MAHINDI, AUGUA FANGASI MIGUUNI

Staa wa Filam za Bongo, Jacob Steven 'JB'. MPENZI msomaji, wiki iliyopita tulikomea pale JB alipokuwa anasimulia jinsi alivyojibizana na wazazi wake hadharani baada ya kuambiwa jambo ambalo aliona kabisa halikuwa sahihi kwa wakati ule. Je, ni jambo gani hilo? Teremsha macho hapa chini. “Waliniambia kuwa wamefikiria na kuona nafaa kurudi tena shuleni, jambo lililonipelekea kubishana nao kwa wazi na kwa mara ya kwanza kabisa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani