Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais Kiir augua na kuchelewesha mazungumzo

Mkutano wa viongozi wa kikanda ulioandaliwa kujadili mgogoro wa mwaka mmoja unaotokota Sudan Kusini, umecheleweshwa baada ya Rais Kiir kuugua

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria:Rais akana kuchelewesha uchaguzi

Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan amekana kwamba alishauriwa kuhusu kuahirishwa kwa uchaguzi wa urais

 

10 years ago

StarTV

Rais Nigeria akana kuchelewesha uchaguzi.

Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan amekana kwamba alishauriwa kuhusu kuahirishwa kwa uchaguzi wa urais nchini humo siku ya jumamosi.

Maafisa wa uchaguzi walichukua hatua hiyo kufuatia ushauri wa wasiwasi wa maafisa wa usalama kuhusu mashambulizi ya wapiganaji wa Boko Haram kazkazini mashariki alisema.

Kucheleweshwa kwa uchaguzi kwa kipindi cha wiki moja sio kitu kikubwa alisema katika rininga ya taifa hilo.

cialis nitrato

Upinzani unadai kwamba bwana Johnathan alilazimisha uchaguzi...

 

10 years ago

GPL

RAIS KIKWETE APOKEA UJUMBE TOKA KWA RAIS WA SUDAN KUSINI SALVAR KIIR JIJINI DAR

Rais Jakaya Mrisho Kikwete amepokea ujumbe maalum kutoka kwa Rais Salvar Kiir Mayardit wa Sudan Kusini ulioletwa na mjumbe malumu Jenerali James Kok Ruea jana Jumamosi Septemba 14, mwaka huu Ikulu jijini Dar es Salaam. Mjumbe huyo aliongozana pia na Mkuu wa Kituo cha Martti Ahtisari (Martti Ahtisari Centre) kwa nchi za Afrika chini ya Jangwa la Sahara, Bw. Itonde Kakoma. (PICHA NA IKULU)… ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete apokea ujumbe toka kwa Rais wa Sudani ya Kusini Mhe Salvar Kiir jijini Dar

ss1

Rais Jakaya Mrisho Kikwete amepokea ujumbe maalumu toka kwa Rais Salvar Kiir Mayardit wa Sudani Kusini  ulioletwa na mjumbe malumu Jenerali James Kok Ruea Jumamosi September 14, Ikulu jijini Dar es salaam. Mjumbe huyo aliongozana pia na Mkuu wa Kituo cha Martti Ahtisari (Martti Ahtisari Centre) kwa nchi za Afrika chini ya Jangwa la Sahara, Bw. Itonde Kakoma.(Picha na IKULU).

ss2

unnamed (6)

 

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE APOKEA UJUMBE TOKA KWA RAIS WA SUDANI YA KUSINI MHE SALVAR KIIR JIJINI DAR ES SALAAM

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha mjumbe malumu wa Rais Salvar Kiir Mayardit wa Sudani Kusini,Jenerali James Kok Ruea alieleta Ujumbe maalum toka kwa Rais huyo wa Sudan Kusini Jumamosi September 14, Ikulu jijini Dar es salaam. Mjumbe huyo aliongozana pia na Mkuu wa Kituo cha Martti Ahtisari (Martti Ahtisari Centre) kwa nchi za Afrika chini ya Jangwa la Sahara, Bw. Itonde Kakoma.Rais Jakaya Mrisho Kikwete amekisoma ujumbe maalumu toka kwa Rais Salvar Kiir Mayardit wa Sudani Kusini ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais Kiir kukutana na Riek Machar

Rais Salva Kiir anatarajiwa kukutana na Riek Machar kwa mara ya kwanza tangu watie saini mkataba wa kusitisha vita mwezi uliopita.

 

10 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete awakutanisha Kiir, Machar

Makundi matatu ndani ya Chama tawala cha Sudan People Liberation Movement (SPLM) cha Sudan Kusini, yametia saini makubaliano ya kuanza mazungumzo ya kurejesha umoja na kusitisha vita.

 

9 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete afanya Mazungumzo na Rais Kabila wa DRC Dar es Salaam

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikutana, kufanya mazungumzo ya faragha na kisha kuagana na Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC wakati Rais huyo aliposimama kwa muda katika Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es Salaam leo mchana na kisha kurejea Kongo.(picha na Freddy Maro)

 

11 years ago

Michuzi

Rais wa Zanzibar Dk.Shein afanya mazungumzo na Makamo wa Rais India

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akiwa kwenye picha ya pamoja na Makamu wa Rais wa India Mohamed Hamid Ansari wakati walipokuwatana nchini India.
Tanzania na India zimeeleza kuridhishwa na uhusiano na ushirikiano uliopo baina yao na kusisitiza dhamira ya kweli ya kuona kuwa ushirikiano huo unazidi kuimarika kwa manufaa ya Serikali na wananchi wa nchi hizo.
Hayo yamejitokeza leo wakati wa mazungumzo kati ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani