Rais wa Zanzibar Dk.Shein afanya mazungumzo na Makamo wa Rais India
![](http://1.bp.blogspot.com/-q5KIL1hTB-k/Uu_RYF-nGbI/AAAAAAAFKs8/Pmn-LT3Gyd8/s72-c/vp_tan.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akiwa kwenye picha ya pamoja na Makamu wa Rais wa India Mohamed Hamid Ansari wakati walipokuwatana nchini India.
Tanzania na India zimeeleza kuridhishwa na uhusiano na ushirikiano uliopo baina yao na kusisitiza dhamira ya kweli ya kuona kuwa ushirikiano huo unazidi kuimarika kwa manufaa ya Serikali na wananchi wa nchi hizo.
Hayo yamejitokeza leo wakati wa mazungumzo kati ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziRais wa Zanzibar Dkt. Shein afanya mazungumzo na Balozi Mdogo wa China
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-g1bQiFSh6Hs/XmeYY7y0b3I/AAAAAAALibQ/5RsVZdWeWD8WEDQo7upWwzUFZmcicT0YwCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1AAA-2-768x512.jpg)
RAIS, DK SHEIN AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI SIMBACHAWENE, IKULU ZANZIBAR, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-g1bQiFSh6Hs/XmeYY7y0b3I/AAAAAAALibQ/5RsVZdWeWD8WEDQo7upWwzUFZmcicT0YwCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1AAA-2-768x512.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto), wakati alipofika kujitambulisha na kufanya mazungunzo, Ikulu Zanzibar, leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PIX-2AA-5-1024x682.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WcwB0kRI3oc/U1-74yobF8I/AAAAAAAFeB4/I8bb_4wiYI8/s72-c/unnamed+(4).jpg)
UONGOZI WA OFISI YA MAKAMO WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR WAZUNGUMZA NA DK. SHEIN, IKULU
![](http://3.bp.blogspot.com/-WcwB0kRI3oc/U1-74yobF8I/AAAAAAAFeB4/I8bb_4wiYI8/s1600/unnamed+(4).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CKNb2vmkfjs/U1-75HQ-9VI/AAAAAAAFeB8/uZkvxU0iC2M/s1600/unnamed+(5).jpg)
10 years ago
VijimamboRais Kikwete afanya Mazungumzo Rasmi na Wziri Mkuu wa India
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Wziri Mkuu wa India Narendra Modi katika ikulu ya New Delhi muda mfupi kabla ya kuanza mazungumo rasmi(official talks) leo asubuhi.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wake wakiwa katika mazungumzo rasmi(Official talks) na Waziri Mkuu wa India na viongozi wandamizi wa serikali yake katika ikulu ya New Delhi India leo mchana
Waziri Mkuu wa India Narendra Modi akimsikiliza kwa makini Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza wakati wa mkutano...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GxgWrJ8o7jE/U2io7ld38mI/AAAAAAAFf34/6fJoreeDs4M/s72-c/unnamed+(6).jpg)
DKT. SHEIN AFANYA MAZUNGUMZO NA OFISI YA RAIS,TAWALA ZA MIKOA NA IDARA MAALUM ZA SMZ LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-GxgWrJ8o7jE/U2io7ld38mI/AAAAAAAFf34/6fJoreeDs4M/s1600/unnamed+(6).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-e15_K2QQI3g/U2io8PvlANI/AAAAAAAFf38/fI5wprxsiwQ/s1600/unnamed+(7).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-1qA0AM7-f3o/VPxiYE1iWhI/AAAAAAABngY/nLoJ4Kd9ob8/s72-c/7193.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DR MOHAMED SHEIN AFANYA UFUNGUZI WA HOTEL YA HYATT ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-1qA0AM7-f3o/VPxiYE1iWhI/AAAAAAABngY/nLoJ4Kd9ob8/s1600/7193.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vANpW86A2pg/VPxicSAkwII/AAAAAAABngg/1G-V0ZC3VgA/s640/7183.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6U181GOylPU/UvIf1sWF-OI/AAAAAAAFK_4/FtfFKivjZ8A/s72-c/unnamed+(35).jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar afanya mazungumzo na Balozi Mdogo wa Serikali ya Jamuhuri ya Watu wa China
![](http://3.bp.blogspot.com/-6U181GOylPU/UvIf1sWF-OI/AAAAAAAFK_4/FtfFKivjZ8A/s1600/unnamed+(35).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lq0IenuLQWE/UvIf11FZMLI/AAAAAAAFK_8/lUS2MVOhw7s/s1600/unnamed+(36).jpg)
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
9 years ago
VijimamboRais Kikwete afanya Mazungumzo na Rais Kabila wa DRC Dar es Salaam