Rais Kikwete afanya Mazungumzo Rasmi na Wziri Mkuu wa India
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Wziri Mkuu wa India Narendra Modi katika ikulu ya New Delhi muda mfupi kabla ya kuanza mazungumo rasmi(official talks) leo asubuhi.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wake wakiwa katika mazungumzo rasmi(Official talks) na Waziri Mkuu wa India na viongozi wandamizi wa serikali yake katika ikulu ya New Delhi India leo mchana
Waziri Mkuu wa India Narendra Modi akimsikiliza kwa makini Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza wakati wa mkutano...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziRAIS NA WAZIRI MKUU WA INDIA WAMPOKEA RASMI RAIS KIKWETE IKULU YA INDIA
10 years ago
MichuziRais Kikwete afanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Ethiopia Ikulu Dar es salaam
10 years ago
VijimamboRais Kikwete afanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Ethiopia Ikulu Dar es Salam
11 years ago
Dewji Blog16 May
Rais Jakaya Kikwete afanya mazungumzo na Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga( ICAO) Ikulu Jijini Dar
Rais Jakaya Kikwete akimkaribisha Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (ICAO) Raymond Benjamin Ikulu jijini Dar es Salaam, Katibu huyo yupo nchini kwa ziara ya Kikazi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK. Jakaya Kikwete akiongea na Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (ICAO) Raymond Benjamin, wakati alipofika Ikulu jijini Dar es Salaam leo, Katibu huyo yupo nchini kwa ziara ya Kikazi kuanzia Mei 14 hadi 18 Mei 2014.
Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-q5KIL1hTB-k/Uu_RYF-nGbI/AAAAAAAFKs8/Pmn-LT3Gyd8/s72-c/vp_tan.jpg)
Rais wa Zanzibar Dk.Shein afanya mazungumzo na Makamo wa Rais India
![](http://1.bp.blogspot.com/-q5KIL1hTB-k/Uu_RYF-nGbI/AAAAAAAFKs8/Pmn-LT3Gyd8/s1600/vp_tan.jpg)
Tanzania na India zimeeleza kuridhishwa na uhusiano na ushirikiano uliopo baina yao na kusisitiza dhamira ya kweli ya kuona kuwa ushirikiano huo unazidi kuimarika kwa manufaa ya Serikali na wananchi wa nchi hizo.
Hayo yamejitokeza leo wakati wa mazungumzo kati ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa...
9 years ago
VijimamboRais Kikwete afanya Mazungumzo na Rais Kabila wa DRC Dar es Salaam
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS KABILA WA DRC JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-opK39gMHe98/UvTXKm6YruI/AAAAAAAFLl4/ddike4NRDho/s72-c/unnamed+(60).jpg)
Rais Kikwete akutana na Rais wa Kampuni ya TBEA ya China,pia afanya mazungumzo na Lord Mandelson
![](http://2.bp.blogspot.com/-opK39gMHe98/UvTXKm6YruI/AAAAAAAFLl4/ddike4NRDho/s1600/unnamed+(60).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-U8dJSU1-nY0/UvTXKxUEPyI/AAAAAAAFLl8/hhntsNi5e4Q/s1600/unnamed+(61).jpg)
9 years ago
MichuziRAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA KIKWETE, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Rais Mstaafu wa Awamu ya nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Ikulu jijini Dar es Salaam.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-3bxIkxhe-tc/Vo06jrDogdI/AAAAAAADElU/fuh6Qlgm5Vk/s1600/New%2BPicture.png)