RAIS NA WAZIRI MKUU WA INDIA WAMPOKEA RASMI RAIS KIKWETE IKULU YA INDIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akikaribishwa na Waziri Mkuu wa India, Mheshimiwa Narendra Modi mara baada ya kuwasili Ikulu ya India kwa sherehe za ukaribisho wake rasmi nchini India kwa ajili ya ziara yake ya Kiserikali. Sherehe hizo zimefanyika asubuhi ya leo, Ijumaa, Juni 19, 2015.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete, Waziri Mkuu wa IndiaMheshimiwa Narendra Modi, na Rais Wa IndiaMheshimiwa Pranad Mukherjee wakiwa katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboRais Kikwete afanya Mazungumzo Rasmi na Wziri Mkuu wa India
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Wziri Mkuu wa India Narendra Modi katika ikulu ya New Delhi muda mfupi kabla ya kuanza mazungumo rasmi(official talks) leo asubuhi.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wake wakiwa katika mazungumzo rasmi(Official talks) na Waziri Mkuu wa India na viongozi wandamizi wa serikali yake katika ikulu ya New Delhi India leo mchana
Waziri Mkuu wa India Narendra Modi akimsikiliza kwa makini Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza wakati wa mkutano...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Bvo4riHoSm8/Ve9WAAlYphI/AAAAAAAH3bk/DVBgoXw2ut8/s72-c/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
Rais Kikwete apokea ujumbe kutoka kwa Waziri Mkuu wa India Narendra Modi
![](http://4.bp.blogspot.com/-Bvo4riHoSm8/Ve9WAAlYphI/AAAAAAAH3bk/DVBgoXw2ut8/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-JDSSR96RTeE/Ve9WAf1-gAI/AAAAAAAH3bo/37Dc12TO6Ww/s640/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboMabalozi India,Ubelgiji na Sweden wamuaga Rais Kikwete ikulu
Mabalozi walioagana na Rais leo ikulu jijini Dar es Salaam ni pamoja na Mhe.Debnath Shaw wa India,Balozi Koenraad Adam wa Ubelgiji na balozi Lennarth Hjelmaker wa Sweden.
10 years ago
Dewji Blog18 Jun
Rais Kikwete aondoka nchini kwa ziara rasmi ya Kiserikali ya siku nne katika Jamhuri ya India
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete yuko njiani kwenda India ambako atafanya ziara rasmi ya Kiserikali ya siku nne katika Jamhuri ya India kwa mwaliko wa Rais wa India, Mheshimiwa Pranab Mukherjee. Ziara hiyo, inaanza rasmi jioni ya Jumatano, Juni 17, 2015.
Wakati wa ziara yake, Rais Kikwete ambaye anafuatana na Mama Salma Kikwete, mbali na kukutana na Rais Mukherjee kwa...
10 years ago
Vijimambo03 Feb
Mhe. Rais Kikwete ampokea rasmi Rais Gauck-Ikulu
9 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-Jac6XOpCQ8g/VkSPy-I5yNI/AAAAAAAIFds/kwff6srFcjM/s1600/jpJK%2B%25282%2529.jpg)
RAIS MAGUFULI AKABIDHIWA RASMI OFISI IKULU NA RAIS MSTAAFU KIKWETE JANA
10 years ago
MichuziRais Kikwete afanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Ethiopia Ikulu Dar es salaam
10 years ago
VijimamboRais Kikwete afanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Ethiopia Ikulu Dar es Salam