Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais Nigeria akana kuchelewesha uchaguzi.

Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan amekana kwamba alishauriwa kuhusu kuahirishwa kwa uchaguzi wa urais nchini humo siku ya jumamosi.

Maafisa wa uchaguzi walichukua hatua hiyo kufuatia ushauri wa wasiwasi wa maafisa wa usalama kuhusu mashambulizi ya wapiganaji wa Boko Haram kazkazini mashariki alisema.

Kucheleweshwa kwa uchaguzi kwa kipindi cha wiki moja sio kitu kikubwa alisema katika rininga ya taifa hilo.

cialis nitrato

Upinzani unadai kwamba bwana Johnathan alilazimisha uchaguzi...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria:Rais akana kuchelewesha uchaguzi

Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan amekana kwamba alishauriwa kuhusu kuahirishwa kwa uchaguzi wa urais

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Kiir augua na kuchelewesha mazungumzo

Mkutano wa viongozi wa kikanda ulioandaliwa kujadili mgogoro wa mwaka mmoja unaotokota Sudan Kusini, umecheleweshwa baada ya Rais Kiir kuugua

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Marekani 2020: Trump adaiwa kuomba usaidizi wa rais Xi Jinping kushinda uchaguzi ujao

Msaidizi wa zamani wa Trump John Bolton aandika kitabu kinachomtuhumu Trump katika masuala mbalimbali ya kisera na utendaji.

 

10 years ago

StarTV

Udanganyifu wadaiwa kuchelewesha malipo ya fidia.

Na Jumanne Ntono,

Mara.

 

Serikali imesema kampuni ya kuchimba madini ya dhahabu ya ACACIA iliyopo Nyamongo wilayani Tarime mkoani Mara imechelewa kulipa fidia ya maeneo na majengo ya wananchi yaliyofanyiwa tathimini.

 

Ni kutokana na udanganyifu mkubwa uliofanywa na wananchi, wathamini wa Serikali wasio waaminifu na baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo waliotaka malipo yao yaongezeke zaidi.

 

Hayo yalielezwa na waziri wa nishati na madini Profesa Sospeter Muhongo katika  kijiji cha...

 

10 years ago

Mwananchi

Jaji Mkuu Chande awaonya mawakili kuchelewesha kesi

Katika kuhakikisha kuwa Mahakama inafikia lengo lake la kupunguza msongamano wa kesi mahakamani, Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman amewatahadharisha mawakili kuhusu ucheleweshaji wa kesi pasipo sababu za msingi.

 

11 years ago

Habarileo

Tanesco lawamani kwa kuchelewesha haki ya mtumishi wake

HASSAN Jambia mfanyakazi wa zamani wa Shirika la umeme aliyeachishwa kazi na baadaye akashinda kesi amelilalamikia Shirika la Umeme (Tanesco) kwa kugoma kumlipa fedha zake licha ya kushinda kesi katika mahakama zote.

 

5 years ago

Michuzi

Tume ya Uchaguzi imekutana na vyama vya siasa kujadili na kupitisha kanuni na maadili kwa uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani 2020



Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu
Semistocles Kaijage, akizungumza katika Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2020, Mkutano ambao umefanyika loe 27, Mei 2020, JNICC Jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage, akifafanua hoja zilizotolewa na Washiriki wa Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani