Rais Nigeria akana kuchelewesha uchaguzi.
Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan amekana kwamba alishauriwa kuhusu kuahirishwa kwa uchaguzi wa urais nchini humo siku ya jumamosi.
Maafisa wa uchaguzi walichukua hatua hiyo kufuatia ushauri wa wasiwasi wa maafisa wa usalama kuhusu mashambulizi ya wapiganaji wa Boko Haram kazkazini mashariki alisema.
Kucheleweshwa kwa uchaguzi kwa kipindi cha wiki moja sio kitu kikubwa alisema katika rininga ya taifa hilo.
cialis nitratoUpinzani unadai kwamba bwana Johnathan alilazimisha uchaguzi...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Feb
Nigeria:Rais akana kuchelewesha uchaguzi
10 years ago
BBCSwahili29 Jan
Rais Kiir augua na kuchelewesha mazungumzo
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-cWDZTI8xshk/VhIKgzKPVqI/AAAAAAAACUI/Trpx0u-uBtA/s72-c/1.png)
TUME YA TAIFA TA UCHAGUZI YATOA RATIBA YA MABADILIKO YA MIKUTANO YA KAMPENI ZA UCHAGUZI WA RAIS, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-cWDZTI8xshk/VhIKgzKPVqI/AAAAAAAACUI/Trpx0u-uBtA/s640/1.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Vx3uvlGbi6I/VhIKg543f9I/AAAAAAAACUQ/Dc9fln4PkgA/s640/3%2Boktoba%2B2015.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RFwFoYuRzww/VhIKhIzrxII/AAAAAAAACUM/OZ2T-GSuAa0/s640/4%2Boktoba%2B2015.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FdQuBh595Mo/VhIKhy5CmDI/AAAAAAAACUY/rawgMs319Sk/s640/5%2Boktoba2015.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-P6ZB3jXFF6A/VhIKiqjQrDI/AAAAAAAACUs/Nuj8u6qC76c/s640/6%2Boktoba%2B2015.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-X0S7fWtlbP8/VhIKika2BNI/AAAAAAAACUo/UZ6w4KvIWW8/s640/7%2Boktoba%2B2015.png)
Chanzo: Tume ya Taifa ya Uchaguzi Blog
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ac5AYlNgM9o/VjDrVxtvHBI/AAAAAAABYOI/rRKDALR-qxA/s72-c/1.jpg)
5 years ago
BBCSwahili18 Jun
Uchaguzi Marekani 2020: Trump adaiwa kuomba usaidizi wa rais Xi Jinping kushinda uchaguzi ujao
10 years ago
StarTV30 Dec
Udanganyifu wadaiwa kuchelewesha malipo ya fidia.
Na Jumanne Ntono,
Mara.
Serikali imesema kampuni ya kuchimba madini ya dhahabu ya ACACIA iliyopo Nyamongo wilayani Tarime mkoani Mara imechelewa kulipa fidia ya maeneo na majengo ya wananchi yaliyofanyiwa tathimini.
Ni kutokana na udanganyifu mkubwa uliofanywa na wananchi, wathamini wa Serikali wasio waaminifu na baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo waliotaka malipo yao yaongezeke zaidi.
Hayo yalielezwa na waziri wa nishati na madini Profesa Sospeter Muhongo katika kijiji cha...
10 years ago
Mwananchi08 Dec
Jaji Mkuu Chande awaonya mawakili kuchelewesha kesi
11 years ago
Habarileo10 Apr
Tanesco lawamani kwa kuchelewesha haki ya mtumishi wake
HASSAN Jambia mfanyakazi wa zamani wa Shirika la umeme aliyeachishwa kazi na baadaye akashinda kesi amelilalamikia Shirika la Umeme (Tanesco) kwa kugoma kumlipa fedha zake licha ya kushinda kesi katika mahakama zote.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-leNsOApSo34/Xs6ATZt58OI/AAAAAAALrwY/UdM8rUE55fQ3exquGR-b0nvCcEERGT0pACLcBGAsYHQ/s72-c/1-26-2048x1365.jpg)
Tume ya Uchaguzi imekutana na vyama vya siasa kujadili na kupitisha kanuni na maadili kwa uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-leNsOApSo34/Xs6ATZt58OI/AAAAAAALrwY/UdM8rUE55fQ3exquGR-b0nvCcEERGT0pACLcBGAsYHQ/s640/1-26-2048x1365.jpg)
Semistocles Kaijage, akizungumza katika Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2020, Mkutano ambao umefanyika loe 27, Mei 2020, JNICC Jijini Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-19-scaled.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2B-scaled.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage, akifafanua hoja zilizotolewa na Washiriki wa Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na...