Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AUZA MAHINDI, AUGUA FANGASI MIGUUNI

Staa wa Filam za Bongo, Jacob Steven 'JB'. MPENZI msomaji, wiki iliyopita tulikomea pale JB alipokuwa anasimulia jinsi alivyojibizana na wazazi wake hadharani baada ya kuambiwa jambo ambalo aliona kabisa halikuwa sahihi kwa wakati ule. Je, ni jambo gani hilo? Teremsha macho hapa chini. “Waliniambia kuwa wamefikiria na kuona nafaa kurudi tena shuleni, jambo lililonipelekea kubishana nao kwa wazi na kwa mara ya kwanza kabisa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tanzania kuuza mahindi Kenya tani 50,000 za mahindi

Serikali ipo katika hatua za mwisho za makubaliano ya kuuza tani 50,000 za awali za mahindi nchini Kenya.

 

11 years ago

Mwananchi

Namna ya kukabili harufu mbaya miguuni

Miguu kutoa harufu mbaya ni tatizo sugu linalowakabili baadhi ya watu katika jamii, wengi wakiwa wanaume.

 

5 years ago

Michuzi

Baada ya mapumziko ya miezi mitatu, mpira unazunguka miguuni tena

KWANZIA leo, tutakuwa na uwezo wa kufurahia Ligi nyingine ya mpira wa miguu ikicheza. Sote tunafahamu orodha ya ubashiri haipendezi kama Serie A haipo.
Kurejea kwake ni kama mpira halisi umemkuta anae bashiri, na ofa maalum kutoka Meridian huwezi kuikataa kwani kuna ofa ya machaguo Zaidi ya 5000 kwa siku tatu tu!
Hali ilivyo sio ya kutabirika - Lazio wapo makini kwenye mashindano wakiwa alama moja nyuma ya Juventus, ambao tayari wamepoteza Kombe la nyumbani dhidi ya wapinzani wao Napoli....

 

10 years ago

GPL

MAAMBUKIZI YA FANGASI SEHEMU ZA SIRI -3

WIKI iliyopita tulieleza madhara ya fangasi zehemu ya siri na jinsi ugonjwa huo unavyosumbua wanawake.
Leo tunaendelea kuelezea fangasi sehemu za siri wanavyosumbua na tuliahidi kwamba tutaeleza tiba yake.
Baada ya kueleza mengi kuhusiana na ugonjwa huu leo tutaeleza matibabu yake ambayo huusisha dawa za kutibu fangasi (antifungal drugs) kama vile dawa za kupaka za Topical Clotrimazole, Topical Nystatin, Fluconazole au...

 

10 years ago

GPL

MAAMBUKIZI YA FANGASI KWA WAJAWAZITO

WIKI iliyopita tuliona jinsi fangasi wanavyoambukiza na kusababisha madhara mbalimbali sehemu za siri.
Leo tunakwenda mbele zaidi kwa kuangazia akina mama wenye ujauzito ambao hupata fangasi hawa kutokana na kubadilika kwa mfumo wa homoni mwilini na kupungua kwa kinga ya mwili. Hata hivyo, ieleweke kuwa si kila mjamzito hupatwa na maambukizi haya ya fangasi wa Candida albicans.
Matumizi ya dawa za kupanga uzazi  maarufu...

 

11 years ago

GPL

BAAMEDI AUZA BAA NA MTOTO

Chande Abdallah na Deogratius Mongela
MSICHANA aliyejitambulisha kwa jina la Halima Jumanne (20) amejikuta akiuza baa huku akiwa na mtoto wa mwaka mmoja na nusu ubavuni kisa kikidaiwa hali ngumu ya maisha. Halima Jumanne (20) akiwa na mwanaye mzigoni katika baa moja (jina limehifadhiwa) iliyopo Buza Kanisani jijini Dar. Tukio hilo la kushangaza lilijiri Juni 2, mwaka huu kwenye baa moja (jina kapuni) iliyopo Buza Kanisani...

 

10 years ago

GPL

MAAMBUKIZI YA FANGASI SEHEMU ZA SIRI -2

WIKI iliyopita tulieleza matatizo ya fangasi sehemu za siri na jinsi wanavyowasumbua waliokumbwa na maradhi haya, tunaeleza ni wanawake gani hupatwa na tatizo hili. Leo tunaendelea kuwaelimisha na tunaanza kufafanua wale wanaopatwa na ugonjwa huu, endelea: Wengine wanaopatwa na fangasi hawa sehemu za siri ni wale wanaotumia sana dawa za kuua bakteria (antibiotics, steroids) ambazo zina tabia ya kushusha kinga ya mwili.Mabadiliko...

 

10 years ago

GPL

WEMA AUZA GARI LA DIAMOND

Stori: Mwandishi wetu
Lile gari jipya aina ya Nissan  Murano la staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alilompa aliyekuwa mwandani wake, Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ limezua mapya ambapo baada ya kudai linamchefua sasa anadaiwa kuwa analiuza kwa kigezo kwamba hataki gundu mwaka huu mpya wa 2015. Gari jipya aina ya Nissan  Murano la staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul...

 

10 years ago

GPL

MAAMBUKIZI YA FANGASI SEHEMU ZA SIRI

Kati ya maambukizi yanayowasumbua wanawake wengi duniani ni maambukizi ya fangasi sehemu za siri. Maambukizi ya fangasi katika sehemu za siri za mwanamke husababishwa na uwepo wa fangasi wanaojulikana kitaalamu kama Candida Albicans ambayo pia hujulikana kama Yeast Infection au Thrush. Fangasi hupatikana kama vimelea vya kawaida katika mdomo, mpira wa kupitisha chakula sehemu inayojulikana kama Pharynx, katika kibofu cha mkojo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani