Baada ya mapumziko ya miezi mitatu, mpira unazunguka miguuni tena
![](https://1.bp.blogspot.com/-mFdqwSJG6RQ/XuzH-ZrSliI/AAAAAAALupw/VmbnxB31NNYHx7aFnRFWaU7K6bU1aRxIgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-19%2Bat%2B5.08.00%2BPM.jpeg)
KWANZIA leo, tutakuwa na uwezo wa kufurahia Ligi nyingine ya mpira wa miguu ikicheza. Sote tunafahamu orodha ya ubashiri haipendezi kama Serie A haipo.
Kurejea kwake ni kama mpira halisi umemkuta anae bashiri, na ofa maalum kutoka Meridian huwezi kuikataa kwani kuna ofa ya machaguo Zaidi ya 5000 kwa siku tatu tu!
Hali ilivyo sio ya kutabirika - Lazio wapo makini kwenye mashindano wakiwa alama moja nyuma ya Juventus, ambao tayari wamepoteza Kombe la nyumbani dhidi ya wapinzani wao Napoli....
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog16 Oct
Baada ya mapumziko ya miezi 4, Lady Jaydee is BACK!
Baada ya mapumziko ya miezi 4, Lady Jaydee is BACK!!! tarehe 31 October pale MOG Bar & Restaurant (zamani NYUMBANI LOUNGE).
9 years ago
Mtanzania04 Dec
Cazorla miezi mitatu nje ya uwanja
![maxresdefault](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/12/maxresdefault-300x200.jpg)
KIUNGO wa Arsenal, Santi Cazorla, atakuwa nje ya uwanja kwa miezi mitatu kutokana na kusumbuliwa na goti.
Mchezaji huyo alipata maumivu ya goti katika mchezo dhidi ya Norwich, ambao ulimalizika kwa sare ya 1-1.
Hata hivyo, Cazorla alionekana kuwa imara katika dakika zote 90 za mchezo huo, japokuwa alikuwa tayari ameumia goti, ila baada ya kumalizika kwa mchezo hali ilionekana kubadilika.
Klabu ya Arsenal imethibitisha kuwa mchezaji huyo atakuwa nje ya uwanja hadi Machi,...
10 years ago
BBCSwahili12 Oct
UN:Ebola kudhibitiwa kwa miezi mitatu
9 years ago
Mwananchi06 Sep
Kocha Majimaji ataka apewe miezi mitatu
11 years ago
KwanzaJamii20 Jul
Mtoto afichwa uvunguni kwa miezi mitatu
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Katiba ya Tanganyika inawezekana kwa miezi mitatu
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Mtoto wa miezi mitatu mwathirika dawa za kulevya
10 years ago
Bongo Movies06 Aug
Jacqueline Wolper Ana Mimba ya Miezi Mitatu?
Jacqueline Wolper ni mama kijacho? – Kwa maneno yake mwenyewe aliyoandika Instagram wakati akiwapongeza Diamond na Zari kwa kupata mtoto wao wa kwanza, Latiffah.
“Congratulations dad and mom MTV, God is always great, Congrats Wasafi President for the little princes. Mine is on the way 5 months to go!!,” ameandika Wolper.
“Sema mtoto wa kwanza bwana unaweza kujikuta unataka kum’beba wewe tuu na kazini usiendee, utunyime mashabk haki yetu ukaacha kututungia viburudisho ukawa unalea. Hongera...
10 years ago
Mtanzania02 Mar
Albamu mpya ya Barnaba kuandaliwa miezi mitatu
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Barnaba Elias ‘Barnaba Classic’, amesema atatumia muda wa miezi mitatu kundaa albamu yake mpya.
Akizungumza jijini hivi karibuni, Barnaba alisema matarajio yake ni kuingiza sokoni albamu hiyo kabla ya kumalizika kwa mwaka huu.
“Unajua tangu nilipoachia ile albamu ya kwanza imepita miaka miwili, nadhani ni muda mwafaka wa kuandaa kitu kingine kwa mashabiki zangu,” alisema Barnaba.
Barnaba alisema shuguli ya kuandaa albamu...