Kocha Majimaji ataka apewe miezi mitatu
Licha ya kusema timu yake iko tayari kwa Ligi Kuu, kocha mkuu wa Majimaji, Mika Lonnstrom amekiri kuwa bado kikosi chake hakijawa na ubora anaoutaka, ila amejipa miezi mitatu ili timu hiyo iwe fiti kwa asilimia 100.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Mjumbe ataka JK apewe Tuzo ya Katiba
9 years ago
Mtanzania04 Dec
Cazorla miezi mitatu nje ya uwanja
![maxresdefault](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/12/maxresdefault-300x200.jpg)
KIUNGO wa Arsenal, Santi Cazorla, atakuwa nje ya uwanja kwa miezi mitatu kutokana na kusumbuliwa na goti.
Mchezaji huyo alipata maumivu ya goti katika mchezo dhidi ya Norwich, ambao ulimalizika kwa sare ya 1-1.
Hata hivyo, Cazorla alionekana kuwa imara katika dakika zote 90 za mchezo huo, japokuwa alikuwa tayari ameumia goti, ila baada ya kumalizika kwa mchezo hali ilionekana kubadilika.
Klabu ya Arsenal imethibitisha kuwa mchezaji huyo atakuwa nje ya uwanja hadi Machi,...
10 years ago
BBCSwahili12 Oct
UN:Ebola kudhibitiwa kwa miezi mitatu
9 years ago
Mwananchi15 Nov
Kocha Majimaji abaini kasoro
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Kocha Mzungu atua Majimaji
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Mtoto wa miezi mitatu mwathirika dawa za kulevya
11 years ago
KwanzaJamii20 Jul
Mtoto afichwa uvunguni kwa miezi mitatu
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Katiba ya Tanganyika inawezekana kwa miezi mitatu
10 years ago
Bongo Movies06 Aug
Jacqueline Wolper Ana Mimba ya Miezi Mitatu?
Jacqueline Wolper ni mama kijacho? – Kwa maneno yake mwenyewe aliyoandika Instagram wakati akiwapongeza Diamond na Zari kwa kupata mtoto wao wa kwanza, Latiffah.
“Congratulations dad and mom MTV, God is always great, Congrats Wasafi President for the little princes. Mine is on the way 5 months to go!!,” ameandika Wolper.
“Sema mtoto wa kwanza bwana unaweza kujikuta unataka kum’beba wewe tuu na kazini usiendee, utunyime mashabk haki yetu ukaacha kututungia viburudisho ukawa unalea. Hongera...