Kocha Majimaji abaini kasoro
Kocha wa Majimaji, Mika Lonnstrom ametoa tathmini ya timu yake kwenye mechi kumi za mwanzoni wa msimu huu ambazo imeshacheza huku akisema kuwa ameridhika na kiwango chao ingawa kuna kasoro chache zinazotakiwa kurekebishwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 May
CAG abaini kasoro vyama vya siasa
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Kocha Mzungu atua Majimaji
9 years ago
Mwananchi06 Sep
Kocha Majimaji ataka apewe miezi mitatu
10 years ago
Mwananchi30 Dec
DC abaini mchezo mchafu wa wauguzi
10 years ago
Vijimambo30 Oct
CAG abaini dosari ruzuku vyama vyote
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Benja%20-Majura-0ctober29-2014.jpg)
Hesabu za mapato na matumizi ya fedha za ruzuku zilizotolewa na serikali kwa vyama vya siasa nchini, ikiwamo CCM, Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi, kati ya mwaka 2009 na 2013 zimegubikwa na dosari na hivyo kusababisha baadhi kupata hati yenye shaka na vingine hati mbaya kutoka Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
Vyama vilivyopata hati zenye shaka kufuatia ukaguzi wa hesabu zake uliofanywa na CAG ni CCM, Chadema,...
10 years ago
Vijimambo11 Apr
Waziri Mukangara abaini chanzo vijana kujiingiza ugaidi
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Fennela-11April2015.jpg)
Waziri wa Habari, Vijana na Michezo, Dk. Fenella Mukangara, amesema kuwa, kutajwa na kujihusisha vijana wa kitanzania kwenye ugaidi kunatokana na kushawishiwa na kurubuniwa.
Wakati Dk. Fenella akitoa kauli hiyo, tayari vijana wa kitanzania wametajwa kuhusika kwenye matukio ya kigaidi, huku mmoja akidaiwa kuwa miongoni mwa wale walioshambulia Chuo Kikuu cha Garissa kilichopo nchini Kenya na kusababisha vifo vya watu 148.
Katika tukio...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-819XMp_rjQc/Xs-Pv_DpyvI/AAAAAAALr1Y/epsoxUnoTsURcTv07dkFO8QmEyU-fRjnwCLcBGAsYHQ/s72-c/Chalamila%2B%25281%2529.jpeg)
RC CHALAMILA ABAINI KINACHOKWAMISHA MAENDELEO YA UTALII FUKWE ZA ZIWA NYASA
![](https://1.bp.blogspot.com/-819XMp_rjQc/Xs-Pv_DpyvI/AAAAAAALr1Y/epsoxUnoTsURcTv07dkFO8QmEyU-fRjnwCLcBGAsYHQ/s640/Chalamila%2B%25281%2529.jpeg)
Chalamila alieleza jinsi ambavyo barabara iliyojengwa kwa maagizo ya Rais John Magufuli kutoka Kyela Mjini hadi fukwe za Matema, iliyogharimu Sh. 65 bilioni ilivyoongeza fursa ya ukuaji...
10 years ago
Vijimambo09 Mar
KOCHA WA YANGA AGOMA KUMPA MKONO KOCHA MWENZIE
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/kocha-640x360.jpg)
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/kochaa-640x360.jpg)
9 years ago
StarTV21 Dec
Waziri wa Afya afanya ziara ya kushtukiza abaini dosari kadhaa Hospital ya Bombo Tanga
Waziri wa afya Maendeleo ya Jamii jinsia, Wazee na watoto Ummy Mwalimu amefanya ziara ya ghafla katika hospitali ya Mkoa wa Tanga Bombo na kukutana na dosari mbalimbali
Moja ya mambo yaliyomkera Ummy ni kuwakosa madaktari wa zamu katika hospitali hiyo pamoja na ukosefu wa mashuka kwa wagonjwa hali iliyowalazimu kutandika kanga zao.
Ilikuwa ni ziara ya kustukiza iliyofanywa na Waziri wa afya maendeleo ya jamii ,jinsia wazee na watoto katika hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Tanga ikiwemo...