CAG abaini dosari ruzuku vyama vyote
Mkaguzi Mkuu Msaidizi kutoka Ofisi ya CAG,Benja Majura.
Hesabu za mapato na matumizi ya fedha za ruzuku zilizotolewa na serikali kwa vyama vya siasa nchini, ikiwamo CCM, Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi, kati ya mwaka 2009 na 2013 zimegubikwa na dosari na hivyo kusababisha baadhi kupata hati yenye shaka na vingine hati mbaya kutoka Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
Vyama vilivyopata hati zenye shaka kufuatia ukaguzi wa hesabu zake uliofanywa na CAG ni CCM, Chadema,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 May
CAG abaini kasoro vyama vya siasa
9 years ago
StarTV21 Dec
Waziri wa Afya afanya ziara ya kushtukiza abaini dosari kadhaa Hospital ya Bombo Tanga
Waziri wa afya Maendeleo ya Jamii jinsia, Wazee na watoto Ummy Mwalimu amefanya ziara ya ghafla katika hospitali ya Mkoa wa Tanga Bombo na kukutana na dosari mbalimbali
Moja ya mambo yaliyomkera Ummy ni kuwakosa madaktari wa zamu katika hospitali hiyo pamoja na ukosefu wa mashuka kwa wagonjwa hali iliyowalazimu kutandika kanga zao.
Ilikuwa ni ziara ya kustukiza iliyofanywa na Waziri wa afya maendeleo ya jamii ,jinsia wazee na watoto katika hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Tanga ikiwemo...
11 years ago
Habarileo23 Oct
Bunge laanza kufuatilia dosari ripoti ya CAG
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeanza kushughulikia dosari zilizobainishwa kwenye ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG) kwenye halmashauri 140 nchini kwa mwaka wa fedha 2012/2013.
10 years ago
Mwananchi22 Sep
Dosari za ilani za vyama kwenye elimu
5 years ago
Michuzi
CAG ABAINI KUWEPO KWA ONGEZEKO LA DENI LA SERIKALI KWA BOHARI KUU YA DAWA
Charles James, Michuzi TV
RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Nchini (CAG) kwa mwaka ulioisha Juni 2019 imebaini kuwepo kuongezeka kwa deni la serikali kwa bohari kuu ya dawa (MSD) kwa kiasi cha Sh bilioni 16.18 kutoka Sh bilioni 37.48 za mwaka uliopita.
Ukaguzi huo wa CAG una mashaka kuwa ukwasi wa MSD unazidi kushuka hivyo kuathiri utekelezaji wa mipango mbalimbali ikiwemo usambazaji wa dawa na vifaa tiba kwa jamii pamoja na utekelezaji wa mipango yake...
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Vyama vya michezo vyataka ruzuku
10 years ago
Mwananchi07 Feb
Vyama vyote vya siasa ni sawa- Jaji Mutungi
10 years ago
MichuziDK MAGUFULI AITEKA DAR, AFURAHISHWA KULAKIWA NA WAFUASI WA VYAMA VYOTE
Kwa picha...
11 years ago
Mwananchi07 May
ACT: Sera yetu itavifunika vyama vyote vya upinzani