Vyama vya michezo vyataka ruzuku
Shirikisho la Mchezo wa Bao Tanzania (Shimbata), limevitaka vyama vya michezo kuungana na kutoa maoni yao kwenye rasimu ya sera ya maendeleo ya michezo kwa kuitaka Serikali irejeshe ruzuku kwenye vyama vya michezo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 Jan
Vyama vya siasa vyataka mwafaka wa Katiba Mpya
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DBD4PE5EidVMp1-8bEVb6urxoJPjhWOk8Q1VCt3iuWrcA04t4rXEw9KLYaiITVxaF8EsOAI42C8i2VbU*L-NhcH-TN7pfYSF/Dovutwa.jpg?width=650)
DOVUTWA: HAKUNA URAFIKI KATIKA VYAMA VYA SIASA ASEMA KINACHOWAZUIA NI RUZUKU
10 years ago
Habarileo02 Jan
Vyama vyataka mikataba Tanesco kupitiwa upya
SERIKALI imetakiwa kupitia upya mikataba ya umeme ili kuwasaidia wananchi waweze kunufaika na miradi ya umeme inayozalishwa nchini.
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Vyama vyataka tume iondoe utata hati ya Muungano
VYAMA vya siasa vya UND, UNDP na Demokrasia Makini, wameitaka Tume ya Marekebisho ya Katiba kutoa ufafanuzi juu ya hati ya muungano waliyoitumia wakati wa kuandaa rasimu ya katiba. Wakizungumza...
10 years ago
BBCSwahili28 Aug
Vyama sita vya michezo kushtakiwa
10 years ago
Mwananchi12 Jan
Vyama vya michezo vilivyojipanga 2015
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Rais Kikwete avishukia vyama vya michezo
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Tufanye sensa ya vyama vya michezo nchini
10 years ago
Vijimambo30 Oct
CAG abaini dosari ruzuku vyama vyote
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Benja%20-Majura-0ctober29-2014.jpg)
Hesabu za mapato na matumizi ya fedha za ruzuku zilizotolewa na serikali kwa vyama vya siasa nchini, ikiwamo CCM, Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi, kati ya mwaka 2009 na 2013 zimegubikwa na dosari na hivyo kusababisha baadhi kupata hati yenye shaka na vingine hati mbaya kutoka Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
Vyama vilivyopata hati zenye shaka kufuatia ukaguzi wa hesabu zake uliofanywa na CAG ni CCM, Chadema,...