Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vyama vya michezo vyataka ruzuku

Shirikisho la Mchezo wa Bao Tanzania (Shimbata), limevitaka vyama vya michezo kuungana na kutoa maoni yao kwenye rasimu ya sera ya maendeleo ya michezo kwa kuitaka Serikali irejeshe ruzuku kwenye vyama vya michezo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Vyama vya siasa vyataka mwafaka wa Katiba Mpya

 Vyama vya siasa vimekubaliana kutafuta mwafaka wa agenda za Katiba Mpya kabla ya kuanza kwa Bunge la Katiba.

 

11 years ago

GPL

DOVUTWA: HAKUNA URAFIKI KATIKA VYAMA VYA SIASA ASEMA KINACHOWAZUIA NI RUZUKU

Makala: Elvan Stambuli
MWENYEKITI wa United Peoples Democratic Party (UPDP),  Fahmi Nassor Dovutwa amesema hakuna urafiki katika vyama vya siasa kwa kuwa kila chama kinataka kwenda ikulu kukalia kiti. Mwenyekiti wa Chama cha UPDP Taifa na Mjumbe wa Mkutano wa Bunge…

 

10 years ago

Habarileo

Vyama vyataka mikataba Tanesco kupitiwa upya

Katibu Mkuu wa SAU, Ali Kaniki SERIKALI imetakiwa kupitia upya mikataba ya umeme ili kuwasaidia wananchi waweze kunufaika na miradi ya umeme inayozalishwa nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vyama vyataka tume iondoe utata hati ya Muungano

VYAMA vya siasa  vya UND, UNDP na Demokrasia Makini, wameitaka Tume ya Marekebisho  ya Katiba kutoa ufafanuzi juu ya hati ya muungano waliyoitumia wakati wa kuandaa rasimu ya katiba. Wakizungumza...

 

10 years ago

BBCSwahili

Vyama sita vya michezo kushtakiwa

vyama sita vya mpira wa miguu ,ikiwemo FIFA kupelekwa mahakamani kutaka uboreshwaji wa sheria za usalama michezoni.

 

10 years ago

Mwananchi

Vyama vya michezo vilivyojipanga 2015

Leo ni siku ya 12 tangu kuanza kwa mwaka mpya wa 2015 ambao wanamichezo wengi wanatarajia utakuwa mwaka wa mabadiliko katika usimamiaji wa michezo mbalimbali nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete avishukia vyama vya michezo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amevishutumu vyama vya michezo nchini kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao huku vikibaki kulalamika, ambapo amesema anafikiria kuirejesha michezo kwenye taasisi za majeshi ya ulinzi na usalama.

 

10 years ago

Mwananchi

Tufanye sensa ya vyama vya michezo nchini

Mwaka 2014 unakaribia kumalizika. Ni dhahiri hali ni mbaya katika medani ya michezo nchini na hiyo ni kutokana na matokeo tuliyoona kwa timu na wanamichezo wetu.

 

10 years ago

Vijimambo

CAG abaini dosari ruzuku vyama vyote

Mkaguzi Mkuu Msaidizi kutoka Ofisi ya CAG,Benja Majura.
Hesabu za mapato na matumizi ya fedha za ruzuku zilizotolewa na serikali kwa vyama vya siasa nchini, ikiwamo CCM, Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi, kati ya mwaka 2009 na 2013 zimegubikwa na dosari na hivyo kusababisha baadhi kupata hati yenye shaka na vingine hati mbaya kutoka Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

Vyama vilivyopata hati zenye shaka kufuatia ukaguzi wa hesabu zake uliofanywa na CAG ni CCM, Chadema,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani