Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais Kikwete avishukia vyama vya michezo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amevishutumu vyama vya michezo nchini kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao huku vikibaki kulalamika, ambapo amesema anafikiria kuirejesha michezo kwenye taasisi za majeshi ya ulinzi na usalama.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Vyama vya Siasa kumuaga Rais Kikwete Novemba 3 ukumbi wa JNICC

01

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi akiongea na wajumbe wa Baraza la Vyama vya Siasa (hawapo pichani) wakati wa maandalizi ya hafla ya kumuaga Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete leo jijini Dar es salaam. Hafla hiyo itafanyika Novemba 03, 2015 katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

02

Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Dkt. Benson Bana akisistiza jambo wajumbe wa Baraza la Vyama vya Siasa (hawapo...

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA JIJINI DAR LEO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifurahia jambo wakati akitoa hotuba yake kwenye ufunguzi wa mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa leo Februari 6, 2014 katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es salaam.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akigawa rasimu ya katiba kwa viongozi wa vyama mbalimbali vya siasa baada ya kufungua mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa leo Februari 6, 2014 katika ukumbi wa mkutano wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es salaam.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete...

 

11 years ago

Mwananchi

Vyama vya michezo vyataka ruzuku

Shirikisho la Mchezo wa Bao Tanzania (Shimbata), limevitaka vyama vya michezo kuungana na kutoa maoni yao kwenye rasimu ya sera ya maendeleo ya michezo kwa kuitaka Serikali irejeshe ruzuku kwenye vyama vya michezo.

 

10 years ago

Mwananchi

Vyama vya michezo vilivyojipanga 2015

Leo ni siku ya 12 tangu kuanza kwa mwaka mpya wa 2015 ambao wanamichezo wengi wanatarajia utakuwa mwaka wa mabadiliko katika usimamiaji wa michezo mbalimbali nchini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Vyama sita vya michezo kushtakiwa

vyama sita vya mpira wa miguu ,ikiwemo FIFA kupelekwa mahakamani kutaka uboreshwaji wa sheria za usalama michezoni.

 

10 years ago

Mwananchi

Tufanye sensa ya vyama vya michezo nchini

Mwaka 2014 unakaribia kumalizika. Ni dhahiri hali ni mbaya katika medani ya michezo nchini na hiyo ni kutokana na matokeo tuliyoona kwa timu na wanamichezo wetu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani