Waziri wa Afya afanya ziara ya kushtukiza abaini dosari kadhaa Hospital ya Bombo Tanga
Waziri wa afya Maendeleo ya Jamii jinsia, Wazee na watoto Ummy Mwalimu amefanya ziara ya ghafla katika hospitali ya Mkoa wa Tanga Bombo na kukutana na dosari mbalimbali
Moja ya mambo yaliyomkera Ummy ni kuwakosa madaktari wa zamu katika hospitali hiyo pamoja na ukosefu wa mashuka kwa wagonjwa hali iliyowalazimu kutandika kanga zao.
Ilikuwa ni ziara ya kustukiza iliyofanywa na Waziri wa afya maendeleo ya jamii ,jinsia wazee na watoto katika hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Tanga ikiwemo...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV15 Dec
Naibu waziri Jafo abaini changamoto kadhaa Wilayani Bahi katika  ziara ya kushtukiza
Naibu waziri wa ofisi ya Rais, Tamisemi, utumishi na utawala bora Selemani Jafo jana amefanya ziara ya kushitukiza katika halmashauri ya wilaya ya bahi na kukutana na changamoto mbalimbali zinazoikabili wilaya hiyo.
Changamoto hizo ni pamoja na kutokuwepo kwa mashine ya exray na Ultra sound katika kituo cha zahanati ya wilaya hiyo na mfumo mbovu wa ukusanyaji mapato jambo linalosababisha mapato mengi kupotea.
Naibu waziri ofisi ya Raisi, Tamisemi,utumishi na utawala bora Suleiman Jafo...
9 years ago
Michuzi20 Dec
WAZIRI UMMY MWALIMU KATIKA ZIARA HOSPITALI YA RUFAA YA BOMBO MKOANI TANGA, KUKAGUA UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA LEO
![IMG-20151220-WA0012](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/2jqSTb6rwwHyDPhhDJDSXM_Y9GTLhKQG3al0Byv191LsT6SJ3AF_f9Ns_75ry3stFkDjSojEMXG_c-9jJcfIxvraqQNFWRf2bd0A7-PJd7TS9I1S0bTuzt8uUAWN=s0-d-e1-ft#http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0012.jpg)
![IMG-20151220-WA0019](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/2FRm_TTrk97vFdEwTUPV_oDUPzwmBxAJrp3BDakrQ2l83AnH1aXG-RSnQsZJ-_u6n6AEYyVl2A26mjFskppUmLIcY3hZvQPTK4GFV3fXeyVzbLoDKL1Bd1MRGIQk=s0-d-e1-ft#http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0019.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lPWwKsoWXn4/VmxMopWsORI/AAAAAAAIL8w/76NnhuNnxeM/s72-c/201512120815%252C52.jpg)
WAZIRI WA AFYA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA MWANANYAMALA JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-lPWwKsoWXn4/VmxMopWsORI/AAAAAAAIL8w/76NnhuNnxeM/s640/201512120815%252C52.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ITALQRWR9Mc/VmxMo0GxL2I/AAAAAAAIL8s/tj7_ifV35PQ/s640/2015121208155%252C1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zSuC763Lgtg/VmwMcN-ZbkI/AAAAAAAIL1o/9dKlPsudWQw/s72-c/AmvQ-kQcVpVOkSRvJacmJNocZLUg5YvaH7pI6WSufb58.jpg)
NAIBU WAZIRI WA WIZARA YA AFYA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WATOTO NA WAZEE AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KATIKA HOSPITALI YA AMANA JIJINI DAR LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-zSuC763Lgtg/VmwMcN-ZbkI/AAAAAAAIL1o/9dKlPsudWQw/s640/AmvQ-kQcVpVOkSRvJacmJNocZLUg5YvaH7pI6WSufb58.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VjQW6YgISOY/VmwMcPQwDSI/AAAAAAAIL10/8wKdnojdXlQ/s640/AjH-S6SvR9gr9VzcTGc-wk1SEi50ErUn6z0Jja4vAC7W.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EB0__tOG8IA/VmwODqvP9II/AAAAAAAIL2A/AGs7SESJWHo/s640/AprHMZ72sEp9hGk6aXIotmJf3651kZCLwrCY3kS6uWPG%2B%25281%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog20 Dec
Waziri Ummy Mwalimu avamia Hospitali ya rufaa ya Bombo mkoani Tanga, kukagua utoaji wa huduma za afya leo
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akizungumza na mmoja wa wahudumu wa afya (jina lake halikuweza kupatikana kiurahisi) wa dirisha la dawa katika Hospitali ya rufaa ya Bombo mkoani Tanga alipofanya ziara ya kushtukiza mchana wa leo Disemba 20, 2015.
-Atoa wiki mbili wawe wamefunga mashine ya kukusanya mapato kwa njia ya Kielektroniki ili kudhitibiti upotevu wa mapato yanayotokana na wananchi kuchangia huduma za afya.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya...
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Waziri wa Fedha afanya ziara ya kushtukiza Bandari Kavu
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya akiangalia kontena lenye shehena ya vitenge badala ya unga wa gypsum kama nyaraka zilivyoonyesha.
Baadhi ya wafanyabiashara wabainika kukwepa kulipa kodi kwa kuingiza bidhaa kutoka nje kupitia bandari ya Dar es Salaam, ambapo huandikisha taarifa na maelezo tofauti na bidhaa halisi zilizomo ndani ya makontena ili kuwawezesha kukwepa kodi kwa kulipia kiasi kidogo.
Kutokana na udanganyifu huo, Waziri wa Fedha Mh. Saada Mkuya alifanya ziara ya kushtukiza...
9 years ago
Global Publishers02 Jan
Waziri Nchemba Afanya Ziara Ya Kushtukiza Usiku Machinjioni Dar
![Mwigulu (1)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/Mwigulu-1.png)
![Mwigulu (2)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/Mwigulu-2.png)
![Mwigulu (3)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/Mwigulu-3.png)
![Mwigulu (4)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/Mwigulu-4.png)
![Mwigulu (5)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/Mwigulu-5.png)
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Waziri Saada Mkuya afanya ziara ya kushtukiza Kariakoo na Mtaa wa Namanga
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum (wa pili kulia) akiongoza na viongozi wa mkoa wa kodi wa Ilala kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) pamoja na maafisa wa Serikali alipofanya ziara ya kushtukiza leo jijini Dar es salaam katika soko la Kariakoo kujionea namna wafanyabiashara wanavyozingatia na kusimamia matumizi ya mashine za kielektroniki za EFD ambazo wanazopaswa kuzitumia mara wanapouza bidhaa zao ili kusaidia Serikali kukusanya mapato na kuboresha utoaji wa huduma za jamii nchini. Wa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-f9lqJEtlw9o/VnQeGWgg4FI/AAAAAAAINRM/f3tyDe7szOg/s72-c/IMG_8683.jpg)
WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KATIKA MITAMBO YA GESI YA TEGETA JIJINI DAR.
Na kukagua mitambo hiyo leo na kubaini kuwa umeme uniti moja inatengenezwa kwa gharama ya shilingi 90 na kuuzwa kwa wananchi kwa shilingi 180 ikiwa ni kiwango kikubwa kwa...