DK MAGUFULI AITEKA DAR, AFURAHISHWA KULAKIWA NA WAFUASI WA VYAMA VYOTE
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akipungia mkono kuwaaga wananchi baada ya kumalizika kwa mkutano wa kampeni za CCM katika viwanja vya Shule ya Msingi Bunju A, Jimbo la Kawe, Dar es Salaam
Dk Magufuli akiondoka kwenye viwanja hivyo huku ulinzi ukiwa umeimarishwa kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Binju A, Jimbo la Kawe, Kinondoni Dar es Salaam.
Wananchi wa Kata ya Mlandizi, Jimbo la Kibaha Vijijini, wakishangilia kwa furaha baada ya kumuona Dk Magufuli.
Kwa picha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
DKT.MAGUFULI:UCHAGUZI MKUU UTAKUWA HURU NA HAKI KWA VYAMA VYOTE, WANAOPANGA KULETA VURUGU SERIKALI IKO MACHO

Akizungumza leo Juni 16,2020 jijini Dodoma wakati akifunga Bunge la 11, Rais Magufuli amesema kuwa uchaguzi huo utakua wa huru na haki kwa kuwa ndio Demokrasia huku akivitaka vyama kutoa nafasi za kugombea kwa wanawake,...
11 years ago
Vijimambo30 Oct
CAG abaini dosari ruzuku vyama vyote

Hesabu za mapato na matumizi ya fedha za ruzuku zilizotolewa na serikali kwa vyama vya siasa nchini, ikiwamo CCM, Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi, kati ya mwaka 2009 na 2013 zimegubikwa na dosari na hivyo kusababisha baadhi kupata hati yenye shaka na vingine hati mbaya kutoka Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
Vyama vilivyopata hati zenye shaka kufuatia ukaguzi wa hesabu zake uliofanywa na CAG ni CCM, Chadema,...
10 years ago
Mwananchi07 Feb
Vyama vyote vya siasa ni sawa- Jaji Mutungi
11 years ago
Mwananchi07 May
ACT: Sera yetu itavifunika vyama vyote vya upinzani
10 years ago
Habarileo07 Apr
Kusafirisha wafuasi wa vyama marufuku Zanzibar
POLISI Visiwani Zanzibar imepiga marufuku vyama vya siasa kusafirisha wafuasi na wanachama wake kutoka wilaya moja kwenda nyingine kuhudhuria mikutano ya hadhara ikiwa ni sehemu ya mikakati ya kudhibiti vurugu za kisiasa kwa wafuasi kushambuliana.
5 years ago
CCM Blog
RAIS MAGUFULI AFURAHISHWA NA INTERCHANGE UBUNGO

Rais Magufuli amewapongeza Wananchi wa Ubungo kwa kupata mradi wa Barabara za Juu katika makutano ya Barabara ya Morogo na Sam Nujoma na amesema Serikali inatumia zaidi ya Tsh.Billion 240 kutekeleza mradi huo na pia inajenga Barabra ya njia 8 (Kimara -...
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Msajili wa vyama aonya vurugu za wafuasi wa Chadema na Zitto
11 years ago
Michuzi.jpg)
Barua ya wazi kwa wabunge na vyama vyote vya siasa na viongozi wote na kwa umma wa Tanzania.
.jpg)
Bwana michuzi wazungu wanasema damu ni nzito kuliko maji...
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Lowassa aiteka ngome ya Magufuli Chato