RAIS MAGUFULI AFURAHISHWA NA INTERCHANGE UBUNGO

Rais Magufuli amewasili DSM akitokea Makao Makuu Dodoma hii leo, akiwa Ubungo amekagua maendeleo ya ujenzi wa Barabara za Juu katika makutano ya Barabara ya Morogoro na Sam Nujoma na kueleza kufurahishwa kwake na kazi nzuri inayoendelea.
Rais Magufuli amewapongeza Wananchi wa Ubungo kwa kupata mradi wa Barabara za Juu katika makutano ya Barabara ya Morogo na Sam Nujoma na amesema Serikali inatumia zaidi ya Tsh.Billion 240 kutekeleza mradi huo na pia inajenga Barabra ya njia 8 (Kimara -...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog
RAIS MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA UBUNGO



5 years ago
Michuzi
RAIS DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA UBUNGO WAKATI ALIPOREJEA JIJINI DAR ES SALAAM




5 years ago
Michuzi
RAIS DKT. MAGUFULI AKAGUA UJENZI WA DARAJA LA JUU UBUNGO NA BARABARA, AONGEA NA KUSIKIL|IZA KERO ZA WANANCHI MBEZI MWISHO, MLOGANZILA, MLANDIZI,CHALINZE




10 years ago
MichuziDK MAGUFULI AITEKA DAR, AFURAHISHWA KULAKIWA NA WAFUASI WA VYAMA VYOTE
Kwa picha...
10 years ago
Michuzi
UBUNGO WAMPOKEA DK. MAGUFULI KWA FURAHA TELE, WASEMA DK. MAGUFULI NDIYO MKOMBOZI WAO


11 years ago
Michuzi07 Jul
RAIS DR. JAKAYA KIKWETE AFURAHISHWA NA MIRADI YA SHIRIKA LA NYUMBA (NHC)

10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Vijimambo
UBUNGO WAMPOKEA DK. MAGUFULI KWA FURAHA TELE


5 years ago
Michuzi
MAKAMU WA RAIS ZIARANI KICHAMA UBUNGO

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wananchi na baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Siasa na Sekretarieti ya CCM Wilaya ya Ubungo alipowasili katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Ubungo leo Juni 25,2020 kwa...