Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jacqueline Wolper Ana Mimba ya Miezi Mitatu?

Jacqueline Wolper ni mama kijacho? – Kwa maneno yake mwenyewe aliyoandika Instagram wakati akiwapongeza Diamond na Zari kwa kupata mtoto wao wa kwanza, Latiffah.

“Congratulations dad and mom MTV, God is always great, Congrats Wasafi President for the little princes. Mine is on the way 5 months to go!!,” ameandika Wolper.

“Sema mtoto wa kwanza bwana unaweza kujikuta unataka kum’beba wewe tuu na kazini usiendee, utunyime mashabk haki yetu ukaacha kututungia viburudisho ukawa unalea. Hongera...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

JACQUELINE WOLPER ATEMBELEA GLOBAL

Staa mkubwa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper akiwa katika pozi. Jacqueline Wolper Massawe (kushoto) akiwa na Afisa Masoko wa Global Publishers, Benjamin Mwanambu (kulia).…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jacqueline Wolper aponda mapenzi ya fedha

STAA wa filamu za Bongo, Jacqueline Wolper, amesema hana mpango wa kuwa na mume tajiri, hivyo amewataka wasihangaike kumtafuta. Akizungumza jijini Dar es Salaam juzi, Wolper alisema hapendi wanaume wenye...

 

10 years ago

GPL

JACQUELINE WOLPER AMFUATA EDWARD LOWASSA UKAWA!

Shani ramadhani Liwalo na liwe! Kinara wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe ameahidi kuambatana na waziri mkuu wa zamani ambaye ni Mbunge wa Monduli kwa leseni ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Edward Ngoyai Lowassa kwenye safari yake ya kuhamia kwenye muungano wa vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1VIouKY ...

 

10 years ago

Mtanzania

Jacqueline Wolper: Anayetoka na Nay wa Mitego ameshajulikana

wolperNA RHOBI CHACHA
MWIGIZAJI wa filamu za kibongo, Jacqueline Wolper, amewaweka njia panda mashabiki wake kwa kauli yake kwamba msichana aliyekwenye uhusiano wa kimapenzi na msanii wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ ameshafahamika, tofauti na alivyokuwa akihisiwa yeye.
“Watu hawana dogo, ukiwa karibu na mtu basi utaambiwa mpenzi wako, Nay hakuwahi kuwa mpenzi wangu kwa kuwa ni zaidi ya rafiki kwangu, ila watu wasio waelewa ndiyo walikuwa wakivumisha kwamba tuna uhusiano kwa...

 

11 years ago

GPL

JACQUELINE WOLPER AANGUSHA MAOMBI KANUMBA DAY

Na Erick Evarist
MKALI katika anga la sinema Bongo, Jacqueline Wolper ameangusha sala nzito kumkumbuka marehemu Steven Kanumba. Jacqueline Wolper akisali nyumbani kwake na katika kaburi la Kanumba. Wolper alifanya maombi hayo juzi Jumatatu ambapo sala hizo alizifanya nyumbani kwake, kisha akaelekea katika kaburi la Kanumba, Kinondoni jijini Dar kumalizia maombi yake. “Ni mhimili mkubwa katika tasnia yetu, hatuna budi...

 

10 years ago

Bongo Movies

UBUYU: Lulu na Jacqueline Wolper Waoneshana Jeuri ya Mabwana!

Warembo na waigizaji wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Jacqueline Walper ‘ Wolper’ Massawe wanadaiwa kuoneshana jeuri ya mabwana wakipima ni yupi mwenye mshiko zaidi huku akina Wema Isaac Sepetu na Kajala Masanja ambao awali walikuwa juu wakipotezwa.

Kwa mujibu wa uchunguzi uliofanywa na Gazeti la Ijumaa, wamebaini  kwamba, kumekuwa na kasumba ya baadhi ya mastaa hao kutambiana kuwa ni nani zaidi anayemiliki bwana mwenye mawe au mshiko kuliko wengine.

Inadaiwa kwamba, baada ya Lulu...

 

9 years ago

Bongo5

Jacqueline Wolper aeleza jinsi anavyompenda mpenzi wake

12276915_486815101498706_1425453824_n

Muigizaji wa filamu za Bongo, Jacqueline Wolper baada ya kuvalishwa pete ya uchumba na mpenzi wake miezi miwili iliyopita, jana amemwandikia ujumbe mzuri wa siku yake ya kuzaliwa kuonesha jinsi anavyompenda.

12276915_486815101498706_1425453824_n

Kupitia ukurasa wa Instagram wa Wolper ameandika: “100% Comfort zone… Who else understands and accepts all of me? Who else can I count on for comfort and security? Who else can I call at any hour of the day or night? Who else rallies behind me in my good decisions and are there to help...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani