Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BAAMEDI AUZA BAA NA MTOTO

Chande Abdallah na Deogratius Mongela
MSICHANA aliyejitambulisha kwa jina la Halima Jumanne (20) amejikuta akiuza baa huku akiwa na mtoto wa mwaka mmoja na nusu ubavuni kisa kikidaiwa hali ngumu ya maisha. Halima Jumanne (20) akiwa na mwanaye mzigoni katika baa moja (jina limehifadhiwa) iliyopo Buza Kanisani jijini Dar. Tukio hilo la kushangaza lilijiri Juni 2, mwaka huu kwenye baa moja (jina kapuni) iliyopo Buza Kanisani...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

BAAMEDI AMGONGA MUUZA MAHINDI AKIFUNDISHWA GARI

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro UZEMBE! Josephine Josin (19), mkazi wa Morogoro ambaye anafanya kazi ya uhudumu wa baa iliyopo maeneo ya Mji Mpya, mkaoni hapa, amedaiwa kumgonga na gari muuza mahidi aliyefahamika kwa jina la Pori wakati akifundishwa gari na mpenzi wake. Gari aina ya Toyota Noah lenye namba za usajili T 636 CVE lililopata ajali. Kwa mujibu wa mashuhuda, tukio hilo lilitokea hivi karibuni ambapo dereva wa gari...

 

10 years ago

GPL

WEMA AUZA GARI LA DIAMOND

Stori: Mwandishi wetu
Lile gari jipya aina ya Nissan  Murano la staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alilompa aliyekuwa mwandani wake, Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ limezua mapya ambapo baada ya kudai linamchefua sasa anadaiwa kuwa analiuza kwa kigezo kwamba hataki gundu mwaka huu mpya wa 2015. Gari jipya aina ya Nissan  Murano la staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul...

 

10 years ago

GPL

AUZA MAHINDI, AUGUA FANGASI MIGUUNI

Staa wa Filam za Bongo, Jacob Steven 'JB'. MPENZI msomaji, wiki iliyopita tulikomea pale JB alipokuwa anasimulia jinsi alivyojibizana na wazazi wake hadharani baada ya kuambiwa jambo ambalo aliona kabisa halikuwa sahihi kwa wakati ule. Je, ni jambo gani hilo? Teremsha macho hapa chini. “Waliniambia kuwa wamefikiria na kuona nafaa kurudi tena shuleni, jambo lililonipelekea kubishana nao kwa wazi na kwa mara ya kwanza kabisa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwekezaji auza ardhi kinyemela Arumeru

>Serikali imemwagiza mwekezaji kwenye shamba la Karangai, Pradep Zodia kurejesha kwa wananchi zaidi ya hekari 2,000  ambazo ameziuza kwa wawekezaji wengine.

 

9 years ago

Global Publishers

Wastara auza vitu vyake vya ndani

WASTARA1Wastara Juma.

Imelda mtema

Inauma sana! Msanii wa filamu ambaye anasumbuliwa na tatizo na mguu, Wastara Juma inadaiwa hali aliyonayo kwa sasa si nzuri na kupata pesa ya matibabu imekuwa ngumu kwake hivyo ameamua auze baadhi ya vitu vyake vya ndani.

Ndugu wa Wastara aliyeomba jina lake lisiandikwe gazetini alisema kuwa, msanii huyo anapitia kipindi kigumu kwani anahitaji pesa nyingi ili arudi tena Nairobi kwa ajili ya matibabu.

“Kwa maumivu aliyonayo hapati hata muda wa kutoka, muda mwingi...

 

10 years ago

GPL

HAPPY AUZA PETE YA NDOA, PESA ALEWEA

Stori: Imelda mtema
Msanii wa filamu Bongo, Happy Nyatawe ametoa kali ya kufungia mwaka kwa kusema kuwa hivi karibuni aliamua kuuza pete yake ya ndoa na pesa aliyopata alienda kulewea pombe. Msanii wa filamu Bongo, Happy Nyatawe. Akipiga stori na Ijumaa juzikati, Happy alisema alifikia uamuzi huo baada ya kuona pete hiyo inabana kidole chake na mumewe amegoma kurejea kutoka nchini Brazil alikoenda kibiashara. “Mimi...

 

11 years ago

Mwananchi

Watishia kugeuza madarasa baa

>Baadhi ya wakazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino, wametishia kugeuza majengo ya Shule ya Sekondari ya Manda, waliyoyajenga kwa nguvu zao kuwa baa,  baada ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, kukataa kutoa kibali hadi hapo shule itakapokuwa na maabara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani