Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watishia kugeuza madarasa baa

>Baadhi ya wakazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino, wametishia kugeuza majengo ya Shule ya Sekondari ya Manda, waliyoyajenga kwa nguvu zao kuwa baa,  baada ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, kukataa kutoa kibali hadi hapo shule itakapokuwa na maabara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mrema atuhumu wajumbe kugeuza Bunge ‘shamba’

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Augustine Mrema amedai baadhi ya wajumbe wanataka kuligeuza bunge hilo ‘shamba la bibi’ kwa kudai posho zaidi kwa kisingizio cha kupanda gharama za maisha.

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: HAIRUHUSIWI SERIKALI YA MTAA KUGEUZA ARDHI YA MTU NJIA BILA KUMLIPA FIDIA

Na  Bashir  Yakub.
Kuna malalamiko  katika  baadhi  ya  maeneo   na  zaidi  malalamiko  haya   yamekuwa  yakielekezwa  kwa   mamlaka  za  serikali  za  mitaa. Nimewahi  kuandika  kuhusu   ukiukaji  wa  taratibu  mbalimbali   ambao  hufanywa   na  serikali  za  mitaa  katika  maeneo  au  ardhi  za  watu.  Pia  niliandika  kuhusu  upotoshi  wa  mamlaka  za  serikali  za  mitaa  katika  kuwaandalia  watu  mikataba  ya  mauzo  ya  ardhi  wakati  wakijua  kuwa  hawaruhusiwi  kufanya  hivyo  jambo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Muleba yajivunia ziada ya madarasa

WAKATI wanafunzi wengi wakikwama kujiunga kidato cha kwanza mwaka huu kutokana na uhaba wa madarasa unaozikabiri baadhi ya halmashauri nchini, Wilaya ya Muleba, mkoani Kagera imetamba kuwa na madarasa ya...

 

11 years ago

Habarileo

Wataliano wajenga madarasa 7 Bondwa

MARAFIKI kutoka Italia kupitia Shirika la Masista Mgolole mkoani Morogoro, wamejenga vyumba saba vya madarasa, madawati na miundombinu mingine katika Shule ya Msingi Bondwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yatima wakabiliwa na ukosefu wa madarasa

MKURUGENZI wa kituo  cha kulelea yatima cha Sifa Group Foundation Children Center kilichopo Bunju jijini Dar es Salaam ametoa wito kwa wadau mbalimbali nchini kujitolea kusaidia vituo vya watoto yatima ili...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chawaphata watishia kugoma

CHAMA cha Wamiliki wa Famasi nchini (Chawaphata), kimetishia kufanya mgomo wa kufunga maduka yao kama njia mojawapo ya kushinikiza kufanyiwa kazi kwa matatizo yanayowakabili kwa muda mrefu. Mwenyekiti wa Chawaphata,...

 

10 years ago

Habarileo

Majaliwa ataka halmashauri kukamilisha madarasa

Kassim MajaliwaNAIBU Waziri wa Elimu, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Kassim Majaliwa ametaka halmashauri kushirikiana na wadau wote wa elimu, kukamilisha majengo na kuandaa mazingira ya kuwapokea wanafunzi wote waliochaguliwa kuanza kidato cha kwanza mwaka 2015.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madiwani Temeke wakataa madarasa Chamazi

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Temeke wamekataa jengo la madarasa manne la Shule ya Sekondari Chamazi kuitwa jina la Rais Jakaya Kikwete kutokana na kujengwa chini ya kiwango. Akizungumza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani