Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wataliano wajenga madarasa 7 Bondwa

MARAFIKI kutoka Italia kupitia Shirika la Masista Mgolole mkoani Morogoro, wamejenga vyumba saba vya madarasa, madawati na miundombinu mingine katika Shule ya Msingi Bondwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kivule wajenga daraja la muda

DIWANI wa Kivule, Nyansika Ngemo, kwa kushirikiana na wananchi wake wamechanga sh 710,000 kwa ajili ya ujenzi wa daraja la muda la watembea  kwa miguu baada ya daraja la Mto...

 

9 years ago

StarTV

Manyara wajenga vyoo bora kiafya kudhibiti magonjwa ya mlipuko

Mkoa wa Manyara umeendelea kuchukua hatua mbalimbali kukabiliana na magonjwa ya milipuko kwa kujenga vyoo vinavyozingatia vigezo vya kiafya na kuhakikisha upatikanaji wa maji safi na salama hususani vijijini ambako mara nyingi kuna changamoto ya ufahamu kuhusu elimu ya usafi wa mazingira.

Mkakati wa uboreshaji wa vyoo na miundo mbinu bora ya maji ni hatua itakayochangia kuiokoa jamii kutoka kwenye dhana ya kujisaidia ovyo vichakani na pia kutotumia maji safi na salama.

Shule ya msingi Guse...

 

5 years ago

Michuzi

BUWASA WAJENGA VIZIMBA VYA KUNAWIA MIKONO TAHADHARI YA CORONA.

Pichani anaonekana Fundi Bomba kutoka BUWASA Ndg. Vicent Mashauri akimuelekeza mtoto namna ya kunawa Mikono katika zile hatua zinazoelekezwa na Mamlaka za Afya. Pichani ni Mkuu wa Wilaya za Bukoba Mhe. Deodatus Kinawiro akizindua kwa Vitendo Vizimba Vitatu vilivyojengwa na BUWASA lengo likiwa ni Wananchi na Jamii kwa ujumla waendelee kunawa mikono kama tahadhari ya Corona. Pichani. Ndoo zipatazo Thelathini zilizotolewa na BUWASA tayari kugawiwa katika maeneo mbalimbali hasa vituo vya...

 

10 years ago

Michuzi

WANANCHI LUVUYO NA MBUNGE WAJENGA BARABARA YENYE THAMANI YA TSH MILIONI 52

Wananchi wa  kijiji  cha Luvuyo kata ya Madope  wakimpokea  mbunge wao Deo Filikunjombe kwa maandamano Wanachama  wa  chama  cha mapinduzi (CCM)   pamoja na  wananchi wa  kijiji cha Luvuyo kata ya Madope  wakishirikiana jana na mbunge  wao Deo Filikunjombe  (kushoto) kuchimba mifereji ya  maji katika barabara ya Luvuyo - Njombe  yenye urefu wa Kilomita 6 ambayo inajengwa kwa  ufadhili wa mbunge huyo kwa kiasi cha zaidi ya Tsh milioni 50Wananchi wa  Luvuyo wakimsikiliza  mbunge  wao Deo...

 

10 years ago

GPL

WANANCHI LUVUYO NA MBUNGE WAJENGA BARABARA YENYE THAMANI YA TSH MILIONI 52‏

Wananchi wa Kijiji cha Luvuyo Kata ya Madope wakimpokea Mbunge wao, Deo Filikunjombe kwa maandamano. Wanachama wa Chama  Cha Mapinduzi (CCM) pamoja na wananchi wa Kijiji cha Luvuyo kata ya Madope…

 

5 years ago

Michuzi

TFS KANDA YA MASHARIKI WAJENGA JENGO KUBWA LA OFISI NDANI YA MSITU WA VIKINDU KUKOMESHA UHARIBIFU WA MAZINGIRA,UVAMIZI

 Jengo la ofisi ya Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania(TFS) linavyoonekana baada ya ujenzi wake kukamilika na kisha kukabidhiwa rasmi leo Aprili 30 kwa Wakala huo Kanda ya Mashariki ili kuanza kutumika kwa shughuli mbalimbali za kiofisi.  Meneja wa Wakala wa Huduma za Misitu (TFS),Kanda ya Mashariki Caroline Malundo(katikati) akisaini nyaraka za makabidhiano ya jengo la ofisi la TFS Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani.Kushoto ni Mbunifu Majengo Majengo wa TBA-Pwani Greyson Kanyaburugo na kulia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yatima wakabiliwa na ukosefu wa madarasa

MKURUGENZI wa kituo  cha kulelea yatima cha Sifa Group Foundation Children Center kilichopo Bunju jijini Dar es Salaam ametoa wito kwa wadau mbalimbali nchini kujitolea kusaidia vituo vya watoto yatima ili...

 

11 years ago

Mwananchi

Watishia kugeuza madarasa baa

>Baadhi ya wakazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino, wametishia kugeuza majengo ya Shule ya Sekondari ya Manda, waliyoyajenga kwa nguvu zao kuwa baa,  baada ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, kukataa kutoa kibali hadi hapo shule itakapokuwa na maabara.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Muleba yajivunia ziada ya madarasa

WAKATI wanafunzi wengi wakikwama kujiunga kidato cha kwanza mwaka huu kutokana na uhaba wa madarasa unaozikabiri baadhi ya halmashauri nchini, Wilaya ya Muleba, mkoani Kagera imetamba kuwa na madarasa ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani