Madiwani Temeke wakataa madarasa Chamazi
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Temeke wamekataa jengo la madarasa manne la Shule ya Sekondari Chamazi kuitwa jina la Rais Jakaya Kikwete kutokana na kujengwa chini ya kiwango. Akizungumza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Madiwani Itilima wakataa miradi
MIRADI 60 ya hifadhi mazingira iliyopo katika vijiji 8 vya Wilaya ya Itilima, mkoani Simiyu yenye thamani ya sh bilioni moja imekataliwa na madiwani wa wilaya hiyo. Miradi hiyo mikubwa...
10 years ago
MichuziMakundi 5 yang'ara ndani ya Temeke kwenye usaili wa kwanza Dance 100% 2015 Temeke

Makundi haya yamechuana vikali na mengine 6 yanayokamilisha idadi ya makundi 11, UNI 6 Crew, GMF Crew, TWC, Dar Crew, Noma Sana Crew, na Viga Stars yaliyojitokeza kuwania nafasi hiyo katika usajili huo wa kwanza.
Mratibu wa...
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA TEMEKE NDUGU SOPHIA MJEMA AFUNGA RASMI MAFUNZO YA SIKU 5 YA KUZUIA MIMBA ZA UTOTONI KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI WILAYANI TEMEKE
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Burundi wakataa walinzi wa AU
11 years ago
Habarileo20 Aug
Wabunge wakataa kubanwa
BAADHI ya wabunge wa Bunge Maalum la Katiba, wamependekeza kuondoa kwenye rasimu ya Katiba mpya, kipengele kinachotaka wananchi wapewe uwezo kisheria, kuwaondoa wabunge wao wasioweza kutatua kero za wapigakura wao, badala ya kusubiri mpaka baada ya Uchaguzi Mkuu.
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Twiga Stars kucheza Chamazi
11 years ago
Habarileo19 Mar
Wananchi Zanzibar wakataa serikali 3
ASILIMIA 60 ya wananchi wa visiwani Zanzibar waliotoa maoni yao kwenye Tume ya Mabadiliko ya Katiba, wametaka muundo wa Muungano wa serikali ya mkataba na hakuna hata mwananchi mmoja aliyetaka muundo wa serikali tatu.
9 years ago
Mwananchi09 Nov
Wananchi wakataa kupokea maabara
11 years ago
BBCSwahili17 Oct
Upinzani wakataa matokeo Msumbiji