Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wananchi wakataa kupokea maabara

Wananchi wa Kata ya Uswaya, wilayani Igunga Mkoa wa Tabora, wamesema hawapo tayari kupokea jengo la maabara lililojengwa katika Shule ya Sekondari ya Igoweko kwa madai kuwa ipo chini ya kiwango.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wananchi Zanzibar wakataa serikali 3

Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba (kushoto) akibadilishana mawazo na Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba (kutoka kushoto kwake) Freeman Mbowe, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka na Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samia Suluhu Hassan baada ya kuwasilisha Rasimu ya Pili ya Katiba bungeni mjini Dodoma jana. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).ASILIMIA 60 ya wananchi wa visiwani Zanzibar waliotoa maoni yao kwenye Tume ya Mabadiliko ya Katiba, wametaka muundo wa Muungano wa serikali ya mkataba na hakuna hata mwananchi mmoja aliyetaka muundo wa serikali tatu.

 

9 years ago

Mwananchi

Wananchi waandaliwe kisaikolojia kupokea matokeo-Askofu

Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kusini, Isaya Mengele ameitaka Serikali na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwaandaa wananchi kisaikolojia ili wawe tayari kupokea matokeo ya uchaguzi wasiyotarajia.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Maabara za JK zataabisha wananchi

AGIZO la Rais Jakaya Kikwete kwa Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini, kuhakikisha wanakamilisha ujenzi wa maabara ifikapo Novemba mwaka huu, limekuwa mwiba mchungu kutokana na baadhi ya watendaji kujitwalia madaraka...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Wananchi wagoma kuchangia maabara


NA EVA-SWEET MUSIBA,TARIME
WANANCHI wa Kata ya Matongo-Nyamongo, wilaya ya Tarime, mkoani Mara, wamekataa kuchangia fedha za ujenzi wa maabara  kwa madai kuwa, fedha zao za maendeleo ya kata hazijalipwa kutoka mgodi wa dhahabu wa Barrick North Mara.
Akitoa taarifa katika kikao cha Baraza la Madiwani, Mtendaji wa Kata ya Matongo, Chacha Muniko, alisema wananchi wamekataa kuchangia fedha hizo kutokana na kuudai mgodi huo asilimia tano, ambayo ni sawa na sh. milioni 700.
Hata hivyo, taarifa hiyo...

 

11 years ago

Michuzi

MAOFISA WA TUME YA HAKI ZA BINADAMU WAANZA KUPOKEA MALALAMIKO YA WANANCHI KWA NJIA YA SIMU

Na Allan Ntana, Tabora
TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora hapa nchini imeanza kuboresha huduma zake kwa jamii baada ya kuanzisha huduma mpya ya kupokea malalamiko ya wananchi kwa njia ya ujumbe mfupi kupitia simu za kiganjani.
Hayo yalibainishwa jana na Maofisa wa Tume hiyo katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa stendi ya zamani mjini Tabora ambao ulilenga kutambulisha na kuhamasisha matumizi ya huduma hiyo kwa wananchi na wadau mbalimbali wenye malalamiko yoyote au...

 

10 years ago

Mwananchi

Kuna tofauti ya maabara na majengo ya maabara

Desemba 9 mwaka jana ndiyo ulikuwa mwisho wa utekelezaji wa agizo la Rais Jakaya Kikwete kuhusu ujenzi wa maabara katika shule za sekondari za Serikali nchi nzima.

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge wakataa kubanwa

BAADHI ya wabunge wa Bunge Maalum la Katiba, wamependekeza kuondoa kwenye rasimu ya Katiba mpya, kipengele kinachotaka wananchi wapewe uwezo kisheria, kuwaondoa wabunge wao wasioweza kutatua kero za wapigakura wao, badala ya kusubiri mpaka baada ya Uchaguzi Mkuu.

 

9 years ago

Mwananchi

Burundi wakataa walinzi wa AU

Bujumbura, Burundi. Bunge la Burundi limepinga mpango wa Umoja wa Afrika (AU) wa kupeleka walinzi wa amani nchini humo kudhibiti machafuko yanayoendelea kutokea na raia kuuawa na wengine kukimbia nchi yao. Spika wa Bunge la Burundi, Paschal Nyabenda , alisema majadiliano hayo yalilenga kuonyesha hakuna haja ya kutuma kikosi kwa sababu hakuna mauaji ya kikabila nchini humo. Bunge hilo limethibitisha kulikuwa na mauaji tangu Aprili na Pierre Nkurunziza kutangaza kutetea urais kwa awamu ya tatu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani