Wananchi wagoma kuchangia maabara
NA EVA-SWEET MUSIBA,TARIME
WANANCHI wa Kata ya Matongo-Nyamongo, wilaya ya Tarime, mkoani Mara, wamekataa kuchangia fedha za ujenzi wa maabara kwa madai kuwa, fedha zao za maendeleo ya kata hazijalipwa kutoka mgodi wa dhahabu wa Barrick North Mara.
Akitoa taarifa katika kikao cha Baraza la Madiwani, Mtendaji wa Kata ya Matongo, Chacha Muniko, alisema wananchi wamekataa kuchangia fedha hizo kutokana na kuudai mgodi huo asilimia tano, ambayo ni sawa na sh. milioni 700.
Hata hivyo, taarifa hiyo...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania25 May
Polisi wagoma kuchangia mafuta kusafirisha mwili wa mwenzao
Na Ahmed Makongo, Bunda
POLISI wilayani Bunda, mkoani Mara, wanadaiwa kugoma kuchangia fedha za mafuta kwa ajili ya kusafirisha mwili wa askari mwenzao, Koplo Mahamudu Magasa, aliyefariki dunia baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa malaria kwa muda mfupi.
Mafuta hayo yalikuwa yanatakiwa kwa ajili ya kusafirisha mwili wa Koplo Mahamudu kwenda nyumbani kwako, Wilaya ya Mahenge, mkoani Morogoro.
MTANZANIA jana ilifika Kituo Kikuu cha Polisi cha Wilaya ya Bunda na kukuta umati mkubwa wa askari...
10 years ago
MichuziLAPF YATOA MSAADA KUCHANGIA UJENZI WA MAABARA ZA SHULE-WILAYA YA ULANGA MASHARIKI.
10 years ago
Habarileo16 Sep
Wananchi wagoma kupanda mabasi
KITUO Kikuu cha Mabasi mjini Mpanda, mkoani Katavi kilikumbwa na tafrani jana baada ya abiria kugoma kusafiri na mabasi mawili baada ya kubaini matairi yake yamechakaa.
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Wananchi Kaliua wagoma kuhamia Katavi
UONGOZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua, mkoani Tabora na wananchi wa kata mbalimbali wilayani humo wamesisitiza kupinga mpango wa wilaya hiyo kutaka kuhamishiwa Mkoa mpya wa Katavi. Wamesema mpango...
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
Maabara za JK zataabisha wananchi
AGIZO la Rais Jakaya Kikwete kwa Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini, kuhakikisha wanakamilisha ujenzi wa maabara ifikapo Novemba mwaka huu, limekuwa mwiba mchungu kutokana na baadhi ya watendaji kujitwalia madaraka...
10 years ago
Michuzi13 Nov
WANANCHI WAOMBWA KUCHANGIA DAMU
![](https://4.bp.blogspot.com/-AsUH_qwLQGs/VGSr7e5svtI/AAAAAAAGw8g/mFo8s5pkN9M/s640/unnamed%2B(5).jpg)
Hayo yalisemwa leo na Afisa Habari wa Mpango wa Taifa wa Damu Salama Tanzania Bw. Rajab Mwenda (pichani) katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika ilala...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
Wananchi wahimizwa kuchangia damu
WANANCHI wametakiwa kujenga utamaduni wa kuchangia damu kwa hiari, ili taifa liweze kuwa na akiba ya kutosha na lifikie malengo ya maendeleo ya milenia. Akizungumza na waandishi wa habari jijini...
9 years ago
Mwananchi09 Nov
Wananchi wakataa kupokea maabara
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--KyN4bFNRoE/VLt1L6JZgjI/AAAAAAAG-FA/pR_Q87pi1A0/s72-c/CBE%2B-%2B1.jpg)
WANANCHI MKURANGA WAASWA KUCHANGIA DAMU
![](http://4.bp.blogspot.com/--KyN4bFNRoE/VLt1L6JZgjI/AAAAAAAG-FA/pR_Q87pi1A0/s1600/CBE%2B-%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UzYd0vCN098/VLt1LzW7VEI/AAAAAAAG-FE/jKMEudR2VWE/s1600/CBE%2B-%2B2.jpg)