Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Burundi wakataa walinzi wa AU

Bujumbura, Burundi. Bunge la Burundi limepinga mpango wa Umoja wa Afrika (AU) wa kupeleka walinzi wa amani nchini humo kudhibiti machafuko yanayoendelea kutokea na raia kuuawa na wengine kukimbia nchi yao. Spika wa Bunge la Burundi, Paschal Nyabenda , alisema majadiliano hayo yalilenga kuonyesha hakuna haja ya kutuma kikosi kwa sababu hakuna mauaji ya kikabila nchini humo. Bunge hilo limethibitisha kulikuwa na mauaji tangu Aprili na Pierre Nkurunziza kutangaza kutetea urais kwa awamu ya tatu...

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Walinzi wa rais wakataa kusalimu silaha B Faso

Juhudi za kukipokonya silaha kikosi cha walinzi wa rais wa Burkina Faso kilichosalimu mamlaka wiki iliopita baada ya kufanya mapinduzi zimekwama kulingana na mkuu wa majeshi nchini humo.

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge wakataa kubanwa

BAADHI ya wabunge wa Bunge Maalum la Katiba, wamependekeza kuondoa kwenye rasimu ya Katiba mpya, kipengele kinachotaka wananchi wapewe uwezo kisheria, kuwaondoa wabunge wao wasioweza kutatua kero za wapigakura wao, badala ya kusubiri mpaka baada ya Uchaguzi Mkuu.

 

9 years ago

GPL

WALINZI WAKOMBA BILIONI 1.8

Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa Taarifa toka vyanzo vyetu makini vya habari vinadai kwamba zaidi ya shilingi bilioni 1.8 (1,800,000,000) zimeibwa na baadhi ya walinzi wa kampuni binafsi ya ulinzi ya G4S kisha kutoweka nazo kusikojulikana, Uwazi limegundua....Soma zaidi===>http://bit.ly/1Llhiz2

 

10 years ago

Mtanzania

Walinzi Chadema mbaroni

IMG-20150426-WA0004Na Pendo Fundisha, Mbeya

JESHI la Polisi mkoani Mbeya linawashikilia watu wawili wanaodaiwa kuwa makada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambao ni vijana wa kikosi cha ulinzi cha chama hicho (Red Brigade), wakidaiwa kuwa na sare za jeshi na silaha zikiwamo za jadi.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi, alisema vijana hao walikamatwa juzi jioni katika eneo la Sogea wilayani Momba, baada ya kutolewa taarifa na raia...

 

11 years ago

Mwananchi

Maaskofu wakataa ushoga Uingereza

>Maaskofu wakuu nchini Uingereza wamewaambia viongozi wa dini kwamba hawataruhusiwa kuingia katika ndoa za jinsia moja.

 

11 years ago

BBCSwahili

Chui wakataa kumshambulia, China

Mwanamume mmoja nchini China amenusurika kifo katika hifadhi ya wanyama pori nchini humo, baada ya kujirusha ndani ya hifadhi hiyo akisema alitaka 'kuwalisha' wanyama hao hatari.

 

10 years ago

BBCSwahili

Walimu wakataa kurudi kazini

Walimu ambao walilitoroka eneo la kazkazini mashariki mwa Kenya wakihofia mashambulizi kutoka kwa kundi la wapiganaji wa Al shabaab wamekataa kurudi eneo hilo.

 

9 years ago

Mwananchi

Wananchi wakataa kupokea maabara

Wananchi wa Kata ya Uswaya, wilayani Igunga Mkoa wa Tabora, wamesema hawapo tayari kupokea jengo la maabara lililojengwa katika Shule ya Sekondari ya Igoweko kwa madai kuwa ipo chini ya kiwango.

 

11 years ago

Mwananchi

Wakataa kilimo cha mkataba

Chama Kikuu cha Ushirika Igembensabo, mkoani Tabora, kinachojumuisha wilaya za Nzega na Igunga, kimeazimia kuachana na kilimo cha pamba cha mkataba kutokana na kutokuwa na faida kwa wakulima.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani