Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WALINZI WAKOMBA BILIONI 1.8

Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa Taarifa toka vyanzo vyetu makini vya habari vinadai kwamba zaidi ya shilingi bilioni 1.8 (1,800,000,000) zimeibwa na baadhi ya walinzi wa kampuni binafsi ya ulinzi ya G4S kisha kutoweka nazo kusikojulikana, Uwazi limegundua....Soma zaidi===>http://bit.ly/1Llhiz2

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

Vibaka wamliza Gerald Hando,wakomba power window,taa,redio kwenye gari yake

Mtangazaji wa kipindi cha Power Breakfast cha Clouds Fm,Gerald Hando ameibiwa vifaa mbalimbali vya kwenye gari yake aina ya IST yenye namba za usajili T 794 CXC kama power window,redio,taa,redio na vitu vingine usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake maeneo ya Kijitonyama.

Akizungumza kwa uchungu Hando alisema kuwa aliamka asubuhi alipoangalia gari lake ndipo alipokuwa limeibiwa kila kitu na halifai kabisa. ‘’Nilipoamka asubuhi sikuamini macho yangu yaani vibaka wameiba kila kitu kwenye gari...

 

10 years ago

Mtanzania

Walinzi Chadema mbaroni

IMG-20150426-WA0004Na Pendo Fundisha, Mbeya

JESHI la Polisi mkoani Mbeya linawashikilia watu wawili wanaodaiwa kuwa makada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambao ni vijana wa kikosi cha ulinzi cha chama hicho (Red Brigade), wakidaiwa kuwa na sare za jeshi na silaha zikiwamo za jadi.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi, alisema vijana hao walikamatwa juzi jioni katika eneo la Sogea wilayani Momba, baada ya kutolewa taarifa na raia...

 

9 years ago

Mwananchi

Burundi wakataa walinzi wa AU

Bujumbura, Burundi. Bunge la Burundi limepinga mpango wa Umoja wa Afrika (AU) wa kupeleka walinzi wa amani nchini humo kudhibiti machafuko yanayoendelea kutokea na raia kuuawa na wengine kukimbia nchi yao. Spika wa Bunge la Burundi, Paschal Nyabenda , alisema majadiliano hayo yalilenga kuonyesha hakuna haja ya kutuma kikosi kwa sababu hakuna mauaji ya kikabila nchini humo. Bunge hilo limethibitisha kulikuwa na mauaji tangu Aprili na Pierre Nkurunziza kutangaza kutetea urais kwa awamu ya tatu...

 

9 years ago

Mtanzania

Polisi wawakamata walinzi wa Chadema

msangiNA PENDO FUNDISHA, MBEYA

JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watu wawili wanaosadikiwa kuwa ni miongoni mwa vijana wa kikosi cha ulinzi   cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), red brigade.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi, alisema mjini hapa jana kwamba vijana hao ni kati ya waliokuwa wamevaa nguo nyeusi, kofia na viatu vyeusi wakati wa mapokezi ya mgombea urais wa Ukawa, Edward Lowassa  mjini Mbeya wiki iliyopita.

Kwa mujibu wa Kamanda Msangi, vijana hao...

 

11 years ago

BBCSwahili

Walinzi 20 wa mpakani wauawa Misri

Maafisa nchini Misri wanasema kuwa takriban walinzi 20 wa mpakani wameuawa katika shambulizi la kizuizi huko libya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wenger alaumu walinzi wa Arsenal

Mkufunzi wa Arsenal Arsene wenger amesema kuwa safu ya ulinzi ya Arsenal ni hafifu

 

10 years ago

Habarileo

Kikosi cha walinzi wa Pwani kuanzishwa

SERIKALI iko katika mchakato wa kuangalia uwezekano wa kuanzisha kikosi cha walinzi wa Pwani, ikiwa ni sehemu mojawapo ya kuhakikisha usalama kwa wananchi wake takribani milioni 17, sawa na asilimia 40 ya watanzania wote wanaofanya shughuli zao baharini.

 

11 years ago

GPL

NI KWELI WALINZI WOTE GETINI NI WEHUWEHU?

Kwenu, Wadau wa sinema za Kibongo. Hapa nazungumza zaidi na watayarishaji, waongozaji na watunzi wa filamu. Naamini mtakuwa wazima wa afya. Kwa upande wangu nipo sawa. Kuna jambo nimelitafakari kwa muda mrefu, lakini leo nimeona ni vyema niwaambie.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Xavi:Messi atawakoroga walinzi EPL

Mchezaji Lionel Messi atawika zaidi katika ligi ya uingereza iwapo atapata fursa ya kucheza katika ligi hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani