Kikosi cha walinzi wa Pwani kuanzishwa
SERIKALI iko katika mchakato wa kuangalia uwezekano wa kuanzisha kikosi cha walinzi wa Pwani, ikiwa ni sehemu mojawapo ya kuhakikisha usalama kwa wananchi wake takribani milioni 17, sawa na asilimia 40 ya watanzania wote wanaofanya shughuli zao baharini.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo12 Jun
Kituo cha dharura cha maafa kuanzishwa
IDARA ya Uratibu Maafa katika ofisi ya Waziri Mkuu, itaanzisha kituo cha dharura, ambacho kitafanya kazi kwa masaa 24 kwa ajili ya kuimarisha upatikanaji wa taarifa za hali ya hewa, mabadiliko na viashiria vya mabadiliko ya tabia nchi ili kutengeneza mifumo imara ya Tahadhari na utaratibu wa kuhimili majanga.
9 years ago
Michuzi16 Sep
ZAIDI YA WATU 500 WANATARAJIWA KUSHIRIKI KATIKA BONANZA LA KUSHEREKEA MIAKA 17 TANGU KUANZISHWA KITUO CHA MAZOEZI CHA HOME GYM
Andrew Mangomango ni mkurugenzi wa kityuo hicho ametanabaisha kuwa maandalizi yote yamekamalika na kusema kuwa miongoni mwa watu watakaoshiriki katika bonanza hilo ni pamoja na vikundi vya Joging vya jijini DSM, vutio vya gym na yeyote atakayehitaji...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/u9VY04Xx24k/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/u9VY04Xx24k/default.jpg)
11 years ago
Habarileo07 Mar
Ashauri kuanzishwa mfuko wa kilimo cha pamba
SERIKALI imeshauriwa kuweka mfuko maalumu kwa ajili ya kuendeleza Kilimo cha Pamba hapa nchini badala ya kupoteza fedha zake nyingi katika kuendesha vikao vinavyohusu zao hilo. Ombi hilo lilitolewa juzi na Meneja wa Kiwanda cha Kahama oil Mill, William Matonange wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya Kilimo cha mkataba ambacho wao kama wanunuzi wa zao hilo hawakubaliani nacho.
10 years ago
Dewji Blog10 Aug
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LYxsiSPD9fE/VfbKuLBVo7I/AAAAAAAH4wU/OOAa7B6lHLU/s72-c/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
Kikosi cha muziki mnene cha EFM 93.7 chatoka sare na mlandizi veteran
![](http://1.bp.blogspot.com/-LYxsiSPD9fE/VfbKuLBVo7I/AAAAAAAH4wU/OOAa7B6lHLU/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mhVL90WeXQI/VfbKuHKLa9I/AAAAAAAH4wQ/XGeH6DcfudU/s640/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-g5AvLUCCofI/VfbKv9nCJPI/AAAAAAAH4wc/sY5vZBMKH_w/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
5 years ago
Bongo514 Feb
Hiki ndio kikosi cha PFA cha wachezaji 11 bora Uingereza msimu huu
Chama cha wachezaji soka wakulipwa Uingereza (PFA) kimetaja kikosi chake bora cha ligi hiyo kwa msimu huu unaoelekea ukingoni.
Timu ya Chelsea na Tottenham Hotspurs ndizo zimeongoza kutoa wachezaji wengi katika kikosi hicho ambapo kila timu imetoa wachezaji wanne. Wachezaji wa Chelsea walioingia katika kikosi hicho ni pamoja na Gary Cahil, David Luiz, N’golo Kante na Eden Hazard.
Nao waliochaguliwa kutoka Spurs ni Kyle Walker, Danny Rose, Dele Alli na Harry Kane. Wachezaji wengine...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KtOOH7qN_r8/Uy62GE7x3BI/AAAAAAAFVuM/pAq57oaEXn4/s72-c/New+Picture.png)
NEWZZZ ALERT:KIKOSI CHA UOKOAJI TANAPA CHAMNASUA MTALII ALIYENASA KILELE CHA MAWENZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-KtOOH7qN_r8/Uy62GE7x3BI/AAAAAAAFVuM/pAq57oaEXn4/s1600/New+Picture.png)
MTALII ALIYEKWAMA KILELE CHA MAWENZI MLIMA KILIMANJARO AOKOLEWA.
Kikosi cha Uokoaji katika Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro kimefanikiwa kumuokoa mtalii Bi. Jeanne Traska (32) kutoka Ujerumani pamoja na muongoza wageni Athuman Juma ambao jana walikwama katika kilele cha Mawenzi Mlimani Kilimanjaro. Kikosi cha Uokoaji cha TANAPA kiliweza kufika eneo la kilele cha Mawenzi na kwa kutumia mbinu za uokoaji za kisasa kabisa kiliweza kuwanasua...