Hiki ndio kikosi cha PFA cha wachezaji 11 bora Uingereza msimu huu
Chama cha wachezaji soka wakulipwa Uingereza (PFA) kimetaja kikosi chake bora cha ligi hiyo kwa msimu huu unaoelekea ukingoni.
Timu ya Chelsea na Tottenham Hotspurs ndizo zimeongoza kutoa wachezaji wengi katika kikosi hicho ambapo kila timu imetoa wachezaji wanne. Wachezaji wa Chelsea walioingia katika kikosi hicho ni pamoja na Gary Cahil, David Luiz, N’golo Kante na Eden Hazard.
Nao waliochaguliwa kutoka Spurs ni Kyle Walker, Danny Rose, Dele Alli na Harry Kane. Wachezaji wengine...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-edSaAZs7Yb4/VXiPeuup33I/AAAAAAAACAc/6WuNbUgG8ec/s72-c/News-Picture-UEFA.jpg)
KIKOSI BORA CHA UEFA CHAMPIONS LEAGUE MSIMU HUU 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-edSaAZs7Yb4/VXiPeuup33I/AAAAAAAACAc/6WuNbUgG8ec/s400/News-Picture-UEFA.jpg)
Goal-keepers: Marc-Andre ter Stegen (Barcelona), Gianluigi Buffon (Juventus)Defenders: Branislav Ivanovic (Chelsea), Gerard Pique (Barcelona), Javier Mascherano (Barcelona), Giorgio Chiellini (Juventus), Jordi Alba (Barcelona)
Mid-fields: Ivan Rakitic (Barcelona), Sergio Busquets (Barcelona), Andres Iniesta (Barcelona), Claudio Marchisio (Juventus), Toni Kroos (Real Madrid),Andrea Pirlo (Juventus)Strikers:Luis Suarez (Barcelona), Alvaro Morata (Juventus), Neymar (Barcelona), Cristiano Ronaldo...
9 years ago
Dewji Blog23 Dec
Hiki ndiyo kikosi cha wachezaji 11 ambao wameng`aa zaidi kuelekea kumaliza mwaka 2015, msimu wa 2015/2016 kwenye EPL
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mtandao wa habari za michezo wa Goal.com umetoa majina 11 ya wachezaji ambao wameonyesha uwezo zaidi katika Ligi Kuu ya Uingereza EPL kwa msimu wa 2015/2016 kuelekea kumaliza mwaka 2015.
Mpaka sasa imeshachezwa michezo 17 na klabu ya Leicester City ikiwa nafasi ya kwanza kwa kukusanya jumla ya alama 38 ikifuatiwa na Arsenal yenye alama 36 na klabu ya Aston Villa ikiwa mkiani na alama 7.
Listi ya wachezaji hao ni kama ifuatavyo;
Golikipa
Jack Butland -Stoke...
10 years ago
Mwananchi11 May
Kikosi bora cha Ligi Kuu Bara msimu wa 2014/15
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ps1OCAAOhxU/XlOi4gHWfTI/AAAAAAABLyw/5x3pq27ig3k-aJWo9DUaf9AaEPpcK6FAQCLcBGAsYHQ/s72-c/87365680_3230759736972674_6605211272302559232_o.jpg)
HUU NDIO MSIMU WA KILIMO CHA PARACHICHI HUJACHELEWA NJOO UJIUNGE
![](https://1.bp.blogspot.com/-ps1OCAAOhxU/XlOi4gHWfTI/AAAAAAABLyw/5x3pq27ig3k-aJWo9DUaf9AaEPpcK6FAQCLcBGAsYHQ/s640/87365680_3230759736972674_6605211272302559232_o.jpg)
.
Kampuni ya Esemwa Business Solutions LTD, inakaribisha wadau wanaopenda kuwekeza...
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Wachezaji 10 wanaoongoza kwa kutoa pasi za magoli Ligi Kuu Uingereza msimu huu …
Kwa sasa Mesut Ozil hadi anaondoka ndani ya klabu ya Real Madrid ya Hispania na kujiunga na Arsenal ya Uingereza ndio alikuwa mchezaji anayeongoza kumpa pasi za mwisho Cristiano Ronaldo na kufunga magoli. Achana na rekodi ya sasa ya Mesut Ozil ya kuwa mchezaji anayeongoza kutoa pasi nyingi za magoli kwa muda mchache. Nimekutana na […]
The post Wachezaji 10 wanaoongoza kwa kutoa pasi za magoli Ligi Kuu Uingereza msimu huu … appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gvPaAJIoW8I/VR-L2AdWKdI/AAAAAAAAVH8/y6Wox_0IqVg/s72-c/20150403_125339.jpg)
KIKUNDI CHA WANAWAKE CHA WOMEN WITH VISION WATOA MISAADA KWA WATOTO YATIMA KATIKA MSIMU HUU WA PASAKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-gvPaAJIoW8I/VR-L2AdWKdI/AAAAAAAAVH8/y6Wox_0IqVg/s1600/20150403_125339.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-boNwD70xdYw/VR-L2bAvAII/AAAAAAAAVIA/_-F2PDd38k8/s1600/20150403_125357.jpg)
10 years ago
Mwananchi19 Aug
Hiki ni kipindi cha wachezaji kunyanyaswa
10 years ago
Vijimambo10 Apr
HIKI NDICHO KIKOSI CHA TANZANIA KITAKACHO CHEZA NA MAGWIJI WA BARCELONA
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/tz.jpg)
Mambo yameshaiva tayari kabisa kushuhudia kandanda safi kati ya magwiji wa Barcelona wakipambana na magwiji wa Tanzania. Hiki ndichi kikosi kitakacho iwakilisha Tanzania siku ya mechi Jumamosi hii. Credit:ShaffihDauda
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/tazania.jpg)
11 years ago
BBCSwahili01 May
Hodgson kutaja kikosi cha Uingereza