KIKUNDI CHA WANAWAKE CHA WOMEN WITH VISION WATOA MISAADA KWA WATOTO YATIMA KATIKA MSIMU HUU WA PASAKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-gvPaAJIoW8I/VR-L2AdWKdI/AAAAAAAAVH8/y6Wox_0IqVg/s72-c/20150403_125339.jpg)
Wanakikundi wa women with vision wakiongozwa na mwenyekiti wao Herieth Makombe wakiwa katika kituo cha msimbaz centre walipofika na kutoa misaada ya baadhi ya mahitaji katika kuwakumbuka watoto yatima katika msimu huu wa sikukuu za pasaka
Baadhi ya mahitaji ambao walitoa katika kituo cha msimbaz centre katika kuawajali watoto yatima wa vituo vya msimbaz centre na mburahati.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZGe1edfxJ5o/VZkU4AclMSI/AAAAAAAHnGQ/JAmt1nvUtW8/s72-c/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
Wana Kariakoo watoa misaada katika kituo cha Yatima cha Al Madina Tandale leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZGe1edfxJ5o/VZkU4AclMSI/AAAAAAAHnGQ/JAmt1nvUtW8/s640/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mq5uN8vnlUg/VZkU4I-jVTI/AAAAAAAHnGE/8aF_SImEDHg/s640/unnamed%2B%252816%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1LoQwdJwk5s/VZkU4POF68I/AAAAAAAHnGI/Z_GHyiWT4LY/s640/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
5 years ago
MichuziWANAWAKE WAPWANI GENERATION WATOA MSAADA WA VYAKULA KWA KITUO CHA WATOTO YATIMA KIBAHA
NA VICTOR MASANGU, KIBAHAWatoto yatima na wale wanaoishi katika mazingira magumu katika kituo cha Sharom kilichopo kata ya Msangani Wilayani Kibaha Mkoani Pwani wamemuomba Rais Dk. John Pombe Magufuli kuwasaidia kwa hali na mali kuwasaidia kuwatatulia changamoto mbali mbali zinazowakabili ikiwemo ukosefu wa mahitaji ya chakulai,nguo, huduma za matibabu pamoja na ujenzi wa jengo la nyumba kwa ajili ya kuweza kuishi.
Baadhi ya watoto hao akiwemo Sara Yendemba Dickson Michael na wakizungumza...
11 years ago
GPLMAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA( TCAA) WATOA MSAADA WA VYAKULA MBALIMBALI KWA WATOTO YATIMA WANAOLELEA KATIKA KITUO CHA NEW LIFE ORPHANS HOME CHA KIGOGO JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Michuzi09 Mar
MAMA REGINA LOWASSA AZINDUA KIKUNDI CHA PHENOMENAL WOMEN GROUP KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
![DSCF3003](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/3_MDSEx8Y7reUUgR5dE6bZglZysJ6z2b35z7sSyhuEMOthZ7waB89wwae5oA2MTJ_Q2Z1XSt-DvsskaiGvLeFITqIF_WuU1w4hbe_EBCgx-kfw=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/03/dscf3003.jpg)
![DSCF3007](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/J4PB8SjShqejUy1fYK1G1FkZ1NrJa4i2zmylPddkVpub61lyHeSTHvsptTaE4R71liRp6FJn4kUwcr1PA2pNHxWQvTGTE8tWQ8UqD4797nCh7w=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/03/dscf3007.jpg)
10 years ago
GPLWASANII WATOA MISAADA KWA WATOTO YATIMA
10 years ago
GPLMAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL
10 years ago
MichuziZIMAMOTO IRINGA WATOA MISAADA KWA WATOTO YATIMA
NA DENIS MLOWE,IRINGA
JESHI la Zimamoto mkoani Iringa limesheherekea sikukuu ya pasaka na watoto wanaoishi katika kituo cha kulea yatima cha Sister Theresia kilichoko Tosamaganga mkoani Iringa kwa kuwapatia misaada mbalimbali.
Akikabidhi msaada huo Kamanda wa Jeshi la Zimamoto mkoa wa Iringa Inspekta Kennedy...
10 years ago
VijimamboDC WA KINONDONI, PAUL MAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL.
9 years ago
Dewji Blog26 Dec
Kampuni ya Tigo yatoa misaada kituo cha kulelea watoto yatima cha Mugeza Mseto Manispaa ya Bukoba
Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Ziwa, Ali Maswanya akikabidhi misaada mbalimbali Mwenyekiti wa kamati ya shule ya kulelea watoto yatima cha Mugeza Mseto Manispaa ya Bukoba Bi. Evelyne Mwijage juzi. Kampuni ya Tigo ilitoa misaada kwenye kituo hicho.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10