WANAWAKE WAPWANI GENERATION WATOA MSAADA WA VYAKULA KWA KITUO CHA WATOTO YATIMA KIBAHA
NA VICTOR MASANGU, KIBAHAWatoto yatima na wale wanaoishi katika mazingira magumu katika kituo cha Sharom kilichopo kata ya Msangani Wilayani Kibaha Mkoani Pwani wamemuomba Rais Dk. John Pombe Magufuli kuwasaidia kwa hali na mali kuwasaidia kuwatatulia changamoto mbali mbali zinazowakabili ikiwemo ukosefu wa mahitaji ya chakulai,nguo, huduma za matibabu pamoja na ujenzi wa jengo la nyumba kwa ajili ya kuweza kuishi.
Baadhi ya watoto hao akiwemo Sara Yendemba Dickson Michael na wakizungumza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA( TCAA) WATOA MSAADA WA VYAKULA MBALIMBALI KWA WATOTO YATIMA WANAOLELEA KATIKA KITUO CHA NEW LIFE ORPHANS HOME CHA KIGOGO JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-N_bv-Zsv8R4/U9Ykqy0CfnI/AAAAAAAF7VA/20P3-00Q2_g/s72-c/20140727_153713.jpg)
kundi la Mkwawa Moja Alumni Association (MMAA) watoa msaada kwa watoto yatima wa kituo cha CHAKUWAMA,Sinza
![](http://3.bp.blogspot.com/-N_bv-Zsv8R4/U9Ykqy0CfnI/AAAAAAAF7VA/20P3-00Q2_g/s1600/20140727_153713.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NUCyfhwYNGI/U9YkoyGfVMI/AAAAAAAF7U4/m-xuh4qvWvs/s1600/20140727_153727.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6R9Tzuxdlmo/U9YksWTOiqI/AAAAAAAF7VI/tziR8XuvoCU/s1600/20140727_153757.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-N_bv-Zsv8R4/U9Ykqy0CfnI/AAAAAAAF7VA/20P3-00Q2_g/s72-c/20140727_153713.jpg)
Mkwawa Moja Alumni Association (MMAA) watoa msaada kituo cha watoto yatima CHAKUWAMA-SINZA jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-N_bv-Zsv8R4/U9Ykqy0CfnI/AAAAAAAF7VA/20P3-00Q2_g/s1600/20140727_153713.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NUCyfhwYNGI/U9YkoyGfVMI/AAAAAAAF7U4/m-xuh4qvWvs/s1600/20140727_153727.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6R9Tzuxdlmo/U9YksWTOiqI/AAAAAAAF7VI/tziR8XuvoCU/s1600/20140727_153757.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Dec
Mkubwa na wanawe & High Class Look watoa msaada kituo cha watoto yatima Hazina Mbagala Maji Matitu
Mkubwa Fella akikabidhi kiroba cha Sembe kwa Bi Hawa Mmiliki wa Kituo cha watoto yatima Hazina kilichopo Mbagala maji Matitu.
Picha ya pamoja na watoto hao.
![](http://2.bp.blogspot.com/-1nZPIjONkcY/VJaeQo4IcBI/AAAAAAAAqQ8/Z-U00n3zJ8c/s1600/IMG_4734.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_e9dXxrVzVE/VJaeR4e0_TI/AAAAAAAAqRM/J0EN8DJBy64/s1600/IMG_4741.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-R-7C4IGquWI/VJaeSoHSmJI/AAAAAAAAqRQ/wXaw4vKo-3g/s1600/IMG_4743.jpg)
Vijana wa Yamoto Band Wakitoa Burudani kwa watoto hao.
Kabla ya kuzungumza chochote Napenda kutoa shukrani zangu kwa Mwenyezi Mungu kwa kila jambo ambalo limefanikiwa ni kwakupitia yeye aliye Muweza wa yote, Pili nawashukuru Watanzania wote karibu kila nyanja kwa kuonyesha ushirikiano wao kwa Mkubwa na wanawe mpaka kufikia...
10 years ago
Dewji Blog19 Jul
Mtemvu apokea msaada wa vyakula, nguo uliotolewa na kampuni ya Goodone kwa ajili ya kituo cha Yatima cha Alqam, Tandika Dar
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Good One, Wu Ya Hui (kushoto), akimkabidhi msaada wa vyakula na nguo, sabuni na vyombo Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu vilivyotolewa kwa Kituo cha Kulelea Yatima cha Darul Arqam cha Tandika, Dar es Salaam jana. Msaada huo uliombwa na mbunge huyo kwa kushirikiana na aliyewahi kuwa Makamu wa Rfais wa TFF, Athuman Nyamlani. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG)
Mtemvu akipokea sabuni kwa ajili ya kituo hicho.
Mtemvu akipoea balo la...
10 years ago
Vijimambo19 Jul
MTEMVU APOKEA MSAADA WA VYAKULA,NGUO ULIOTOLEWA NA KAMPUNI YA GOODONE KWA AJILI YA KITUO CHA YATIMA CHA ALQAM,TANDIKA DAR
(PICHA ZOTE NA RICHARD BUKOS / GPL)
10 years ago
GPLMTEMVU APOKEA MSAADA WA VYAKULA, NGUO ULIOTOLEWA NA KAMPUNI YA GOODONE KWA AJILI YA KITUO CHA YATIMA CHA ALQAM, TANDIKA DAR
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TksgcaWB8w8/VlHuMakQpjI/AAAAAAAAvuk/5aZjy8GpptA/s72-c/DSCF8984.jpg)
VWG watoa msaada kwa yatima wa kituo cha chakuwama jijini dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-TksgcaWB8w8/VlHuMakQpjI/AAAAAAAAvuk/5aZjy8GpptA/s640/DSCF8984.jpg)
VWG iliamua kutembelea kituo hicho ikiwa ni sehemu ya maadhimisho yake ya kutimiza mwaka mmoja toka kuanzishwa kwake.
Akizungumza katika hafla fupi iliyofanyika kituoni hapo, Mwenyekiti wa VWG, Bi....
10 years ago
MichuziTCAA WATOA MSAADA WA VITU MBALIMBALI KWA KITUO CHA KULEA YATIMA CHA HNEW HOPE FAMILY KILICHOPO MWASONGA KIGAMBONI JIJINI DAR