Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANAWAKE WAPWANI GENERATION WATOA MSAADA WA VYAKULA KWA KITUO CHA WATOTO YATIMA KIBAHA


NA VICTOR MASANGU, KIBAHAWatoto yatima na wale wanaoishi katika mazingira magumu katika kituo cha Sharom kilichopo kata ya Msangani Wilayani Kibaha Mkoani Pwani wamemuomba Rais Dk. John Pombe Magufuli kuwasaidia kwa hali na mali kuwasaidia kuwatatulia changamoto mbali mbali zinazowakabili ikiwemo ukosefu wa mahitaji ya chakulai,nguo, huduma za matibabu pamoja na ujenzi wa jengo la nyumba kwa ajili ya kuweza kuishi.
Baadhi ya watoto hao akiwemo Sara Yendemba Dickson Michael na wakizungumza...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA( TCAA) WATOA MSAADA WA VYAKULA MBALIMBALI KWA WATOTO YATIMA WANAOLELEA KATIKA KITUO CHA NEW LIFE ORPHANS HOME CHA KIGOGO JIJINI DAR ES SALAAM

Afisa habari wa Mamlaka ya  Usafiri wa Anga  Tanzania (TCAA) Ally Changwila  akiwakabidhi  msaada wa madaftari Rahma Seif na Yusra Yahaya  ambao ni watoto wanaolelewa katika kituo cha yatima cha New Life Orphans Home kilichopo Kigogo jijini Dar es Salaam. Vyakula mbalimbali vilitolewa ikiwemo mchele na Maharage.
Afisa habari wa Mamlaka ya  Usafiri wa Anga  Tanzania (TCAA) Ally Changwila  (kushoto)...

 

11 years ago

Michuzi

kundi la Mkwawa Moja Alumni Association (MMAA) watoa msaada kwa watoto yatima wa kituo cha CHAKUWAMA,Sinza

Wanawake wanaowakilisha na kuunda kundi la Mkwawa Moja Alumni Association (MMAA) Edith Masuki, Cheyzo Uliza na Scola wakiwasilisha zawadi za mkono wa Idd kwa watoto,wanaolelewa kwenye kituo cha watoto yatima CHAKUWAMA kilichopo Sinza Dar es Salaam mwishoni mwa wiki .

Dada Cheyzo Uliza,Edith Masauki na Dada Fatma Mgembe wakionesha upendo kwa watoto wadogo waliopo kituoni hapo.baadhi ya watoto wa kituo hicho wakiwa ni wenye furaha kwa kutembelewa na ugeni huo.

 

11 years ago

Michuzi

Mkwawa Moja Alumni Association (MMAA) watoa msaada kituo cha watoto yatima CHAKUWAMA-SINZA jijini Dar

 Picha ya kwanza ni dada Edith Masuki, Cheyzo Uliza na Scola wakiwasilisha zawadi kwa watoto,Wanawake wanaowakilisha na kuunda kundi la Mkwawa Moja Alumni Association (MMAA) walipotembelea kituo cha watoto yatima CHAKUWAMA kilichopo Sinza Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Pichani ni Dada Cheyzo Uliza na Dada Fatma Mgembe wakionesha upendo kwa watoto wadogo zaidi waliopo kituoni hapo.Baadhi ya watoto wa kituo hicho wakipokea zawadi za Eid zilizoletwa na akina Dada hao wa kundi la MMAA.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mkubwa na wanawe & High Class Look watoa msaada kituo cha watoto yatima Hazina Mbagala Maji Matitu

IMG_4716

 

Mkubwa Fella akikabidhi kiroba cha Sembe kwa Bi Hawa Mmiliki wa Kituo cha watoto yatima Hazina kilichopo Mbagala maji Matitu.

IMG_4727 (1)

Picha ya pamoja na watoto hao.

   

IMG_4755

Vijana wa Yamoto Band Wakitoa Burudani kwa watoto hao.

Kabla ya kuzungumza chochote Napenda kutoa shukrani zangu kwa Mwenyezi Mungu kwa kila jambo ambalo limefanikiwa ni kwakupitia yeye aliye Muweza wa yote, Pili nawashukuru Watanzania wote karibu kila nyanja kwa kuonyesha ushirikiano wao kwa Mkubwa na wanawe mpaka kufikia...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mtemvu apokea msaada wa vyakula, nguo uliotolewa na kampuni ya Goodone kwa ajili ya kituo cha Yatima cha Alqam, Tandika Dar

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Good One, Wu Ya Hui (kushoto), akimkabidhi msaada wa vyakula na nguo, sabuni na vyombo Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu vilivyotolewa kwa Kituo cha Kulelea Yatima cha Darul Arqam cha Tandika, Dar es Salaam jana. Msaada huo uliombwa na mbunge huyo kwa kushirikiana na aliyewahi kuwa Makamu wa Rfais wa TFF, Athuman Nyamlani. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG)

 Mtemvu akipokea sabuni kwa ajili ya kituo hicho.

 Mtemvu akipoea  balo la...

 

10 years ago

Vijimambo

MTEMVU APOKEA MSAADA WA VYAKULA,NGUO ULIOTOLEWA NA KAMPUNI YA GOODONE KWA AJILI YA KITUO CHA YATIMA CHA ALQAM,TANDIKA DAR

Mzee Yusuf akizikonga nyoyo za mashabiki wake ndani ya Ukumbi wa Dar Live katika Sikukuu ya Eid Mosi.Mfalme Mzee Yusuf akipelekeshana puta na wanenguaji wake wakati wa shoo hiyo ndani ya Dar Live.Mfalme Mzee Yusuf na malikia wake, Leila Rashid wakinogeshana jukwaani.Mfalme Mzee Yusuf akifanya yake kwenye kinanda.Fatma Kassim akiwapa raha mashabiki wa Dar Live.
(PICHA ZOTE NA RICHARD BUKOS / GPL)

 

10 years ago

GPL

MTEMVU APOKEA MSAADA WA VYAKULA, NGUO ULIOTOLEWA NA KAMPUNI YA GOODONE KWA AJILI YA KITUO CHA YATIMA CHA ALQAM, TANDIKA DAR‏

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Good One, Wu Ya Hui (kushoto), akimkabidhi msaada wa vyakula na nguo, sabuni na vyombo Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu vilivyotolewa kwa Kituo cha Kulelea Yatima cha Darul Arqam cha Tandika, Dar es Salaam jana. Msaada huo uliombwa na mbunge huyo kwa kushirikiana na aliyewahi kuwa Makamu wa Rfais wa TFF, Athuman Nyamlani. 
 Mtemvu akipokea sabuni kwa ajili ya kituo...

 

9 years ago

Michuzi

VWG watoa msaada kwa yatima wa kituo cha chakuwama jijini dar

 KIKUNDI cha wakinamama kijulikanacho kwa jina la Victory Women Group (VWG) chenye makao yake makuu jijini Dar es salaam, mwisho mwa wiki, kilijumuika pamoja na kuwapatia msaada wa mahitaji mbali mbali watoto Yatima wanaolelewa kwenye Kituo cha CHAKUWAMA, kilichopo Sinza Mori jijini Dar es salaam.
VWG iliamua kutembelea kituo hicho ikiwa ni sehemu ya maadhimisho yake ya kutimiza mwaka mmoja toka kuanzishwa kwake.
Akizungumza katika hafla fupi iliyofanyika kituoni hapo, Mwenyekiti wa VWG, Bi....

 

10 years ago

Michuzi

TCAA WATOA MSAADA WA VITU MBALIMBALI KWA KITUO CHA KULEA YATIMA CHA HNEW HOPE FAMILY KILICHOPO MWASONGA KIGAMBONI JIJINI DAR

Afisa habari wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Ali Changwila akimkabidhi Peter Benard gunia la mchele kwaniaba ya wenzake wakati walipokwenda kutoa msaada wa vitu mbalimbali ikiwemo mafuta ya kupikia na madaftari kwa watoto wanaolelewa katika kituo cha kuleta yatima cha New Hope Family chenye watoto 36. Kilichopo mwasonga kigamboni jijini kata ya kisarawe 2 ,Temeke jijini Dar es Salaam.Mshauri wa Kituo cha kule watoto yatima wanaoishi katika mazingira magumu cha New Hope family ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani