Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HUU NDIO MSIMU WA KILIMO CHA PARACHICHI HUJACHELEWA NJOO UJIUNGE

Ndugu Mtanzania mpenda Kilimo, tunapenda kukueleza kuwa zao la Parachichi hivi sasa ni KIINUA MGONGO CHA MILELE, hivyo wajanja wa Kilimo wanakimbilia kuwekeza kwenye zao hilo ambalo kwa hivi sasa limekuwa mkombozi, kwani ukilima kwa njia ya kisasa heka moja yenye miche 100 unaweza kutia kibindoni zaidi ya sh. mil. 10 kwa mwaka wa kwanza wa mavuno na sh. Mil. 15 hadi 20 kwa mwaka wa pili wa mavuno na kuendelea.
.
Kampuni ya Esemwa Business Solutions LTD, inakaribisha wadau wanaopenda kuwekeza...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

HUJACHELEWA JIUNGE SASA NA KILIMO CHA PARACHICHI


Ndugu Mtanzania mpenda Kilimo, tunapenda kukueleza kuwa zao la Parachichi hivi sasa ni KIINUA MGONGO CHA MILELE, hivyo wajanja wa Kilimo wanakimbilia kuwekeza kwenye zao hilo ambalo kwa hivi sasa limekuwa mkombozi, kwani ukilima kwa njia ya kisasa heka moja yenye miche 81 unaweza kutia kibindoni zaidi ya sh. mil. 10 kwa mwaka wa kwanza wa mavuno na sh. Mil. 15 hadi 20 kwa mwaka wa pili wa mavuno.
.
Kampuni ya Esemwa Business Solutions LTD, inakaribisha wadau wanaopenda kuwekeza katika...

 

5 years ago

Bongo5

Hiki ndio kikosi cha PFA cha wachezaji 11 bora Uingereza msimu huu

Chama cha wachezaji soka wakulipwa Uingereza (PFA) kimetaja kikosi chake bora cha ligi hiyo kwa msimu huu unaoelekea ukingoni.

Timu ya Chelsea na Tottenham Hotspurs ndizo zimeongoza kutoa wachezaji wengi katika kikosi hicho ambapo kila timu imetoa wachezaji wanne. Wachezaji wa Chelsea walioingia katika kikosi hicho ni pamoja na Gary Cahil, David Luiz, N’golo Kante na Eden Hazard.

Nao waliochaguliwa kutoka Spurs ni Kyle Walker, Danny Rose, Dele Alli na Harry Kane. Wachezaji wengine...

 

5 years ago

Michuzi

WAKULIMA WAASWA KUCHANGAMKIA FURSA YA KILIMO CHA PARACHICHI



Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki akipata maelezo kuhusu mitambo inayotumika kutengeneza na kusaga zao la parachichi kutoka kwa Meneja Uzalishaji wa kiwanda cha Olivado Bw. Ngukula Lihuluku wakati wa ziara yake katika kiwanda hicho kilichopo Wilaya ya Wanging’ombe Mkoani Njombe.Meneja Uzalishaji wa kiwanda...

 

10 years ago

Michuzi

KIKUNDI CHA WANAWAKE CHA WOMEN WITH VISION WATOA MISAADA KWA WATOTO YATIMA KATIKA MSIMU HUU WA PASAKA


Wanakikundi wa women with vision wakiongozwa na mwenyekiti wao Herieth Makombe  wakiwa katika kituo cha msimbaz centre walipofika na kutoa misaada ya baadhi ya mahitaji katika kuwakumbuka watoto yatima katika msimu huu wa sikukuu za pasaka 

Baadhi ya mahitaji ambao walitoa katika kituo cha msimbaz centre katika kuawajali watoto yatima wa vituo vya msimbaz centre na mburahati.

 

10 years ago

Africanjam.Com

KIKOSI BORA CHA UEFA CHAMPIONS LEAGUE MSIMU HUU 2015


Goal-keepers: Marc-Andre ter Stegen (Barcelona), Gianluigi Buffon (Juventus)Defenders: Branislav Ivanovic (Chelsea), Gerard Pique (Barcelona), Javier Mascherano (Barcelona), Giorgio Chiellini (Juventus), Jordi Alba (Barcelona)
Mid-fields: Ivan Rakitic (Barcelona), Sergio Busquets (Barcelona), Andres Iniesta (Barcelona), Claudio Marchisio (Juventus), Toni Kroos (Real Madrid),Andrea Pirlo (Juventus)Strikers:Luis Suarez (Barcelona), Alvaro Morata (Juventus), Neymar (Barcelona), Cristiano Ronaldo...

 

10 years ago

Mwananchi

Walipachika mabao msimu uliopita, msimu huu chali

Ligi Kuu Tanzania Bara imesimama kwa muda wa mwezi mmoja huku timu zote zikiwa zimeshacheza michezo saba na Mtibwa Sugar ndiyo inaongoza msimamo wa ligi hiyo ikiwa na pointi 15.

 

10 years ago

Raia Mwema

Huu ndio mwanzo wa kifo cha CCM kilichobashiriwa?

NILIKUSUDIA kuendeleza mjadala kuhusu madai kwamba Edward Lowassa hakutendewa haki katika michaka

Jenerali Ulimwengu

 

9 years ago

MillardAyo

Arsenal yakubali kipigo cha nne msimu huu dhidi ya Southampton,kutana na video ya magoli na pichaz …

Baada ya michezo tisa ya Ligi Kuu Uingereza kupigwa Jumamosi ya December 26 siku ya Boxing Day, ulibakia mchezo mmoja ambao ulikuwa unachezwa usiku wa December 26. Mchezo ambao ulikuwa unachezwa usiku wa December 26 ni mechi kati ya Southampton dhidi ya Arsenal katika dimba la St Mary’s lenye uwezo wa kubeba zaidi ya mashabiki […]

The post Arsenal yakubali kipigo cha nne msimu huu dhidi ya Southampton,kutana na video ya magoli na pichaz … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani