Kituo cha dharura cha maafa kuanzishwa
IDARA ya Uratibu Maafa katika ofisi ya Waziri Mkuu, itaanzisha kituo cha dharura, ambacho kitafanya kazi kwa masaa 24 kwa ajili ya kuimarisha upatikanaji wa taarifa za hali ya hewa, mabadiliko na viashiria vya mabadiliko ya tabia nchi ili kutengeneza mifumo imara ya Tahadhari na utaratibu wa kuhimili majanga.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi.jpg)
CHIKAWE AZINDUA KITUO CHA MAWASILIANO YA DHARURA CHA POLISI JIJINI DAR ES SALAAM
.jpg)
10 years ago
Vijimambo.jpg)
WAZIRI WA MAMBO YA NDANI AZINDUA KITUO CHA MAWASILIANO YA DHARURA CHA POLISI JIJINI DAR ES SALAAM
.jpg)
10 years ago
Michuzi16 Sep
ZAIDI YA WATU 500 WANATARAJIWA KUSHIRIKI KATIKA BONANZA LA KUSHEREKEA MIAKA 17 TANGU KUANZISHWA KITUO CHA MAZOEZI CHA HOME GYM
Andrew Mangomango ni mkurugenzi wa kityuo hicho ametanabaisha kuwa maandalizi yote yamekamalika na kusema kuwa miongoni mwa watu watakaoshiriki katika bonanza hilo ni pamoja na vikundi vya Joging vya jijini DSM, vutio vya gym na yeyote atakayehitaji...
10 years ago
Dewji Blog19 Sep
Miaka 17 ya Kituo cha Mazoezi cha Home Gym: kutembelea wodi ya wazazi Kituo cha Afya Sinza Palestina leo Sept 19
Kituo cha Mazoezi cha Home Gym…
Na Andrew Chale, modewjiblog
[Dar es Salaam-Tanzania]- Kuelekea miaka 17 ya tangu kuanzishwa kwa kituo cha Mazoezi cha Home Gym chenye maskani yake Mwenge jijini Dar es Salaam-Tanzania, uongozi wa kituo hicho unatarajia kufanya matukio makuu muhimu ikiwemo kutembelea wodi ya akina mama katika kituo cha Afrya cha Sinza Palestina Jijini.
Akizungumza na modewjiblog, Mkurugenzi wa kituo hicho, Andrew Mangomango amebainisha kuwa, kuelekea shughuli za miaka 17 za...
10 years ago
Michuzi
JUST IN: KITUO CHA MICHEZO CHAENDELEA KUJIZATITI Aliyekuwa Kocha kwenye Ligi Kuu ya Uingereza aja Tanzania kuongoza kituo cha vijana cha michezo

10 years ago
Michuzi
Kituo cha kisasa cha michezo kwa vijana cha JMK cha Kidongo Chekundu kuzinduliwa Oktoba 19, 2015



11 years ago
Michuzi
10 years ago
Michuzi
Rais Kikwete aongoza kikao cha Dharura cha wakuu wa nchi za EAC


10 years ago
MichuziTRA KUCHAMBUA RIPOTI YA KITUO CHA UTAFITI CHA KODI CHA KIMATAIFA (ICTD)