Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi wawakamata walinzi wa Chadema

msangiNA PENDO FUNDISHA, MBEYA

JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watu wawili wanaosadikiwa kuwa ni miongoni mwa vijana wa kikosi cha ulinzi   cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), red brigade.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi, alisema mjini hapa jana kwamba vijana hao ni kati ya waliokuwa wamevaa nguo nyeusi, kofia na viatu vyeusi wakati wa mapokezi ya mgombea urais wa Ukawa, Edward Lowassa  mjini Mbeya wiki iliyopita.

Kwa mujibu wa Kamanda Msangi, vijana hao...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Walinzi wa CHADEMA Walioongoza Msafara wa Lowassa Jijini Mbeya Watakiwa Kujisalimisha Polisi Kwa Ajili ya Mahojiano

Mnamo Tarehe 14.08.2015 Mgombea Urais Kwa Tiketi Ya Chadema Alikuja Mkoa Wa Mbeya Akiwa Ameandamana Na Viongozi Wa Vyama Vya Cuf, Nccr – Mageuzi Na Nld Kwa Dhumuni La Kumtambulisha Na Kuomba Udhamini Wa Kupeperusha Bendera Ya Chadema Kwa Nafasi Ya Urais. Katika Msafara Wake Kutoka Uwanja Wa Ndege [songwe] Kulionekana Gari Moja (pichani) Aina Ya Land Cruiser – Pick Up Yenye Rangi Nyeusi Na Ndani Yake Lilikuwa Limebeba Vijana Ambao Walikuwa Wamevaa Mavazi Meusi, Kofia – Bereti Nyeusi Na Miwani...

 

9 years ago

Mwananchi

Mdee na wenzake huru, polisi wawakamata tena

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imefuta kesi ya kufanya mkusanyiko usio halali kwa lengo la kwenda Ikulu iliyokuwa inamkabili mbunge mteule wa Jimbo la Kawe (Chadema), Halima Mdee (35) na wenzake wanane, kwa kuwaachia huru kisha polisi kuwatia mbaroni tena.

 

10 years ago

Mtanzania

Walinzi Chadema mbaroni

IMG-20150426-WA0004Na Pendo Fundisha, Mbeya

JESHI la Polisi mkoani Mbeya linawashikilia watu wawili wanaodaiwa kuwa makada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambao ni vijana wa kikosi cha ulinzi cha chama hicho (Red Brigade), wakidaiwa kuwa na sare za jeshi na silaha zikiwamo za jadi.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi, alisema vijana hao walikamatwa juzi jioni katika eneo la Sogea wilayani Momba, baada ya kutolewa taarifa na raia...

 

10 years ago

Mtanzania

Polisi kumulika Chadema

IGP Mangu

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu

NA ELIZABETH MJATTA

JESHI la Polisi limetangaza kuanzisha uchunguzi wa kina dhidi ya viongozi wa kitaifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), waliotajwa na kada wa zamani wa chama hicho, Habibu Mchange, kujihusisha kupanga na kutekeleza njama zenye mwelekeo wa ugaidi.

Limesema tuhuma zilizotolewa na Mchange zimelishtua, hivyo zinapaswa kuchukuliwa kwa uzito wa hali ya juu, unaohusisha mwenendo wa uchunguzi wenye tahadhari wa makosa ya...

 

10 years ago

Habarileo

Polisi yaishangaa Chadema

JESHI la Polisi mkoani Shinyanga limekanusha taarifa za kutekwa kwa msafara wa viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na wanachama wake wa Kanda ya Ziwa. Jeshi hilo limesisitiza hakuna tukio hilo na kuwa ni uzushi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Polisi waache kuinyanyasa CHADEMA

MOJA ya habari zilizomo kwenye Gazeti hili leo, zinasema kuwa jeshi Polisi wilayani Kyerwa limewatawanya kwa mabomu ya machozi, wananchi waliojitokeza kumlaki Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Wanawake wa...

 

10 years ago

GPL

CHADEMA, POLISI BUSARA ITUMIKE

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo 'CHADEMA' na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni,  Freeman Mbowe, Na Ojuku Ibrahim
MAAZIMIO ya Mkutano Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya kuitisha maandamano na migomo isiyokoma nchi nzima kupinga kuendelea kwa vikao vya Bunge Maalum la Katiba (BMK) na baadaye kauli kali ya Jeshi la Polisi ya kukataza kitendo hicho na kutishia kutumia nguvu...

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema sasa wawageukia polisi

Tukio la Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Temeke, Joseph Yona kutekwa nyara, kupigwa na kutupwa katika vichaka eneo la Tegeta na watu aliodai kuwa ni wafuasi wa chama hicho, limekichanganya Chadema baada ya jana kudai kuwa tukio hilo limefanywa na Jeshi la Polisi.

 

11 years ago

Mwananchi

Mgombea Chadema ajisalimisha polisi

Aliyetarajiwa kuwa mgombea wa udiwani wa Kata ya Mtae wilayaniLushoto kupitia Chadema na kutojitokeza kurejesha fomu hatimaye ajisalimisha polisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani