Mgombea Chadema ajisalimisha polisi
Aliyetarajiwa kuwa mgombea wa udiwani wa Kata ya Mtae wilayaniLushoto kupitia Chadema na kutojitokeza kurejesha fomu hatimaye ajisalimisha polisi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMSAFARA WA MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA KATIKA JIMBO LA KALENGA AZUIWA NA POLISI MKOANI IRINGA
10 years ago
GPLMCHUNGAJI GWAJIMA AJISALIMISHA POLISI
10 years ago
StarTV30 Dec
Mtuhumiwa ajisalimisha Polisi Geita.
Na Salma Mrisho,
Geita.
Waendesha Pikipiki mjini Geita wameizingira ofisi ya Polisi Mkoa baada ya mtu wanayemtuhumu kuhusika kwenye matukio ya wizi na mauaji ya waendesha bodaboda kukimbilia polisi kujisalimisha.
Waendesha bodaboda hao ambao wamekaa kwa muda nje ya ofisi hiyo wamefikia maamuzi ya kwenda nyumbani kwa mtuhumiwa ili wachome nyumba yake wakidai mtuhumiwa huyo amekuwa akikamatwa na kuachiwa.
Ilikuwa ni majira ya saa tatu asubuhi waendesha wakija mmojammoja nje ya ofisi ya...
11 years ago
Habarileo07 Feb
Mbunge Lema ajisalimisha Polisi
MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema amejisalimisha Polisi jijini hapa, ingawa amesema hawezi kuhojiwa kwa kuwa wakili wake hayupo. Lema alisema hayo leo jijini hapa wakati akitoka Kituo Kikuu cha Polisi .
10 years ago
Mwananchi28 Mar
Gwajima ajisalimisha polisi, atakiwa kwa DC
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Mbowe ajisalimisha polisi, Shughuli zasimama
10 years ago
GPLBILIONEA LAKE OIL AJISALIMISHA POLISI
10 years ago
BBCSwahili09 Jun
FIFA;mtuhumiwa ajisalimisha kwa polisi Italia
9 years ago
BBCSwahili06 Jan
Mshukiwa wa ugaidi ajisalimisha kwa polisi Kenya