MSAFARA WA MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA KATIKA JIMBO LA KALENGA AZUIWA NA POLISI MKOANI IRINGA
Polisi mkoani Iringa wakiwa  wamezuia msafara  wa mgombea   ubunge jimbo la Kalenga, Bi Grace Tendega kupitia Chadema kwa madai  hawakuwa na kibali cha kufanya  maandamano  hayo ya magari  hapa  ni eneo la lango la mji Samora ambapo msafara huo  ulikuwa ukitokea maeneo la Ndiuka kuelekea kwa msimamizi wa uchaguzi  ili kuchukua fomu. Mgombea  ubunge wa  Chadema Kalenga, Grace...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi28 Feb
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-AOD-_DwPPJU/UxDY-rYjhwI/AAAAAAACbUs/wGdXT1MgI7c/s72-c/5.jpg)
MWIGULU NCHEMBA ,MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KALENGA WASHIRIKI MAZISHI YA WANANCHI WATATU KIJIJI CHA KIDAMALI MKOANI IRINGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-AOD-_DwPPJU/UxDY-rYjhwI/AAAAAAACbUs/wGdXT1MgI7c/s1600/5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vMeOFDgeMqo/UxDY_r8OhtI/AAAAAAACbU4/9X2kmwlvkuM/s1600/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0MHsT3fWYjQ/UxDZCrvKosI/AAAAAAACbVA/1jLQdG4Vmbg/s1600/7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-krjBOryrzyM/UxDZDRXS06I/AAAAAAACbVI/eNSPXlWxJ80/s1600/8.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Jan
Wasanii mkoani Iringa wamemtungia wimbo mgombea ubunge jimbo la Iringa Mjini Frank Kibiki
MSANII wa muziki wa kizazi, kipya mjini Iringa, ONE LEE akitoa zawadi ya ngoma kwa mwandishi wa Habari Frank Kibiki kwa niaba ya wasanii wenzake, ambaye hivi karibuni alitangaza nia ya kugombea ubunge katika jimbo la Iringa mjini.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Iringa, wasanii hao walisema wameamua kutengeneza wimbo huo kutokana na mchango mkubwa wa mwanahabari huyo, katika fani yao.
Msanii huyo Richard Kayombo ‘One Lee’ ambaye alikabidhi wimbo kwa niaba ya wasanii wenzake...
11 years ago
MichuziMWIGULU NCHEMBA AMNADI MGOMBEA WA CCM JIMBO LA KALENGA,MKOANI IRINGA LEO
11 years ago
Michuzi20 Feb
PINGAMIZI LA CHADEMA DHIDI YA MGOMBEA UBUNGE WA CCM JIMBO LA KALENGA LATUPWA
Lile pingamizi lililokuwa limewekwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) dhidi ya mgombea ubunge katika jimbo la Kalenga mkoani Iringa kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) limetupwa.
Katika pingamizi lao lilowasilishwa juzi, Chadema walikuwa wanapinga Godfrey Mgimwa kugombea ubunge kupitia CCM kama alivyoomba kwa kuwa sio raia wa Tanzania.
Tetesi za tatizo la uraia wa Godfrey Mgimwa zilisambaa mjini Iringa baada ya Chadema kuweka pingamizi hilo.
Katika Pingamizi...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zustSyWnHCU/UxGMIvKIxwI/AAAAAAACbVo/6sYG-mmoLtw/s72-c/Heche+kuhiutubia+Lumuli.jpg)
CHADEMA YAENDELEA NA KAMPENI ZAKE ZA UCHAGUZI JIMBO LA KALENGA MKOANI IRINGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-zustSyWnHCU/UxGMIvKIxwI/AAAAAAACbVo/6sYG-mmoLtw/s1600/Heche+kuhiutubia+Lumuli.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-b2DhofXYRdQ/UxGMJoXYzzI/AAAAAAACbVw/eibh9y3Mtog/s1600/Mawazo+kumwelezea+mtoto.jpg)
11 years ago
Michuzi09 Mar
UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA KALENGA,MGOMBEA UBUNGE WA CCM AKIJINADI KWA WANANCHI LEO KIJIJI CHA SADAN-IRINGA VIJIJINI
Msikilize Mgombea Ubunge jimbo la Kalenga kwa tiketi ya chama cha CCM,Godfrey Mgimwa akijinadi jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika kijiji cha Sadani kata ya Mseke,Iringa Vijijini.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8l--NuzR*jGx*Zr11BrItu5WhsSymm3FVUxUpePPnA*2ZaI43xfi47*oy5-xe*Z9RaCXsSlb7hOETKsDwneJA*drfVjT37ZR/MgombeakupokelewaLumuli.jpg?width=650)
CHADEMA KATIKA KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA KALENGA