Chadema sasa wawageukia polisi
Tukio la Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Temeke, Joseph Yona kutekwa nyara, kupigwa na kutupwa katika vichaka eneo la Tegeta na watu aliodai kuwa ni wafuasi wa chama hicho, limekichanganya Chadema baada ya jana kudai kuwa tukio hilo limefanywa na Jeshi la Polisi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi09 Mar
Utaratibu Chadema sasa walalamikiwa
10 years ago
Mwananchi19 Jul
Kambi ya Lowassa sasa rasmi Chadema
9 years ago
Raia Mwema10 Sep
Tuiamini Chadema ya sasa na gesi yetu?
KILA nikitafakari yanayotokea katika nchi yetu Tanzania naingiwa na shaka na hofu kubwa kwamba tu
Johnson Mbwambo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U9cJ436L1lcD9Hl*hceViRR9ANLK8QcDWyNHzk1lZ7vABsoBlxEvyxptc2-xTqYDjqLu77A2T4wJaKA7Wid2XEkuPGqNIuob/Polisi.gif?width=650)
MAUAJI YA POLISI SASA TISHIO
10 years ago
Habarileo09 Dec
Chadema Kibaha sasa wambana Katibu Tawala
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Kibaha Mjini mkoani Pwani kimetoa siku mbili hadi Desemba 10 kwa Katibu Tawala wa Wilaya (DAS) Kibaha kuwarejesha wagombea wa nafasi mbalimbali kupitia chama hicho na endapo hatawarejesha watafanya maandamano kushinikiza warudishwe kuwania nafasi hizo.
10 years ago
Vijimambo10 Feb
Chadema sasa kushambulia kwa kutumia mabaraza yake
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Tumaini-10Feb2015.jpg)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeamua kutumia mabaraza yake kufanya mashambulizi ya kisiasa kujiimarisha miongoni mwa makundi maalum katika jamii.
Kwa mujibu wa habari zilizopatikana kutoka ndani ya chama hicho, chama hicho sasa kitayatumia mabaraza yake ya Vijana (Bavicha), Wanawake (Bawacha) na (Bazecha) kama mkakati wa kulenga makundi mahsusi ya wapiga kura katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika...
10 years ago
Vijimambo07 Oct
Chadema sasa yajipanga kupiga kambi jimbo la Sitta
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Samuel-Sitta--Ocxtober7-2014.jpg)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia Baraza lake la Vijana Taifa (Bavicha), kimetangaza mkakati wa kwenda kuweka kambi kwenye Jimbo la Urambo Mashariki linaloongozwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta.
Lengo la chama hicho ni kuwaeleza namna kiongozi huyo alivyochakachua Rasimu ya maoni ya Watanzania.
Mkakati huo ulitangazwa jana na Mwenyekiti wa Bavicha Taifa, Patrobas Katambi na Katibu wa Baraza hilo, Julius...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-WP2uR35kP-o/VbeQqfNZkGI/AAAAAAAAF70/uud33jq25cE/s72-c/SAFARI.jpg)
SAFARI YA MATUMAINI INAENDELEA SASA IMEHAMIA CHADEMA RASMI!!
![](http://1.bp.blogspot.com/-WP2uR35kP-o/VbeQqfNZkGI/AAAAAAAAF70/uud33jq25cE/s640/SAFARI.jpg)
Lowassa: CCM sio baba yangu wala mama yangu…Hotuba yote ya Lowassa iko hapa SIKILIZA YOTE HAPA
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Rita sasa yampeleka polisi ‘Miss Tanzania’