Chadema sasa kushambulia kwa kutumia mabaraza yake
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa chama hicho, Tumaini Makene.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeamua kutumia mabaraza yake kufanya mashambulizi ya kisiasa kujiimarisha miongoni mwa makundi maalum katika jamii.
Kwa mujibu wa habari zilizopatikana kutoka ndani ya chama hicho, chama hicho sasa kitayatumia mabaraza yake ya Vijana (Bavicha), Wanawake (Bawacha) na (Bazecha) kama mkakati wa kulenga makundi mahsusi ya wapiga kura katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-HEK0QDRFAKk/VfbgSFxKdDI/AAAAAAAAc94/ZD0jx_zSt18/s72-c/3.jpg)
TASWIRA ZA UWANJA WA KAITABA UNAVYOENDELEA MPAKA SASA MJINI BUKOBA. KUMALIZIKA KUJENGWA MWEZI DESEMBA 2015, KAGERA SUGAR KUTUMIA UWANJA WA MUSOMA KWA SASA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-HEK0QDRFAKk/VfbgSFxKdDI/AAAAAAAAc94/ZD0jx_zSt18/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X5Wt3S3udSE/VfbhJIrz2BI/AAAAAAAAc-Q/Gr3Ol0vaPjo/s640/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GDe0f46dIZA/VfbhJuyupBI/AAAAAAAAc-U/4ESsV93HWu0/s640/6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9uKwr4HtDww/VfbhH4OLdkI/AAAAAAAAc-I/QQDK6yIDvSg/s640/7.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WPd0HA-I9Ck/VfbhqYdprvI/AAAAAAAAc-k/JghbrBbsirU/s640/8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QqWb_abmdRI/VfbhqPndAVI/AAAAAAAAc-g/5613cPEm1Zo/s640/9.jpg)
11 years ago
Michuzi30 Apr
NEWS ALERT: MTU MMOJA AJINYONGA KWA RAFIKI YAKE KWA KUTUMIA KANGA
KIJANA Victor Wilfred (29) mkazi wa Keko jijini Dar es Salaam amekufa kwa kujinyonga kwa kutumia kanga aliyoifunga kwenye dirisha la chumba cha rafiki yake.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Polisi mkoani Pwani Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP Ulrich Matei alisema kuwa marehemu alifika kwa rafiki yake hapa Kibaha kwa lengo la kutafutiwa kazi.
Kamanda Matei amesema kuwa tukio hilo lilitokea leo Aprili 30 mwaka huu majira ya saa 5...
11 years ago
Michuzi30 Apr
AJINYONGA KWA RAFIKI YAKE KWA KUTUMIA KANGA
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Katiba sasa itapatikana kwa kutumia vyombo vya dola?
EEEEEH! Eti hivi ndivyo Katiba tarajiwa italindwa? Haya ndiyo maridhiano katika kuandika katiba mpya? Polisi, virungu na mbwa ndio mjadala wa kukamilisha katiba mpya enyi wanadamu? Kama Katiba ni ya...
10 years ago
Mwananchi20 Feb
TEKNOLOJIA TIBA: Upasuaji kwa kutumia roboti sasa wafanyika nchini
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Kortini kwa kutumia majina ya CCM, Chadema
11 years ago
GPL![](https://2.bp.blogspot.com/-i-8xDYeCBuo/U2ocVk0rv8I/AAAAAAAANBA/QPMUmjga5Y8/s1600/jivava.jpg)
MWENYEKITI WA CHADEMA TUNDUMA AKABILIWA NA SHITAKA LA KUSHAMBULIA
9 years ago
Bongo524 Dec
50 Cent amshtaki Rick Ross kwa kutumia beat ya ‘In Da Club’ kwenye mixtape yake
![rick-ross-and-50-cent](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/rick-ross-and-50-cent-300x194.jpg)
50 Cent anamshtaki Rick Ross akitaka alipwe dola milioni 2 kwa kuitumia beat ya wimbo wake wa kitambo, ‘In Da Club.’
50 Cent anadai kuwa Rick Ross ametumia wimbo huo bila ruhusa yake ili kuipa kiki albamu yake Black Market.
Mashtaka hayo yamekuja miezi kadhaa baada ya 50 naye kutakiwa kulipa dola milioni 5 kwa Lastonia Leviston baada ya kupost sex tape yake. Leviston ana mtoto na Rick Ross.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata...