Kambi ya Lowassa sasa rasmi Chadema
Sasa ni rasmi kwamba kambi ya aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Edward Lowassa imeamua kuachana na chama hicho baada ya madiwani 18 kutangaza kuhamia Chadema, huku mratibu wa wanachama wanaomuunga mkono kada huyo wa CCM kuamua kujiunga na vyama vinavyounda Ukawa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo07 Oct
Chadema sasa yajipanga kupiga kambi jimbo la Sitta
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Samuel-Sitta--Ocxtober7-2014.jpg)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia Baraza lake la Vijana Taifa (Bavicha), kimetangaza mkakati wa kwenda kuweka kambi kwenye Jimbo la Urambo Mashariki linaloongozwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta.
Lengo la chama hicho ni kuwaeleza namna kiongozi huyo alivyochakachua Rasimu ya maoni ya Watanzania.
Mkakati huo ulitangazwa jana na Mwenyekiti wa Bavicha Taifa, Patrobas Katambi na Katibu wa Baraza hilo, Julius...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NzDUNNjpKqY/VbeGAw9myPI/AAAAAAAHsPs/9QD2Sc7U3w8/s72-c/MMGL0364.jpg)
LOWASSA AJIUNGA RASMI NA UKAWA,AKABIDHIWA KADI RASMI YA UANACHAMA CHADEMA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-NzDUNNjpKqY/VbeGAw9myPI/AAAAAAAHsPs/9QD2Sc7U3w8/s640/MMGL0364.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HGeeL3rFur8/VbeGAAXFM8I/AAAAAAAHsPo/64cudQzmg4Q/s640/MMGL0367.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bt3gbl_fezs/VbeGCDcfo-I/AAAAAAAHsQA/fXpkbv2ToMo/s640/MMGL0450.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mJm3snXM0mwzcilLs5b5ByVb-jOB5XMbfDbD2pKsckPZczQl1X0YldCPIPTlYaV3y7eaGvtzXD87GWlebOj6VPirpLWE7kw5/frontuwaziMizengwe1.jpg)
LOWASSA SASA RASMI UKAWA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t3tIV4vY4Jo7owSqWvAMzJbUngmu2ewcyIcdaQDGJAKL8B7R55tP32xz-IPrHrVWHnm9redkXHuREYI96gs5gPFwN44bQXGj/jknalowassa.jpg?width=650)
KAMPENI ZA URAIS… JK, LOWASSA SASA VITANI RASMI
10 years ago
Dewji Blog28 Jul
Lowassa akabidhiwa rasmi kadi ya CHADEMA
Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema,Freeman Mbowe akimkabidhi kadi ya uanachama wa chama hicho, Mh.Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa leo katika hoteli ya Bahari Beach jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa akizungumza na mamia wakati wa kutangaza adhima yake ya kujiunga na Chadema katika Hoteli ya Bahari Beach jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa akijibu maswali ya waandishi wa habari juu ya kujunga kwake katika Hoteli ya Bahari Beach leo jijini Dar es...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-WP2uR35kP-o/VbeQqfNZkGI/AAAAAAAAF70/uud33jq25cE/s72-c/SAFARI.jpg)
SAFARI YA MATUMAINI INAENDELEA SASA IMEHAMIA CHADEMA RASMI!!
![](http://1.bp.blogspot.com/-WP2uR35kP-o/VbeQqfNZkGI/AAAAAAAAF70/uud33jq25cE/s640/SAFARI.jpg)
Lowassa: CCM sio baba yangu wala mama yangu…Hotuba yote ya Lowassa iko hapa SIKILIZA YOTE HAPA
10 years ago
Mwananchi28 Jul
Lowassa sasa rasmi Ukawa,muda wowote kutangazwa mgombea urais
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ql4_IZVgXvI/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi28 Jul
Lowassa ajiunga rasmi na Ukawa, akabidhiwa kadi ya uanachama Chadema