NI KWELI WALINZI WOTE GETINI NI WEHUWEHU?
Kwenu, Wadau wa sinema za Kibongo. Hapa nazungumza zaidi na watayarishaji, waongozaji na watunzi wa filamu. Naamini mtakuwa wazima wa afya. Kwa upande wangu nipo sawa. Kuna jambo nimelitafakari kwa muda mrefu, lakini leo nimeona ni vyema niwaambie.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima09 Jul
Eti ni kweli binadamu wote ni sawa?
WALAU sasa iko wazi kwamba sio kila kitu kiko kama kinavyosemwa. Kuna upande wa nadharia na kuna upande wa uhalisia. Vitu ambavyo vipo kama vinavyotakiwa, vilipaswa kuwa kama inavyotakiwa na...
10 years ago
GPL
MFANYABIASHARA AUAWA KWA RISASI GETINI
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Dkt. Kingwangalla asiamama getini kudhibiti watumishi wachelewaji
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kingwangalla akisimamia zoezi la ufungwaji wa geti hilo, Kulia ni askari wa SUMA JKT akiweka kufuli katika lango kuu la kuingia katika ofisi za Wizara ya Afya.
Dkt Kingwangalla akiwauliza askari wa getini kuhusu daftari la mahudhurio ya watumishi wa wizara baada ya kufungwa geti hilo, na kupewa maelezo kuwa watumishi huonyesha vitambulisho pekee na husaini katika vitengo vyao.
Mmoja wa wafanyakazi wa Wizara ya Afya...
11 years ago
GPL
MTOTO AOKOTWA GETINI AKIWA NA NGUO KWENYE RAMBO
10 years ago
GPL
ANAYEDAI WIFI WA ZARI AZUIWA GETINI KWA DIAMOND
10 years ago
Vijimambo
Utajua Marafiki wa kweli na Mburulazzz, Lulu Michael Ndio Rafiki wa Kweli

11 years ago
Mwananchi18 Aug
Unaposoma unaweza kutambua taarifa anazoandika mtunzi zilizo kweli na zisizo kweli?
9 years ago
Bongo518 Dec
Picha: Kigwangalla apitisha mnyoosho ofisi za wizara ya afya, wachelewaji waishia getini!

‘Ziara za Kushtukiza’ na ‘Minyoosho’ ni majina ya kati ya serikali ya awamu ya tano ya Rais Dkt John Pombe Magufuli na mawaziri wake wameingia na kasi hiyo hiyo tangu waapishwe.
Leo ofisi za wizara ya afya jijini Dar es Salaam zilikuwa na ugeni wa ‘surprise’ kutoka kwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla.
Ugeni huo haikuwa wa heri hata kidogo sababu wachelewaji wote walijikuta wakirudia getini baada ya Kigwangalla kuwaamrisha walinzi...
10 years ago
Vijimambo