Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Eti ni kweli binadamu wote ni sawa?

WALAU sasa iko wazi kwamba sio kila kitu kiko kama kinavyosemwa. Kuna upande wa nadharia na kuna upande wa uhalisia. Vitu ambavyo vipo kama vinavyotakiwa, vilipaswa kuwa kama inavyotakiwa na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Wagombea wote wanahaki sawa

3

Mwenyekiti wa Taifa wa Shirikisho la vyuo vya Elimu ya juu Tanzania linaloundwa na wanachama wa chama cha mapinduzi (CCM), Bi Zainabu Abdalah Issa akitoa tamko la umoja huo lililolenga kuwakumbusha wanachama wa chama hicho waliotangaza nia ya kuwania kuteuliwa kwenye nafasi ya Urais kuwa hakuna aliye maarufu au mwenye nguvu kuliko chama bali mgombea wa chama hicho atapatikana kwa mujibu wa taratibu na kanuni za chama na si vingenevyo.(Picha zote na Frank Mvungi-MAELEZO). 2 Mwenyekiti wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Viumbe sawa na binadamu vyapatikana AK

Wanasayansi nchi Afrika kusini wamevumbua masalia mapya yafananayo na binaadamu katika pango fulani nchini Afrika Kusini

 

11 years ago

GPL

NI KWELI WALINZI WOTE GETINI NI WEHUWEHU?

Kwenu, Wadau wa sinema za Kibongo. Hapa nazungumza zaidi na watayarishaji, waongozaji na watunzi wa filamu. Naamini mtakuwa wazima wa afya. Kwa upande wangu nipo sawa. Kuna jambo nimelitafakari kwa muda mrefu, lakini leo nimeona ni vyema niwaambie.…

 

11 years ago

GPL

SAWA UMZURI, LAKINI UNAJISIKIAJE UNAPOITWA JINA LA ‘CHA WOTE’?

Niwiki nyingine tena tunakutana kupitia safu hii nikiamini kwamba umzima na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku kama kawaida. Mimi niko poa na kama ilivyo ada leo nimekuja na mada ambayo inawagusa wanawake kwa asilimia kubwa. Nazungumzia hii tabia ya baadhi ya wasichana kutumia uzuri wao vibaya kwa kuwapanga foleni wanaume bila kujali madhara yanayoweza kujitokeza. Wewe msomaji wangu utakuwa ni shahidi juu ya uwepo wa...

 

11 years ago

Michuzi

Mahakama ya Tanzania imedhamiria kutekeleza dira yake ya haki sawa kwa wote

Kaimu Mkurugenzi, Kurugenzi ya Usimamizi na Uendeshaji wa Mashauri kutoka Mahakama ya Tanzania Bw. John Kahyoza akiwaeleza waandishi wa (hawapo pichani) mikakati iliyoweka iliyowekwa na Mahakama ya Tanzania ili kutekeleza dira yake ya haki sawa kwa wote na kwa wakati kwa vitendo, kwa kuhakikisha inapunguza muda wa mashauri kukaa mahakamani, wakati wa mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Afisa Habari wa Mahakama ya Tanzania Bi. Mary Gwera. Picha na Hassan...

 

11 years ago

Michuzi

Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote (EOTF) wakabidhi Msaada wa Vitabu kwa Taasisi 48 za Elimu nchini.

 Mwenyekiti  wa Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote(EOTF), Mama Anna Mkapa akitoa neno la shukrani kwa wahisani wakati wa hafla ya kukabidhi  vitabu kwa ajili ya kusaidia  shule 45 na vyuo 3 vilivyotolewa na Books for Africa kutoka nchini  Marekani leo jijini Dar es Salaam,kushoto ni Mwakilishi kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Bibi.Paulina Mkonongo na katika ni mwakilishi wa Balozi wa Nigeria nchini Bibi. Abiola Delupe. Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote(EOTF),...

 

11 years ago

Bongo Movies

Uwiii! Eti, eti, Kajala anatumia nafasi ya kuonekana kwenye TV "kuvutia mabwana", Nora huyo karopoka

Muigizaji maarufu nchini aliyetamba mwanzoni mwa miaka ya 2000 Nora Nuru Nassoro aliyepotea kwa muda, ameibukia kwenye Runinga ya EATV na kumbutua staa mwenzake, Kajala Masanja kwamba, anatumia nafasi ya kuonekana kwenye filamu kujipatia wanaume kama si mabwana!

 

Akizungumza kupitia Kipindi cha Mkasi kinachoratibiwa na Mtangazaji Salama Jabir, Jumatatu iliyopita, Nora alisema fani ya uigizaji imevamiwa kwa sasa kwani kuna watu ambao wanaingia kwenye gemu ili wauze sura na kuonekana na...

 

10 years ago

Bongo5

Mashabiki walumbana kuhusu video ya Alikiba ‘Mwana’, kama ni sawa au si sawa kwa video kutofuata maudhui ya wimbo

Wiki moja baada ya video ya Alikiba ‘Mwana’ iliyofanyiika Afrika Kusini na kuongozwa na Godfather, itoke, kumekuwa na maoni tofauti kuhusiana na video hiyo. Baadhi yao wameonekana kuifurahia na wengine wameonekana kutoridhishwa na baadhi ya vitu. Baadhi ya waliotoa maoni wamesema kuwa walitegemea kuona video yenye script inayoendana na maudhui ya wimbo ili kumuwezesha hata […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani