Walinzi wa rais wakataa kusalimu silaha B Faso
Juhudi za kukipokonya silaha kikosi cha walinzi wa rais wa Burkina Faso kilichosalimu mamlaka wiki iliopita baada ya kufanya mapinduzi zimekwama kulingana na mkuu wa majeshi nchini humo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili23 Sep
Walinzi wa rais Burkina Faso wasalimu amri
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Burundi wakataa walinzi wa AU
10 years ago
Mwananchi10 Feb
Rais Mugabe atimua walinzi wake 27 baada ya kuanguka
5 years ago
BBCSwahili25 Jun
Uchaguzi wa Marekani 2020: Walinzi wa rais wajitenga baada ya mkutano wa Trump
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TgHj0KqUN*sARgZjugbf0e8SybLB-YikgdSrR92I8d9ycOt7ZMupIoFLni8KVqBlElVOJgOO9jXzc3QuT4Q1*brDIiLSvJiP/BlaiseCompaore4.jpg?width=650)
RAIS WA BURKINA FASO AJIUZULU
10 years ago
BBCSwahili17 Nov
Burkina Faso yapata rais wa mpito
10 years ago
StarTV31 Oct
Rais wa Burkina Faso asema atajiuzulu
Rais Blaise Compaore wa Burkina Faso amesema atajiuzulu baada ya miezi 12 ya serikali ya mpito.
Ameyasema hayo wakati akilihutubia taifa siku moja baada ya kutokea machafuko.
Wakati ambao pia Mkuu wa Majeshi wa nchi hiyo ametangaza kuivunja serikali ya nchi hiyo.
Katika hotuba yake aliyoitoa kupitia kituo binafsi cha Televisheni, Rais Compaore amesema ameuelewa ujumbe uliotolewa na waandamanaji na kwamba ataondoka madarakani baada ya kumalizika kwa kipindi cha mpito cha miezi miezi...
9 years ago
BBCSwahili18 Sep
Rais wa Senegal kupatanisha Burkina Faso
9 years ago
BBCSwahili01 Dec
Burkina Faso yapata Rais mpya