Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Burkina Faso yapata rais wa mpito

Aliyekuwa waziri wa mambo ya nje Burkina Faso Michel Kafando, ametajwa kuwa rais wa mpito nchini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

MICHEL KAFANDO: Rais mteule serikali ya mpito Burkina Faso

NOVEMBA 10 mwaka huu  Burkina Faso   ilikamilisha rasimu ya mkataba ya mpito ambayo ilisababisha upinzani na vyama vya kiraia nchini humo kuafikiana kuhusu baadhi ya vifungu hususan kugawana madaraka katika taasisi mbalimbali...

 

9 years ago

BBCSwahili

Burkina Faso yapata Rais mpya

Roch Marc Christian Kabore ameshinda uchaguzi mkuu wa nchi hiyo, kwa mujibu wa tume ya uchaguzi. Amepata zaidi ya asili mia 50

 

9 years ago

BBCSwahili

Serikali ya mpito yavunjiliwa mbali Burkina faso

Rais wa mpito Michel Kafando amepokonywa madaraka yake huku serikali yake ikivunjiliwa mbali,kwa mujibu wa afisa mmoja wa jeshi aliyezungumza katika runninga ya taifa la nchi hiyo RTB.

 

10 years ago

GPL

RAIS WA BURKINA FASO AJIUZULU

Rais Blaise Compaore aliyejiuzulu. RAIS wa Burkina Faso, Blaise Compaore ametangaza kujiuzulu kufuatia vurugu za kisiasa zinazoendelea nchini humo. Jenerali Honore Traore.…

 

10 years ago

StarTV

Rais wa Burkina Faso asema atajiuzulu

Rais Blaise Compaore wa Burkina Faso amesema atajiuzulu baada ya miezi 12 ya serikali ya mpito.
Ameyasema hayo wakati akilihutubia taifa siku moja baada ya kutokea machafuko.

 

Wakati ambao pia Mkuu wa Majeshi wa nchi hiyo ametangaza kuivunja serikali ya nchi hiyo.
Katika hotuba yake aliyoitoa kupitia kituo binafsi cha Televisheni, Rais Compaore amesema ameuelewa ujumbe uliotolewa na waandamanaji na kwamba ataondoka madarakani baada ya kumalizika kwa kipindi cha mpito cha miezi miezi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa Senegal kupatanisha Burkina Faso

Rais wa Senegal Macky Sall na mwenzake wa Benin Boni Yayi wanaelekea Burkina Faso kushauriana na viongozi waliopindua serikali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jen.Traore ajitangaza rais Burkina Faso

Mkuu wa Jeshi la Burkina Faso jenerali Honore Traore sasa amejitangaza kuwa rais baada ya kujiuzulu kwa Blaise Compaore

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais mpya wa Burkina Faso kuapishwa leo

Aliyekuwa waziri mkuu wa Burkina Faso Roch Mark Christian Kabore, anaapishwa leo kama rais nchi hiyo .

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa Burkina Faso ameng'olewa mamlakani

Msemaji wa jeshi la Burkina Faso ametanga kuwa rais Blaise Compaore ameong'olewa madarakani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani